Je, unataka kulima mazao ya mbogamboga na matunda lakini unakosa maarifa sahihi? Karibu tushauriane

Status
Not open for further replies.
Habari kiongozi. Majani ya nyanya kujikunja kama kujifunga vile inasababishwa na nini? Unakuta ni karibu shamba lote. Pia naweza tumia mbolea ya SA kwa kupandia na wakati wa maua na matunda?
 
Chief
Salaamu
Pole kwa hizo changamoto

1.KUJIKUNJA MAJANI KWA KUJA JUU
Hiyo inaitwa Leaf Curing, sababu ni virus wanaoenezwa na wadudu hasa white flies (vipepeo weupe)
Tumia dawa za wadudu, kama abamectin, au Dimethoate (Kama mmea hauna maua), au duduall, au Nimbecidine, kuangamiza hao wadudu, kisha piga booster (Multi K, Omex, au Murphy au Potphos etc) ili kuichangamsha

2. Mbolea ya SA

=SA siyo ya kupandia, hiyo ni Sulphate of Ammonia, hiyo ni ya kukuzia, naomba kujua upo mkoa gani, kwa sababu hiyo SA kuna mikoa hasa ya kuanzia Iringa kuja mpaka katavi (Mikoa 5 ya nyanda za juu kusini) haifai kutumika kukukuzia, kwa kuwa yenyewe huongeza acid katika udongo, wakati tayari udongo wa mikoa hiyo ni too Acidic (PH 4-6). WAKATI WA MAUA NA MATUNDA KUZIA NA CAN/NPK/YARA NITRABOR/MOP/ UREA-kama unamaji ya kutosha, na juu katika maua piga booster (Multi K, Omex, au Murphy au Potphos, Wuxal Macromix, Yara Vita tracel Biz etc). SA inafaa sehemu zenye magadi kama Arusha au Moshi huko (Chekeleni, Rundugai etc)
===================

Habari kiongozi. Majani ya nyanya kujikunja kama kujifunga vile inasababishwa na nini? Unakuta ni karibu shamba lote. Pia naweza tumia mbolea ya SA kwa kupandia na wakati wa maua na matunda?
 
Chief
Salaamu
Pole kwa hizo changamoto

1.KUJIKUNJA MAJANI KWA KUJA JUU
Hiyo inaitwa Leaf Curing, sababu ni virus wanaoenezwa na wadudu hasa white flies (vipepeo weupe)
Tumia dawa za wadudu, kama abamectin, au Dimethoate (Kama mmea hauna maua), au duduall, au Nimbecidine, kuangamiza hao wadudu, kisha piga booster (Multi K, Omex, au Murphy au Potphos etc) ili kuichangamsha

2. Mbolea ya SA

=SA siyo ya kupandia, hiyo ni Sulphate of Ammonia, hiyo ni ya kukuzia, naomba kujua upo mkoa gani, kwa sababu hiyo SA kuna mikoa hasa ya kuanzia Iringa kuja mpaka katavi (Mikoa 5 ya nyanda za juu kusini) haifai kutumika kukukuzia, kwa kuwa yenyewe huongeza acid katika udongo, wakati tayari udongo wa mikoa hiyo ni too Acidic (PH 4-6). WAKATI WA MAUA NA MATUNDA KUZIA NA CAN/NPK/YARA NITRABOR/MOP/ UREA-kama unamaji ya kutosha, na juu katika maua piga booster (Multi K, Omex, au Murphy au Potphos, Wuxal Macromix, Yara Vita tracel Biz etc). SA inafaa sehemu zenye magadi kama Arusha au Moshi huko (Chekeleni, Rundugai etc)
===================
Asante kiongozi.
Daaah.. Kwa uzoefu wa wakulima wenzangu tulijua hiyo ni Ukungu.
Nimechukua namba yako nitakutafuta kwa mazungumzo zaidi. Pia tulikuwa tunahitaji documenti ya nyanya na viungo(karoti, hoho)
 
KARIBU TUWASILIANE MKUU (0744302645/0717041222)

Mjitahidi mfanye tiba mapema, huo gonjwa ni hatari sana, badae miche itaanza kukauka, kwa kuwa tissue zinakuwa damaged na hao wadudu white flies (Bemesia tabaci), na pia majani hayawezi kutengeneza chakula, huenea kwa kasi sana huo ugonjwa

Tunaweza pia humo katika dawa tukaweka hyo ya wadudu+Booster +Fungicides (Ya ukungu kama Xantho/Power 78WP, au Multi,/ Score) +Aquar wet (Kishikiza sumu, kama ni msimu wa mvua)


Mmetumia mbegu gani ya nyanya, huenda si hybrid??

Ukipata muda fuatilia hii link
Tomato yellow leaf curl virus



PDF Za mazao mnayohitaji zipo karibuni, kila pdf ya zao moja ni tsh 30,000
============
Tomato yellow leaf curl virus
Print this page

  • Early infection of tomato yellow leaf curl virus (TYLCV)

  • Advanced infection of TYLCV

  • Close-up of TYLCV infection
General information
In March 2006, tomato leaf curl disease was found in cherry tomato crops in the south and west periphery of Brisbane. The disease has been found in many crops, with infection levels ranging from 5 to 100 per cent of plants.

