Je, unataka kulima mazao ya mbogamboga na matunda lakini unakosa maarifa sahihi? Karibu tushauriane

Status
Not open for further replies.
Kweli mkuu! Wewe uliitumia kipindi gani?? Wakati umeotesha au baada ya matunda?
Mimi niliitumia kipindi maua yanaanza...kuna baadhi yalikuwa yana kauka....nikashuriwa nitumie hiyo hivi sasa yametoka maua mengi yenye afya...nzuri...ila imeandikwa kwenye kibandiko soma hapo pembeni kuwa unaweza kuipiga hadi mara nne kwa mimea midogo
 
Kweli mkuu! Wewe uliitumia kipindi gani?? Wakati umeotesha au baada ya matunda?
7021c224bd7722cbb617bcebbd9d85d1.jpg
 
Nimewaskia sana hao jamaa! Una namba zao? Wanaanza kuuza minimum mbegu ngapi??
Ninazo namba zao...kwa idadi ya mbegu sijui wanaanza kuuza ngapi...mimi niliwaomba wanitunzie miche kisha nikanunua miche hivyo....kwa mbegu sijui wanaanza ngapi but unaweza kuwasiliana nao 0677 000 401
 
Ninazo namba zao...kwa idadi ya mbegu sijui wanaanza kuuza ngapi...mimi niliwaomba wanitunzie miche kisha nikanunua miche hivyo....kwa mbegu sijui wanaanza ngapi but unaweza kuwasiliana nao 0677 000 401
Nitawasiliana nao mkuu! Miche walikuuzia shi ngapi? Na ulichukua mingapi??
 
Nitawasiliana nao mkuu! Miche walikuuzia shi ngapi? Na ulichukua mingapi??
Nilichukua miche 700...niliinunua kwa shilingi 144....imefanya vizuri...ila kwakuwa sikuwa na utaalam kidogo imeniangusha....nilianza kupanda pasipo kuwa na utaalam wowote...sijawahi kulima hii ni mara yangu ya kwanza...nipo najifunza hope next time nitafanya vyema
 
Nilichukua miche 700...niliinunua kwa shilingi 144....imefanya vizuri...ila kwakuwa sikuwa na utaalam kidogo imeniangusha....nilianza kupanda pasipo kuwa na utaalam wowote...sijawahi kulima hii ni mara yangu ya kwanza...nipo najifunza hope next time nitafanya vyema
Nimependa spirit yako na huu ndio ushauri wangu!!

1. Unaweza nunua pdf ya nyanya kwa jamaa...nadhan itakufungulia mengi sana mkuu!!

2. Tenga siku moja pitia huu uzi mwanzo mpaka mwisho kuna mengi sana utajifunza!!

Tupambane man! Tunapokwama tunauliza kwa wataalam kama hivi!!
 
Nimependa spirit yako na huu ndio ushauri wangu!!

1. Unaweza nunua pdf ya nyanya kwa jamaa...nadhan itakufungulia mengi sana mkuu!!

2. Tenga siku moja pitia huu uzi mwanzo mpaka mwisho kuna mengi sana utajifunza!!

Tupambane man! Tunapokwama tunauliza kwa wataalam kama hivi!!
Asante ndugu nitamtafuta huyu anipe pdf...nadhani kanuni za kilimo ni muhimu...wengi zilitupita...
 
SHAMBA LINA UKUBWA GANI MKUU, HADI UBADILISHE UDONGO, NADHANI NI GHARAMA ZA BURE TU HIZO

CHAKUFANYA KAMA SHAMBA NI LAKO, WEKA SAMADI YA KUTOSHA, TENA ILIFAA UIWEKE MEZI W ATISA HIVI, ILI MVUA ZIKIANZA NOVEMBER/DECEMBER UNAPANDA. KAMA ULIPO BADO KUNA MVUA BASI WEKA MBOLEA-SAMADI KATIKA SHIMO HUSIKA NA KISHA WAITI FOR 1-2 WEEKS UPANDE

KUBADILI UDONGO NI GHARAMA SIZIZO NA TIJA,

PANDIA SAMADI NA NDANI YAKE CHANGANYA NA DAP KIASI


KWA KUCHOMA NYASI GRAMAXONE-SUMU NI PARAQUATE DICHLORIDE NI NZURI KUCHOMA NYASI HUFANYA KAZI WITHIN 7 DAYS, ILA HIYO SUMU YAKE NI HATARI KWA MAZAO YA KUEXPORT NJE YA NCHI

