Mwanaitelejensi
Senior Member
- Jan 30, 2011
- 104
- 2
Naomba muongozo watanzania wenzangu kuuliza kuwa kunautafauti gani Kikwete akiwa nchini au asiwepo, kuna baadhi ya watu nimewasikia wakisema ni bora akisafiri asirudi tena akae hukohuko mpaka 2015 akiwepo asiwepo wanasema hakuna tofauti yoyote na wengine wamediriki kusema ni bora akiwa nje ufisadi unapungua Ikulu kukiko akiwepo. Sasa watanzania wenzangu nauliza Je huyu Kikwete anamanufaa gani kwa Taifa ikiwa Watanzania hawamtaki kwa kuombea bora akaye Nje kuliko akiwa nchi?