Losses in severely affected crops have been very high and the disease is a major threat to tomato production. In April 2006, infected plants were also found around Bundaberg. By June 2007, the virus was present in the Lockyer Valley, Fassifern Valley, Esk, Caboolture and Redlands areas. Since 2009 it has become a serious production constraint around Bundaberg. In February 2011, it was found in backyard tomato plants in Mareeba on the Atherton Tablelands.

Tomato leaf curl disease is caused by viruses in the Geminivirus family of plant viruses, and is spread by whiteflies.

The virus causing this disease is tomato yellow leaf curl virus (TYLCV). This virus is distinct from tomato leaf curl Australia virus (TLCV), which occurs in the Northern Territory and at several locations on Cape York Peninsula.

Symptoms and damage compared with other diseases and disorders
TYLCV can be confused with several other tomato conditions such as tomato big bud, tomato yellow top, physiological leaf roll and phosphate and magnesium deficiency.

Tomato yellow leaf curl virus (TYLCV)

  • Plants are stunted or dwarfed
  • New growth only produced after infection is reduced in size
  • Leaflets are rolled upwards and inwards
  • Leaves are often bent downwards, stiff, thicker than normal, have a leathery texture, show interveinal chlorosis and are wrinkled
  • Young leaves are slightly chlorotic (yellowish)
  • Flowers appear normal
  • Fruit, if produced at all, are small, dry and unsaleable
  • Affected plants tend to be distributed randomly or in patches
Tomato big bud
  • Produces enlarged green flowers
  • Affected plants tend to be distributed randomly or in patches
Tomato yellow top virus

  • Leaflets are reduced in size and become rounded with yellowish, down-curled or up-curled margins
  • Affected plants tend to be distributed randomly or in patches
  • Can be difficult to distinguish from TYLCV
Physiological leaf roll

  • Due to water stress, does not stunt plants
  • Young expanding leaf tissue is soft rather than rigid
Phosphate deficiency

  • Stiff, stunted plants with a purplish tinge
  • All parts of the plant are reduced in size
  • More or less evenly distributed throughout a planting
Magnesium deficiency

  • Yellowing of the interveinal areas of the middle and lower leaves
  • More or less evenly distributed throughout a planting
Spread of TYLCV
Tomato leaf curl disease is not transmitted in seed, soil or from plant to plant by handling. It is harboured in infected host plants, some of which may be hosts that do not show symptoms. The virus causing tomato leaf curl disease is spread from plant to plant by silverleaf whitefly (SLW) (the biotype B ofBemisia tabaci). SLW is a serious pest in tomatoes and other vegetable crops in the coastal and some inland areas of Queensland and New South Wales. It is an established pest in Western Australia and cotton production systems in Queensland.

Although the nymphal stages of SLW can acquire virus from infected plants, it is the active adult insects that are responsible for almost all virus spread into and within crops.

SLW adults acquire the virus while feeding, using their piercing-sucking mouthpart to pierce plant cells and suck sap through a stylet. The virus persists in the insect which can then transmit the virus throughout its life. SLW need to feed on infected plants for at least 15 minutes to acquire the virus and then feed on another host plant for 15 to 30 minutes to transmit the virus. Transmission efficiency increases as the duration of the feeding times increases.

Although the transmission efficiency of individual insects may be low, the enormous populations of SLW moving within and between crops can result in rapid spread and high disease levels. Research results are inconclusive, but TYLCV is probably not carried from generation to generation through the SLW egg. This virus is not spread by other sap-sucking insects such as aphids or leafhoppers nor by leaf-eating pests such as grasshoppers, heliothis larvae or beetles.

TYLCV host plants
Tomato is the major host of TYLCV, however, many other species are also TYLCV hosts. Some other host plants are:

  • Boerhavia erecta (erect tar vine or erect spider vine)
  • Capsicum annuum (capsicum or chilli pepper)
  • Capsicum chinense
  • Cleome viscose (tick weed)
  • Croton lobatus(lobed croton)
  • Cyanchum acutum
  • Datura stramonium(common thorn apple)
  • Euphorbia spp.
  • Eustoma grandiflora (lisianthus)
  • Lycopersicon esculentum (tomato)
  • Macroptilium spp.
  • Malva parviflora
  • other Malva spp. (small flowered mallow)
  • Mercurialis ambigua
  • Phaseolus vulgaris (beans)
  • Physalis spp.
  • Polygonum spp. (knot weed or wire weed)
  • Sida spp.
  • Solanum nigrum (blackberry nightshade)
  • Solanum luteum, Solanum villosum(hairy nightshade)
  • Wissadula spp.
Managing TYLCV
There are two key points to managing the spread of TYLCV:

  • do not move infected or host plants or seedlings, or infected SLW
  • control SLW on farms, surrounding vegetation and seedling nurseries.
If moving plants and fruit that host TYLCV to markets:

  • within Queensland - plants and fruit may be moved without restriction.
  • to interstate markets - movement of fruit is not restricted except tomato fruit attached to its truss. This is not permitted entry to Western Australia.
Good farm management and farm hygiene practices will help manage the spread of TYLCV:

  • use seedling plants produced in an area free from virus and whiteflies
  • destroy old crops as soon as possible after final harvest
  • control SLW adults before destroying crops to reduce the migration of SLW to other crops
  • plant new crops as far away as practicable from existing crops which may harbour the virus and its carrier, silverleaf whitefly
  • control silverleaf whiteflies using appropriate chemicals, application methods and IPM strategies
  • maintain a high standard of weed control within and around crops to reduce hosts of both the virus and silverleaf whitefly.
Some tomato cultivars with resistance to TYLCV are commercially available, but these must be used with good farm managment and hygiene practices to keep the resistance.


===================================================


Asante kiongozi.
Daaah.. Kwa uzoefu wa wakulima wenzangu tulijua hiyo ni Ukungu.
Nimechukua namba yako nitakutafuta kwa mazungumzo zaidi. Pia tulikuwa tunahitaji documenti ya nyanya na viungo(karoti, hoho)
 
MPYA, MPYA 23/10/2016

MFUMO WA UWEKAJI MBOLEA KATIKA MICHE (SHAMBANI/GREEN HOUSE) HADI SIKU UNAYOVUNA

Salaamu sana

Wataalamu wa kilimomaarifa.tajiri, wanayo furaha kubwa , kuwafahamisha wakulima wote Nchini kuwa
1. Kwa sasa unaweza kuandaliwa mfumo/utaratibu wa namna ya uwekaji mbolea (Vipimo, na aina ya mbolea) katika mazao yako (Shamba wazi/Green House), tangu siku unayopanda mazao yako mpaka siku unayovuna.

2.Mfumo huo wa kuweka mbolea unaandaliwa na mfumo maalumu wa kielektronik.

=Mfumo wa uwekaji mbolea upo katika makundi 3 nayo ni

1.Mfumo wa kuweka mbolea ujulikanao kama, Umwagiliaji wa matone (Drip Fertigation).Huu ni ule mfumo ambao mbolea huwekwa moja kwa moja katika tank la maji hivyo maji yanaposhuka kuja katika mche kupitia yale matobo ya drip basi na ile mbolea iliyowekwa pia hufika ikiwa katika hayo maji (Solution).
ii.Mfumo wa kuweka mbolea kwa njia ya kumwagia kwa vifaa (Drench) kama ndoo/keni za maji (Manual).Mfumo huu unahusisha kuweka mbolea katika mapipa au ndoo kisha kuzikoroga hizo mbolea, na kisha kutumia vifaa kama ndoo kumwagilia mche moja hadi mwingine. mbolea pia huwekwa katika hali ya Solution.
iii.Mfumo wa kuweka mbolea zikiwa katika hali ya punje (Granular). Hii ni ile njia ya wakulima wengi wa mashamba wazi ambao, hutumia maji ya kumwagilia kwa mtaro, na kisha huweka mbolea zikiwa katika hali ya punje, kwa kuzungusha pembeni kidogo ya shina na kisha kufukia.

Mfumo wetu wa kuandaa hizo mbolea, kwa sasa unafanya kazi kwa mazao yafuatayo
i. Nyanya 2. Kitunguu 3. Kabeji 4. Tikiti maji 5. Viazi Mviringo 6. Karoti 7. Hoho 8. Passion

ILI UWEZE KUANDALIWA MFUMO HUO KWA MAZAO YAKO ITAKUPASA KUFANYA YAFUATAYO

A. Tutahitaji kupata taarifa zifuatazo

i.Jina lako mkulima
ii. Sehemu (Wilaya/Mkoa) shamba/Green house ilipo
iii.Ukubwa wa eneo ulilopanda mazao (Eka/Mita za eneo)
iv.Je umepima udongo wako? Kama ndio tutaomba riport ya maabara, kama haujapima pia hakuna shida
v.Je utatumia mfumo upi kuweka mbolea zako (Mfumo wa matone? au Kumwagilia kwa keni/ndoo etc, au Utaweka mbolea zikiwa katika hali ya punje??)
vi. Umepanda/Utapanda zao gani, na aina gani ya mbegu (Jina)
vii. Mbegu umezipanda/unapanga kuzipanda lini? Tarehe, mwezi na mwaka
viii.Je utapenda kuweka mbolea zako mara moja kwa wiki, au mara mbili kwa wiki, au mara tatu kwa wiki, au mara 1 kila baada ya siku 14??


B. Itakupasa kulipia huduma hiyo kwa zao moja ni tsh 40, 000 , MALIPO HUFANYIKA KUJA NAMBA Mpesa-0744302645, au Tigo pesa-0717041222 .Kisha utatuma email yako kuja moja wapo ya hizo namba

C. Kisha utatumiwa repoti ya mfumo wa kuweka mbolea kwa mazao yako tangu siku unapopanda mpaka siku unapoanza kuvuna na kuendelea, ripoti utaipata ndani ya masaa 48 tangu ulipowasilisha taarifa hizo muhimu na kufanya malipo.


d.Ni vyema ukaiprint ripoti hiyo ili uwe unaweza kuitumia kwa urahisi, kwa kadri utakavyoelekezwa.

HAPA CHINI ni ripoti ya mfumo wa kuweka mbolea, ambayo tayari imeshatumwa kwa moja wapo ya mkulima ... , Ana green house ya eneo la 8m kwa 15m, Amepanda Nyanya, Mbegu ni Anna F1, Ameanza kuutumia mfumo huo unafanya vizuri sana. Humwagilia kwa njia ya matone/Drip Fertigation.Amepanda nyanya tarehe 9 October, na ataanza kuvuna baada ya siku 75 (Tarehe 23/12/2016).
= Mkulima huyo alikwisha pima udongo wake, lakini alikuwa hafahamu aweke mbolea zipi na kwa kipimo kipi. Hivyo alitupatia taarifa hiyo, Udongo ulikuwa na mapungufu makubwa ya Potassium(K), Calcium (Ca), Nitrogen (N), Phosphorus (P).


upload_2016-10-23_15-26-15.png

upload_2016-10-23_15-26-59.png


Karibuni Udownload ripoti hiyo hapo chini, na ujisomee kwa ufasaha zaidi

Nb.
Ukishakuwa na malighafi za mbolea zilizowekwa katika ripoti hiyo, hautahitaji ushauri mwingine/gharama nyingine, zaidi ya kufuata mfumo ulivyoeleza.Mfumo ulioandaliwa unafaa kwa zao hilo tu, na si zao lingine, kwa sababu kila zao lina mahitaji yake ya mbolea/virutubisho tofauti na zao lingine.

KARIBUNI SANA.
 

Attachments

  • Fertilization Program report 26.pdf
    175.2 KB · Views: 133
Playboy

salamu sana

Ukirudi ukurasa wa kwanza kabisa wa uzi huu, Uzi namba 9, wa September 10, 2015, kuna mdau (Hornet) aliuliza hili swali na nikamjibu hivi
=======================================

Kiongozi karibu
Ntajitahidi kukueleza zile basics tu kwa sababu sijawahi kulilima

kuhusu giligilani (coriander)

AINA
ZIKO AINA 2

1FUPI-HIZI HUFAA SANA KAMA UNATAKA KUVUNA-MBEGU ZAKE, HUTOA MAUA IKIWA KIMO KIDOGO

2.NA AINA NDEFU-HIZI HUFAA KAMA UTAVUNA MAJANI

-Ni zao maarufu sana linatumika kama kiungo, kwa vyakula mbali mbali kama supu

-udongo

Jitahidi uwe tifutifu (Loam Soil)

Joto liwe la wastani 15-30 centgrade

Nafasi ya upandaji, ni sm 10 kwa 15 (shimo hadi shimo sm 10 na mstari hadi mstari sm 15), au kuweka nafasi vizuri na kupunguza uwezo wa fungus kummea, unaweza kupanda sm 15 kutoka shimo hadi shimo , na sm 20 mstari hadi mstari

Mbolea za kupandia
DAP, TSP, NPK zafaa sana

Badae utakuzia na CAN au Urea

KUOTA
-Huota baada ya siku 7-hadi 14 maximum


Mavuno ni baada ya siku 35 hadi 50

-Kama unalenga kuvuna majani, basi wahi mapema kabla maua hajaanza kutoka, maana baada ya hapo majani hayatakuwa partable (yatakuwa yamekomaa sana),
-
Kwa mbegu, subiri hadi zikomae kabisa, zile na rangi kama ya kaki hivi-kahawia, ng;oa mche na kisha hifadhi shemu ya baridi, kisha badae piga hizo mbegu, kisha fanya sorting hizo mbegu


MAGONJWA NA WADUDU
Ni muhimu kupiga dawa za kuzuia wadudu kabla ya maua kutoka (kama Match, duduall, Selecron, Evisect), na

kuikinga dhidi ya magonjwa ya ukungu au barafu kama vile POWDER MILDEW (Ubwiri poda) utailima wakati kunaunyevu mwingi dawa kama Ebony, au Blue copper , Ivory, Ridomil Gold zatosha sana kutibu na KUKINGA-ILI KUUKINGA PIGA DAWA ZENYE KIAMBATA CHA COPPER AU MANCOZEB MAPEMA KABLA UGONJWA HAUJAINGIA. Jitahid sana kama kuna mvua au ukungu mwingi epuka kumwagilia zaidi maji.

Mbegu'

Unaweza kuzipata, bila shaka Balton Tanzania, au East African seed (huenda wakawa nazo), jitahidi upate kwa wale mawakala wao kabisa, kuepuka udanganyifu

KARIBU
XXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx
Naomba utaalamu wa ulimaji wa giligilani maandalizi, matunzo nk.
 