DAWA YA KUTIBU UDONGO, PATA DAWA ZA UKUNGU CHANGANYA NA ZA WADUDU KISHA UNASPARY KATIKA MASHIMO HUSIKA KABLA YA KUPANDA

ZA UKUNGU NZURI NI KAMA AGRIFOS 400 HUSAIDIA SANA KUUA FANGASI WA KUOZESHA MZIZI, SCORE,AZOXTROBIN,MULTI POWER PLUS 78WP

ZA WADUDU NZURI, NI CYPERMETHRIN, IMIDACLOPLID, KARATE, NINJA, THUNDER, DECIS ETC

Kuna baadhi walinishauri nibadilishe udongo je ni sahihi....au niweke tu mbolea...?.....je ni dawa gani madhubuti kwaajiri ya kuandalia shamba ili kuua vijidudu...kabla ya kupanda...
Kuna baadhi walinishauri nibadilishe udongo je ni sahihi....au niweke tu mbolea...?.....je ni dawa gani madhubuti kwaajiri ya kuandalia shamba ili kuua vijidudu...kabla ya kupanda...
 
ASANTE MKUU, MAUMIVU YAMEPUNGUA, NA VIDONDA VINAKAUKA, NAENDELEA VIZURI

HIYO BOOSTER NI NZURI KAMA STARTER, BILA SHAKA UNAONA KIASI CHA NITROGEN NI KINGI SANA KULIKO VINGINE

ILA WAKATI WA MATUNDA, TAFUTA POTPHOS AU MULTI K (19:19:19) AU OMEX, AU WUXAL MACRO MIX, AU POLYFEED FINISHER, HIYO KEEN FEEDER HAISAIDII SANA, THATS WHY WAMESHINDWA HATA KUINDICATE PERCENTAGE ZA HIZO MICRO NUTRIENTS

ASSILA UNAWEZA IPANDA HATA WAKATI HUU WA MASIKA, ILA HAKIKISHA SHAMBA HALIPO BONDENI, KWANI MAJI YAKIJAA/KUFURIKA NA KUTUAMA, ITAATHIRIKA HAIKUI. HUWA HAIHITAJI MAJI MENGI, UNGEPATA EDENI F1 AU KIPATO F1 AU SHANTY, AU BINGWA F1 SAWA KWA WAKATI HUU WA MASIKA

Habari ndugu?? Unaendelea salama lakini???

Mkuu nimekuta nimechanganya nikanunua assila f1 badala ya eden kipindi hiki cha mvua! Je nikizitumia assila kipindi hiki cha mvua itakua na shida??

Kuna hii booster inafaa kuwa kama starter?? Au finisher??

93d2e837b53784e3702562e5221f7953.jpg
 
ASANTE MKUU, MAUMIVU YAMEPUNGUA, NA VIDONDA VINAKAUKA, NAENDELEA VIZURI

HIYO BOOSTER NI NZURI KAMA STARTER, BILA SHAKA UNAONA KIASI CHA NITROGEN NI KINGI SANA KULIKO VINGINE

ILA WAKATI WA MATUNDA, TAFUTA POTPHOS AU MULTI K (19:19:19) AU OMEX, AU WUXAL MACRO MIX, AU POLYFEED FINISHER, HIYO KEEN FEEDER HAISAIDII SANA, THATS WHY WAMESHINDWA HATA KUINDICATE PERCENTAGE ZA HIZO MICRO NUTRIENTS

ASSILA UNAWEZA IPANDA HATA WAKATI HUU WA MASIKA, ILA HAKIKISHA SHAMBA HALIPO BONDENI, KWANI MAJI YAKIJAA/KUFURIKA NA KUTUAMA, ITAATHIRIKA HAIKUI. HUWA HAIHITAJI MAJI MENGI, UNGEPATA EDENI F1 AU KIPATO F1 AU SHANTY, AU BINGWA F1 SAWA KWA WAKATI HUU WA MASIKA
Nashukuru sana mkuu! ni heri kama unaendelea salama! sijalima sehemu kubwa ni kasehem kadogo tu ili nipate uzoefu wa nyanya! natarajia kuweka kama mbegu 100 hivi na ndio maana nikanunua mbegu za hybrid maana zina mazao mengi!!

Kwa sasa hizi mbegu nimezitreat na aspron na mda huu ziko kwenye dawa hopefuly leo jioni au kesho mda wowote naziweka kwenye kitalu!

Ila je!

1. Kuna ulazima wa kuziweka kwenye kitalu kama shamba ni dogo??

2. Kwa kuanza nimeanza na actara 25wd(kiambata: thiamethoxam) kama dawa wadudu na xantho (kiambata: hexaconazole 5 e.c) kama dawa ya ukungu. Je nini ushauri wako?

