Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Kama mko serious kupiga vita UFISADI then mbona hawa hamuwazungumzii? Mnaogopa? basi msiogope mkiulizwa semeni nynyi pia mmeicopy from post ya GT sawa?
anyway, website yao kuhusu Tanzania wanasema hivi:
Hawa bwana ukiwaingilia ni kama vile unaingialia biashara za CROWN ya HRH au HER ROYAL HIGHNESS lakini vile vile lazima uelewe walianza anzaje mpaka leo unakuta wanaweza kuiambia serikali yoyote iliyotawaliwa na BRITISH cha kufanya na wakafanyiwa bila maswali and of course that includes the UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
Huwezi kuwazungumzia hawa jamaa bila kumkuta BILLIONAIRE Edmond Safra, HUWEZI KUZUNGUMZIA crown agents bila kuwazungumzia organisations zifuatazo:
Prince of Wales Business Leaders Forum
Aga Khan Foundation
School of Oriental and and African Studies (the best university in the world....sababu nitawapa baadae lakini its far far ahead of Oxford and Cambridge, Harvard, MIT, Yale etc)
Christian Aid (hawa wapo sana hapa Tanzania lakini wamejazana majasusi tuu)
Barclays Bank (sina sababu ya kuelezea saana hii in the wake or RADAR SCANDAL)
Standard and Chartered Bank (Need i say more?)
Unilever, (hawa ni major agricultural products cartel. Like Shell Oil, the company is Anglo-Dutch na connections zaidi zinaweza kuwafanya watu kadhaa serikalini kufadhaika kwa sababu ambazo mnazijua)
Tate and Lyle, (Hawa ndio Britain's leading sugar cartel, ambao wana close corporate links American firm inayoitwa Archer Daniels Midland.
Sasa hawa Tate and Lyle and ADM walishawahi kuwa under investigation
U.S. Department of Justice for illegal monopoly practices na nakumbuka matop kadhaa wa ADM walikuwa indicted-connection na Tanzania? Tazama Ilovo walivyoshinda na kumonopolise mashamba ya miwa WHICH INCLUDES mtibwa sugar...
Securicor plc...nadhani mnawajuwa hawa
Sasa leo TUKURU au PCCB wanataka ku-investigate UFISADI sidhani kama watafika mbali kwani haiwezekani na kila kitu kimejikita ile mbaya saa zingine bora tukatazame YANGA wanavyocheza na kurudi majumbani mwetu maaana haya mambo ya kudanganyana eti tutakula sahani moja na mafisadi hatuwezi kwani interconnectedness ya wahusika ni kubwa mno ...
anyway, website yao kuhusu Tanzania wanasema hivi:
Crown Agents -Tanzania
Crown Agents has worked for the Tanzanian government since 1963, and has maintained a presence in Dar es Salaam since 1976.. Crown Agents Services (Tanzania) Limited was incorporated in 2001. We have engaged with government departments and donors to gain a detailed understanding of government procedures and methodology for procuring goods, works and services. We are currently providing procurement advisory services to water and energy sectors under Millennium Challenge Corporation funding.
We work alongside ministries and agencies to strengthen public procurement processes, building capacity and develop human resources. Since 1997 we have worked with the Tanzania Revenue Authority providing technical assistance, IT, capacity and training to assist in improving their revenue generation.....
Hawa bwana ukiwaingilia ni kama vile unaingialia biashara za CROWN ya HRH au HER ROYAL HIGHNESS lakini vile vile lazima uelewe walianza anzaje mpaka leo unakuta wanaweza kuiambia serikali yoyote iliyotawaliwa na BRITISH cha kufanya na wakafanyiwa bila maswali and of course that includes the UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
Huwezi kuwazungumzia hawa jamaa bila kumkuta BILLIONAIRE Edmond Safra, HUWEZI KUZUNGUMZIA crown agents bila kuwazungumzia organisations zifuatazo:
Prince of Wales Business Leaders Forum
Aga Khan Foundation
School of Oriental and and African Studies (the best university in the world....sababu nitawapa baadae lakini its far far ahead of Oxford and Cambridge, Harvard, MIT, Yale etc)
Christian Aid (hawa wapo sana hapa Tanzania lakini wamejazana majasusi tuu)
Barclays Bank (sina sababu ya kuelezea saana hii in the wake or RADAR SCANDAL)
Standard and Chartered Bank (Need i say more?)
Unilever, (hawa ni major agricultural products cartel. Like Shell Oil, the company is Anglo-Dutch na connections zaidi zinaweza kuwafanya watu kadhaa serikalini kufadhaika kwa sababu ambazo mnazijua)
Tate and Lyle, (Hawa ndio Britain's leading sugar cartel, ambao wana close corporate links American firm inayoitwa Archer Daniels Midland.
Sasa hawa Tate and Lyle and ADM walishawahi kuwa under investigation
U.S. Department of Justice for illegal monopoly practices na nakumbuka matop kadhaa wa ADM walikuwa indicted-connection na Tanzania? Tazama Ilovo walivyoshinda na kumonopolise mashamba ya miwa WHICH INCLUDES mtibwa sugar...
Securicor plc...nadhani mnawajuwa hawa
Sasa leo TUKURU au PCCB wanataka ku-investigate UFISADI sidhani kama watafika mbali kwani haiwezekani na kila kitu kimejikita ile mbaya saa zingine bora tukatazame YANGA wanavyocheza na kurudi majumbani mwetu maaana haya mambo ya kudanganyana eti tutakula sahani moja na mafisadi hatuwezi kwani interconnectedness ya wahusika ni kubwa mno ...