BAADHI YA AINA ZA MAGONJWA YA MAZAO MBALI MBALI

1. Ubwiri Unga/Powdery Mildew
View attachment 421114 View attachment 421115
Chanzo kikubwa ni fangasi
Ugonjwa huenea zaidi wakati wa unyevu mwingi, majani/matunda huwa na vidoa doa vyeupe
TIBA. Tumia dawa zenye Metalaxyl au Azoxtrobin au Myoxin au Hexaconazole kutibu ugonjwa huu
Baadhi ya dawa hizo ni Ebony 72 WP, Amista Xtra, au Power 78WP, au Xantho
===========
2.Bacteria Angular Leaf spot (Madoa ya bakteria kwa majani)
View attachment 421117
Husababishwa na Bacteria (Pseudomonas Spp)
Bacteria Husababisha madoa doa ya rangi ya brown kwa majani,majani huchakaa, na kisha majani hufa na kisha mmea wote hufa pia
Hutokea zaidi wakati wa unyevu mwingi na katika udongo kichanga
Tiba tumia dawa za ukungu zenye Copper kuzuia mashambulizi zaidi
Dawa kama vile, Bluu Copper/Tan copper/Nordox/ Funguran etc
=================
3.Bacteria Fruit Blotch
View attachment 421118
View attachment 421120
Husababishwa na Bacteria
=Ugonjwa huenea zaidi wakati wa unyevu mwingi
Matunda hutobolewa, huwa na madoa doa na kuoza kwa ndani
Mashambulizi yakizidi hata matunda hupata nyufa (Fruit Cracking)

View attachment 421123
Tumia dawa zenye Calbendazim na copper mapema baada ya kupanda miche, kumbuka kutibu mbegu na udongo kabla ya kupanda mazao
=====================
4.Bacteria Wilt
View attachment 421125
View attachment 421126View attachment 421127
Ugonjwa husababishwa na Bacteria
Huenezwa na Kobe wa Matunda (Erwinia Tracheiphila) wa mazao ya Tikiti/Tango/Maboga
Mmea huaanza kwa kushambuliwa majani machache, mmea husimama kukua, kisha majani yote huanza kunyauka, mmea hufa
Tumia dawa za kutibu mbegu (Seed plus, seed plus, Seed care etc), na udongo (Fungicides +Insecticides) mapema kabla ya kusia/kupanda mbegu/Miche
=================

Itaendelea.............
ASANTE MKUU KWA TAARIFA HII.

KUNA JANI LA TIKITI NIMEKUTANA NALO LINA SHIDA MBILI;

1. KWENYE NCHA YA KILA JANI KUNA RANGI YA NJANO ALAFU YANI UJANI WAKE NI KAMA UNA WEUPE KWA MBALI

2. CHINI YA JANI KUNA WADUDU WADOGO WADOGO SANA NAFIKIRI WANAFYONZA MAJANI
 
KARIBU

UKIPATA PICHA ZAKE ZIWEKE HAPA i. MAJANI ii. Hao Wadudu, itakuwa vyema maana ni ngumu sana kutoa jibu kwa namna ulivyoeleza (i.e hao wadudu ni wa rangi gani?? Rangi unazosema za majani kuna utofauti wa rangi ya njano na huo weupe, na kila mmoja inasababu zake)

JITAHIDI UWEKE PICHA

===========================================


ASANTE MKUU KWA TAARIFA HII.

KUNA JANI LA TIKITI NIMEKUTANA NALO LINA SHIDA MBILI;

1. KWENYE NCHA YA KILA JANI KUNA RANGI YA NJANO ALAFU YANI UJANI WAKE NI KAMA UNA WEUPE KWA MBALI

2. CHINI YA JANI KUNA WADUDU WADOGO WADOGO SANA NAFIKIRI WANAFYONZA MAJANI
 
USHAURI KWA WAKULIMA WA NYANYA

Wakulima wengi waliozalisha nyanya na kuingiza sokoni kuanzia mwezi wa 6 hadi wa 10, bei imedondoka sana, lakini walio wengi wamevamiwa sana na Tuta absoluta (Kanitangaze), hivyo hata mavuno yamekuwa hafifu.

Nawapa pole kwa hizo changamoto

LAKINI, kama unamtaji usikate tamaa, rudi tena shamba kwani, wakulima wengi sana hawatalima nyanya kwa msimu huu wa November-May, hasa kwa sababu ya ukata na maumivu waliyoyapata, hivyo kusababisha uhaba mkubwa sana wa nyanya huenda kwa mwaka mzima.

UZOEFU UNAONYESHA KUWA mara nyingi wakulima wengi wanapopata hasara msimu fulani, basi msimu mwingine/ujao walio wengi huacha kulima kulima hilo zao, na hivyo wale wachache wanaothubutu kulima hupata bei nzuri (Demand/Supply theory).Lakini pia kwa kawaida nyanya hupata bei nzuri sana kuanzia November (Kidogo),,, zaidi huchanganya January hadi May.