3. Je kutakua na shida kama hili eneo nikiligawa na kuweka nyanya sehem ya kwanza na mboga kama leshuu sehemu ya pili?

4. Hii dawa ya aspron nimeona imeandikwa "mimea ya jamii ya maharage" je ni spesho kwa beans pekee au inafanya kazi hata kwenye mboga?

5. Patakua na shida niki mix hizi assila na rio grande? au niweke assila peke yake?

Thanks in advance mkuu!
 
1. Kuna ulazima wa kuziweka kwenye kitalu kama shamba ni dogo??=ni lazima ziwekwe kitaluni

2. Kwa kuanza nimeanza na actara 25wd(kiambata: thiamethoxam) kama dawa wadudu na xantho (kiambata: hexaconazole 5 e.c) kama dawa ya ukungu. Je nini ushauri wako?=uko sawa

3. Je kutakua na shida kama hili eneo nikiligawa na kuweka nyanya sehem ya kwanza na mboga kama leshuu sehemu ya pili?=Hakuna shida

4. Hii dawa ya aspron nimeona imeandikwa "mimea ya jamii ya maharage" je ni spesho kwa beans pekee au inafanya kazi hata kwenye mboga?=Apron Star inafanya kazi kwa mbegu za aina zoote si kwa maharage tu

5. Patakua na shida niki mix hizi assila na rio grande? au niweke assila peke yake?=

Ni vyema ukazipanda separate hata kama ni shamba moja, ili mradi ujue labda katika matuta fulani ya mwisho, hapo ni Reo grande/Assila F1, hii itakusaidia pia hata katika uchunguzi wako,kuona ni ipi inafanya vizuri (kutoa maua mengi, kukomaa haraka, na kushambuiwa na magonjwa , mavuno mengi etc), Reo grande ni OPV na Assila F1 ni Hybrid.


Thanks in advance mkuu!



Nashukuru sana mkuu! ni heri kama unaendelea salama! sijalima sehemu kubwa ni kasehem kadogo tu ili nipate uzoefu wa nyanya! natarajia kuweka kama mbegu 100 hivi na ndio maana nikanunua mbegu za hybrid maana zina mazao mengi!!

Kwa sasa hizi mbegu nimezitreat na aspron na mda huu ziko kwenye dawa hopefuly leo jioni au kesho mda wowote naziweka kwenye kitalu!

Ila je!

1. Kuna ulazima wa kuziweka kwenye kitalu kama shamba ni dogo??

2. Kwa kuanza nimeanza na actara 25wd(kiambata: thiamethoxam) kama dawa wadudu na xantho (kiambata: hexaconazole 5 e.c) kama dawa ya ukungu. Je nini ushauri wako?

3. Je kutakua na shida kama hili eneo nikiligawa na kuweka nyanya sehem ya kwanza na mboga kama leshuu sehemu ya pili?

4. Hii dawa ya aspron nimeona imeandikwa "mimea ya jamii ya maharage" je ni spesho kwa beans pekee au inafanya kazi hata kwenye mboga?

5. Patakua na shida niki mix hizi assila na rio grande? au niweke assila peke yake?

Thanks in advance mkuu!
 
nutrients zilizoko kwenye booster ni za ziada - Trace/ Micro nutrients, hata ukikuzia Urea/ CAN bado utahitaji booster ili kuimarisha maua na Matunda . Foliar fertilizer ni supportive tu, hivyo ukitumia UREA tu bila foliar utapata mavuno hafifu. QUOTE="Tatemahunda, post: 21173646, member: 170887"]pole na majukumu mkuu, naomba nijue hili: hizi folio fertilizers zipo zenye hadi 45% ya nitrogen, je! kuna tofauti ya mavuno iwapo itatumika folio booster yenye 45% badala ya urea?? Je,nitrogen ipatikanayo kwenye urea ina tofauti na ile ya kwenye folio boosters??
[/QUOTE]
Hongera mkuu kwa ufafanuzi, so nikipata folio fertilizers zenye ubora wa kutosha na nisipotumia mbolea nyingine kama urea, CAN etc naweza pata mavuno mazuri tu?
 
hapana,mmea unahitaji N,P,na K kama lishe ya msingi, na kisha inahitaji virutubisho vidogovidogo vinavyopatikana ktka booster, sharti uweke mbolea za chini ( mizizi) kama Npk, Yara mila winnerCan,Urea, minjingu,etc na juu upie booster. Hongera mkuu kwa ufafanuzi, so nikipata folio fertilizers zenye ubora wa kutosha na nisipotumia mbolea nyingine kama urea, CAN etc naweza pata mavuno mazuri tu?[/QUOTE]
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom