Nilekusihi nipe line kwenye mojawapo ya hivyo vitabu inayothibitisha kuwa 95% ya walioajiriwa MI6 wamesoma SOAS. Badala yake unaniletea picha za vitabu ulivyo copy na kupaste kutoka online..!!
Kuhusu SOAS ni bora kuliko Oxford, Cambridge etc huna hoja zaidi ya bla bla...sikubaliani na wewe bila kuja na hard facts zinakazothibitisha.
Nawakilisha.
I guess you are geared to discuss University league tables zilizokuwa compiled na magazeti eeh? all i wanna tell you is when you manage to do 25+ essays on subjects a term with reading lists as long as your arm, stuffed with references that many academics at other institutions have never seen, often in your first year of study and marked by those whose academic merit often exceeds those at other institutions by quite a margin, your comments may be worthy of examination.Thats the life at SOAS lakini dont worry..nishasahau unataka mjadala wa university league tables
Ohh lastly ..waingereza after the fall of the empire knew kuwa they have to adapt to GEO-ECONOMICS and not GEO POLITICS ndio maana chini ya Lowassa mliwapa ma bilioni na hakuna mtu aliyeuliza kulikoni??
MKUU KAZII KWELI KWELI, NAPITA TU, MARA SOAS MARA M16. kwani uingereza kuna mashirika mangapi ya ujasusi.. M5? M16? SIS?...?
Mkuu hapo umenena, hawa jamaa wapo muda mrefu sana na ndo hao wanaofanya bara la Africa lishindwe kufikia maendeleo ya juu ulimwenguni kama nothern America and Europe. Hawa jamaa wametapakaa katika nchi nyingi sana wakishirikiana na viongozi under so called conspiracy theories. Tatizo ni kua hakuna viongozi ambao wako full committed to their people kuwaletea maendeleo. Kila anakua madarakani anataka ajilimbikizie mali, kwa staili hii Tanzania hatutatoka katika shimo hili la umasikini daima.Ama kweli tumekwisha inawezekana huu ufisadi ni siku nyingi na mashirika kama haya yapo mengi sana ulimwenguni na yanaoperate tanzania. Kuna consiprancy theory zinazoendelea na kusababisha nchi za africa ziendelee kuwa masikini kila siku.
Geez - that is one poorly written polemic. It reads like it was written by a first year University student for the school newspaper.
Sorry to dissapoint you lakini sitokupa hizo sources za magazeti ya udaku kama unavyo demand ila nitakupa secondary sources zangu nazo ni vitabu vifuatavyo:
lakini kwa kukusaidia tuu nakuomba ununue vitabu vifuatavyo:
MI6: Fifty Years of Special Operations (stephen Doriil)
lakini ili kufikia huko naomba usome hiki kitabu:
I guess you are geared to discuss University league tables zilizokuwa compiled na magazeti eeh? all i wanna tell you is when you manage to do 25+ essays on subjects a term with reading lists as long as your arm, stuffed with references that many academics at other institutions have never seen, often in your first year of study and marked by those whose academic merit often exceeds those at other institutions by quite a margin, your comments may be worthy of examination.Thats the life at SOAS lakini dont worry..nishasahau unataka mjadala wa university league tables
Ohh lastly ..waingereza after the fall of the empire knew kuwa they have to adapt to GEO-ECONOMICS and not GEO POLITICS ndio maana chini ya Lowassa mliwapa ma bilioni na hakuna mtu aliyeuliza kulikoni??
GT
Naona una mapenzi binafsi na SOAS lakini hoja yako haina maana wala ushahidi wenye mashiko.
SOAS haipo hata kwenye top 20 ya Best UK Universities kwa mujibu wa Times Online ambayo ndio wana reputation (japo kwa UK) inayoeleweka kutengeneza jedwali za Best Univ. Link hii hapo mwenye kupenda ajisomee mwenyewe.
http://extras.timesonline.co.uk/tol_gug/gooduniversityguide.php
The confessions of Economic Hit Man (EHM). Ni bonge la kitabu ambalo limewachana washkaji wazi wazi na global empire yao. siku moja nitakiweka hapa jamvini
etter tKitabu chenyewe gonga hapa kukidownload http://www.nommeraadio.ee/meedia/pdf/RRS/John%20Perkins%20-%20Confessions%20of%20an%20Economic%20Hitman.pdf
The confessions of Economic Hit Man (EHM). Ni bonge la kitabu ambalo limewachana washkaji wazi wazi na global empire yao. siku moja nitakiweka hapa jamvini
Nimesoma huu uzi mpaka nimelegea...kiakili na kimwili!JF kila kitu mnacho