TIBA ZA MDUDU KANITANGAZE ZIPO

Hizi ni baadhi tu ya dawa za kutumia huangamiza, mdudu, mayai na kiwavi, zitumie mapema tangu kitaluni.
1. Nimbecidine
2.Belt
3.Colagen
4.Evisect
5.Proove

Baadhi ya mbegu za kutumia kwa wakati huu wa masika ni
1. Eden F1
2. Shanty F1
3.Milele F1
4.Kipato F1 etc
=========================
 
MPYA 29/10/2016

FURSA YA KUJENGEWE UWEZO KWA VIKUNDI VYA WAKULIMA,MAKUNDI YA VIJANA,TAASISI ZINAZOJIHUSISHA NA KILIMO na HALMASHAURI.


Timu ya kilimomaarifa.tajiri inapenda kuwatangazia, wadau wa kilimo wote (Vikundi vya wakulima, taaasisi zinazojihusisha na kilimo,Halmashauri,Makampuni binafsi, makundi ya vijana) kuwa,

i.Kwa sasa timu ya kilimomaarifa.tajiri, inatoa mafunzo elimu/kuwajengea uwezo, wakulima,mabwana shamba,wafanyakazi katika sekta ya kilimo,Makundi ya vijana wanaolima/wanaopenda kufanya kilimo ili waweze kupata maarifa mapya YA KILIMO BORA NA ENDELEVU, na waweze kufanya kazi zao kwa ufanisi zaidi

ii.Mafunzo ni ya nadharia na vitendo

iii.Mafunzo ni kwa mazao ya Horticulture (Mboga mboga na matunda), Nafaka (Mahindi) na Kahawa.

NB; Kwa wale mnaohitaji huduma hii, karibu sana tuzungumze, bei zetu ni rafiki.

Mawasiliano. Simu 0744302645 (Vodacom), 0717041222 (Tigo). E-mail. kilimomaarifa.tajiri@gmail.com
 
USHAURI KWA WAKULIMA WA NYANYA

Wakulima wengi waliozalisha nyanya na kuingiza sokoni kuanzia mwezi wa 6 hadi wa 10, bei imedondoka sana, lakini walio wengi wamevamiwa sana na Tuta absoluta (Kanitangaze), hivyo hata mavuno yamekuwa hafifu.

Nawapa pole kwa hizo changamoto

LAKINI, kama unamtaji usikate tamaa, rudi tena shamba kwani, wakulima wengi sana hawatalima nyanya kwa msimu huu wa November-May, hasa kwa sababu ya ukata na maumivu waliyoyapata, hivyo kusababisha uhaba mkubwa sana wa nyanya huenda kwa mwaka mzima.

UZOEFU UNAONYESHA KUWA mara nyingi wakulima wengi wanapopata hasara msimu fulani, basi msimu mwingine/ujao walio wengi huacha kulima kulima hilo zao, na hivyo wale wachache wanaothubutu kulima hupata bei nzuri (Demand/Supply theory).Lakini pia kwa kawaida nyanya hupata bei nzuri sana kuanzia November (Kidogo),,, zaidi huchanganya January hadi May.

TIBA ZA MDUDU KANITANGAZE ZIPO

Hizi ni baadhi tu ya dawa za kutumia huangamiza, mdudu, mayai na kiwavi, zitumie mapema tangu kitaluni.
1. Nimbecidine
2.Belt
3.Colagen
4.Evisect
5.Proove

Baadhi ya mbegu za kutumia kwa wakati huu wa masika ni
1. Eden F1
2. Shanty F1
3.Milele F1
4.Kipato F1 etc
=========================
Huyo mdudu wa tuta absoluta si anatokea wakati wa matunda? Je kuna ulazima wa kutumia dawa ya Belt toka kitaluni au kabla ya matunda kutoka?
 
Gody87
Tuta absoluta (Kanitangaze) Hashambulii matunda tu

Tuta absoluta anashambulia miche tangu kitaluni, hushambulia majani ya miche machaga juu ya majani huoeneka kama alama ya kaki iliyokuwa covered na nailoni, ni vyema kumdhibiti tangu kitaluni, unapoona matunda yameanza kugongwa na kuliwa ujue alishaingia siku nyingi tangu kitaluni. Tumia dawa nilizozielewa tangu kitaluni.

Tazama hapa chini mzunguko wa maisha yake, angalia picha no 3 ambayo kiwavi hushambulia majani
upload_2016-10-31_10-55-41.png


Tizama hapa chini, namna Tuta absoluta anavyoshambulia sehemu mbali mbali za mmea ikiwemo majani

upload_2016-10-31_11-3-20.png


Huyo mdudu wa tuta absoluta si anatokea wakati wa matunda? Je kuna ulazima wa kutumia dawa ya Belt toka kitaluni au kabla ya matunda kutoka?
 
Gody87
Tuta absoluta (Kanitangaze) Hashambulii matunda tu

Tuta absoluta anashambulia miche tangu kitaluni, hushambulia majani ya miche machaga juu ya majani huoeneka kama alama ya kaki iliyokuwa covered na nailoni, ni vyema kumdhibiti tangu kitaluni, unapoona matunda yameanza kugongwa na kuliwa ujue alishaingia siku nyingi tangu kitaluni. Tumia dawa nilizozielewa tangu kitaluni.

Tazama hapa chini mzunguko wa maisha yake, angalia picha no 3 ambayo kiwavi hushambulia majani
View attachment 427065

Tizama hapa chini, namna Tuta absoluta anavyoshambulia sehemu mbali mbali za mmea ikiwemo majani

View attachment 427067
ASANTE.

