Sumbalawinyo
JF-Expert Member
- Sep 22, 2009
- 1,282
- 247
Natamani nione Chadema inaingia ikulu.
Natamani Wasira azae na mama Mkapa
Natamani Rizwani afilisiwe
Natamani Mkapa apandishwe kizimbani kwa uhujumu uchumi na mauaji ya Nyerere
Natamani Kikwete apandishwe kwenye mahakama ya The Hague kwa uuaji na utesaji wa raia.
Hebu na wewe weka matamanio yako
Natamani Wasira azae na mama Mkapa
Natamani Rizwani afilisiwe
Natamani Mkapa apandishwe kizimbani kwa uhujumu uchumi na mauaji ya Nyerere
Natamani Kikwete apandishwe kwenye mahakama ya The Hague kwa uuaji na utesaji wa raia.
Hebu na wewe weka matamanio yako