Natumia metakan kwajili ya wadudu na ridomil gold kwa ukungu kila siku saba. Pia nilitumia Actara mara moja kitaluni. Na match mara moja baada ya miche kupata ugonjwa wa leaf miner kitaluni. MICHE INA WIKI MOJA SHAMBANI BAADA YA KUKAA KITALUNI KWA SIKU 28.

MASWALI

1. JE METAKAN AU ACTARA INAWEZA ZUIA WADUDU WANAOLETA TUTA ABSOLUTA KWENYE MICHE?

2. JE KAMA NI LAZIMA KUTUMIA BELT AU HIZO DAWA NYINGINE UPIGAJI DAWA UTAKUWAJE KULINGANA NA RATIBA AMBAYO NIMEITAJA?

3. JE TUTA ABSOLUTA AKISHAINGIA IWE KWENYE HATUA YA KITALU, MAJANI AU MATUNDA INATIBIKA? KWA MAANA NYINGINE DAWA KAMA BELT NA NYINGINE ZINAZUIA UGONJWA AU KUTIBU UGONJWA PIA KAMA USHATOKEA?

ASANTE
 
MASWALI

1. JE METAKAN AU ACTARA INAWEZA ZUIA WADUDU WANAOLETA TUTA ABSOLUTA KWENYE MICHE?
=Fahamu kuwa Tuta abasoluta (Kanitangaze/Dengue etc) ni mdudu na siyo ugonjwa
=Hizo dawa ulizozitaja ni vyema ukizitumia kama kinga lakini siyo kama tiba, tumia kitaluni na unapohamisha miche shambani, lakini matunda yakianza tumia moja wapo ya dawa nilizozitaja kwenye uzi wangu wa kwanza (Nimbecidine, Evisect, Proove, belt , coragen et al)


2. JE KAMA NI LAZIMA KUTUMIA BELT AU HIZO DAWA NYINGINE UPIGAJI DAWA UTAKUWAJE KULINGANA NA RATIBA AMBAYO NIMEITAJA?
=Kama hakuna mashambulizi unashauriwa kupiga dawa za ukungu/wadudu/booster / (Zoote kwa pamoja kila baada ya siku 14), Labda kuwe na mashambulizi sana ndipo unaweza piga kila baada ya siku 5-7.

3. JE TUTA ABSOLUTA AKISHAINGIA IWE KWENYE HATUA YA KITALU, MAJANI AU MATUNDA INATIBIKA? KWA MAANA NYINGINE DAWA KAMA BELT NA NYINGINE ZINAZUIA UGONJWA AU KUTIBU UGONJWA PIA KAMA USHATOKEA?

=Tuta absoluta ni mdudu siyo ugonjwa
=Dawa nilizokutajia kama Nimbecidine, Proove, au Evisect au Belt humaliza mayai, buu, kiwavi mpaka mdudu mwenyewe


==========================================

ASANTE.

Natumia metakan kwajili ya wadudu na ridomil gold kwa ukungu kila siku saba. Pia nilitumia Actara mara moja kitaluni. Na match mara moja baada ya miche kupata ugonjwa wa leaf miner kitaluni. MICHE INA WIKI MOJA SHAMBANI BAADA YA KUKAA KITALUNI KWA SIKU 28.

MASWALI

1. JE METAKAN AU ACTARA INAWEZA ZUIA WADUDU WANAOLETA TUTA ABSOLUTA KWENYE MICHE?

2. JE KAMA NI LAZIMA KUTUMIA BELT AU HIZO DAWA NYINGINE UPIGAJI DAWA UTAKUWAJE KULINGANA NA RATIBA AMBAYO NIMEITAJA?

3. JE TUTA ABSOLUTA AKISHAINGIA IWE KWENYE HATUA YA KITALU, MAJANI AU MATUNDA INATIBIKA? KWA MAANA NYINGINE DAWA KAMA BELT NA NYINGINE ZINAZUIA UGONJWA AU KUTIBU UGONJWA PIA KAMA USHATOKEA?

ASANTE
 
MASWALI

1. JE METAKAN AU ACTARA INAWEZA ZUIA WADUDU WANAOLETA TUTA ABSOLUTA KWENYE MICHE?
=Fahamu kuwa Tuta abasoluta (Kanitangaze/Dengue etc) ni mdudu na siyo ugonjwa
=Hizo dawa ulizozitaja ni vyema ukizitumia kama kinga lakini siyo kama tiba, tumia kitaluni na unapohamisha miche shambani, lakini matunda yakianza tumia moja wapo ya dawa nilizozitaja kwenye uzi wangu wa kwanza (Nimbecidine, Evisect, Proove, belt , coragen et al)


2. JE KAMA NI LAZIMA KUTUMIA BELT AU HIZO DAWA NYINGINE UPIGAJI DAWA UTAKUWAJE KULINGANA NA RATIBA AMBAYO NIMEITAJA?
=Kama hakuna mashambulizi unashauriwa kupiga dawa za ukungu/wadudu/booster / (Zoote kwa pamoja kila baada ya siku 14), Labda kuwe na mashambulizi sana ndipo unaweza piga kila baada ya siku 5-7.

3. JE TUTA ABSOLUTA AKISHAINGIA IWE KWENYE HATUA YA KITALU, MAJANI AU MATUNDA INATIBIKA? KWA MAANA NYINGINE DAWA KAMA BELT NA NYINGINE ZINAZUIA UGONJWA AU KUTIBU UGONJWA PIA KAMA USHATOKEA?

=Tuta absoluta ni mdudu siyo ugonjwa
=Dawa nilizokutajia kama Nimbecidine, Proove, au Evisect au Belt humaliza mayai, buu, kiwavi mpaka mdudu mwenyewe


==========================================

ASANTE.

KWAHIYO MATUNDA YANAPOANZA UKITUMIA MOJA WAPO YA HIZO DAWA ULIZOTAJA KILA BAADA YA SIKU 7, DAWA NILIZOTAJA NAACHA KUTUMIA AU NATUMIA SAMBAMBA NA HIZO ZA KUTOKOMEZA TUTA ABSOLUTA?

PIA KAMA NILIVYOSEMA ACTARA NILITUMIA MARA MOJA, JE KUNA UMUHIMU WA KUENDELEA KUITUMIA KWA KUCHANGANYA PAMOJA NA METAKAN NA RIDOMIL GOLD?

ASANTE.
 
KWAHIYO MATUNDA YANAPOANZA UKITUMIA MOJA WAPO YA HIZO DAWA ULIZOTAJA KILA BAADA YA SIKU 7, DAWA NILIZOTAJA NAACHA KUTUMIA AU NATUMIA SAMBAMBA NA HIZO ZA KUTOKOMEZA TUTA ABSOLUTA? Wakati wa matunda ukifika Utaacha kutumia hizo za kwako, na utachagua moja wapo ya hizo nilizokueleza hapo awali

PIA KAMA NILIVYOSEMA ACTARA NILITUMIA MARA MOJA, JE KUNA UMUHIMU WA KUENDELEA KUITUMIA KWA KUCHANGANYA PAMOJA NA METAKAN NA RIDOMIL GOLD? Endelea kutumia Actara ukipishanisha na hiyo Metakan, yaani kama wiki hii umepiga Actara wiki nyingine piga hiyo Metakan, kisha trip nyingine Actara etc, etc.. Unaweza changanya dawa ya wadudu 1 na hiyo ya Ukungu 1, lakini siyo kuchanganya dawa za wadudu dawa mbili na hiyo ya ukungu, HAPANA , madhara yake yako katika compatibility (Kuendana/Kukubaliana kwa hizo dawa) kuja moja inaweza isifanye kazi au zote zikaathirika na mmea ukapata shida pia.

=====================

ASANTE.

KWAHIYO MATUNDA YANAPOANZA UKITUMIA MOJA WAPO YA HIZO DAWA ULIZOTAJA KILA BAADA YA SIKU 7, DAWA NILIZOTAJA NAACHA KUTUMIA AU NATUMIA SAMBAMBA NA HIZO ZA KUTOKOMEZA TUTA ABSOLUTA?

PIA KAMA NILIVYOSEMA ACTARA NILITUMIA MARA MOJA, JE KUNA UMUHIMU WA KUENDELEA KUITUMIA KWA KUCHANGANYA PAMOJA NA METAKAN NA RIDOMIL GOLD?

ASANTE.
 
MPYA. 2/11/2016 KWA WAKULIMA WA VIAZI MVIRINGO, WA MIKOA YA NJOMBE, MBEYA NA IRINGA

Bila shaka mvua zimeanza kwa baadhi ya maeneo ya mikoa hii

Tunatambua kuwa baadhi ya wakulima sasa ndio muda wa kupata viazi mviringo

Ushauri wetu kwenu,Mbegu nzuri ya kupanda sasa inayoweza kuhimili magonjwa ya Ukungu (Mnyauko-Blight (Early and Late blight) na mvua ni hizi zifuatazo, tukizipanga kwa kuanza na iliyobora kabisa

1.Meru
2. Tengeru
3.Sherehekea
4.Red
5.Tigo
6. Cadina
7. Asante
8. CIP

=Mbegu no 1 Ni bora kuliko zote, inaweza kuhimili sana magonjwa ya ukungu, na mvua nyingi, msimu uliopita ilifanya vizuri sana

=Mbegu no 1, 2, 3, 4 na 7 Zinapatikana Mtanga farm, Kilolo Iringa

=Mbegu namba 7 ni nzuri sana wakati wa kiangazi

=Kwa eka 1 utahitaji kilo 500-700 za mbegu

=Mbegu namba 5,6,8 ni za kawaida

=Huko Mtanga farm wanauza gunia la kilo 50 kwa tsh 40,000/50,000

=Bei ya viazi kuanzia mwezi wa December hadi wa tano, huwa ni nzuri (Gunia la kilo 100-120 huuzwa tsh 80,000-200,000)
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom