Je, unatafuta mke? Basi usihangaike tena......

Especially kwa wanaume inabidi uchakarike kivyako vyako tu, uweke criteria za mke wa namna gani ikiwemo elimu yake, kazi na vigezo vingine. Kama uko serious na hutaki kutest wanawake wanne au watano zaidi kabla ya kumake your final decision lazima utampata tu.

True mkuu. Mimi nafikiri moja ya kigezo cha kua mwanaume ni wewe mwenyewe kuwa na uwezo wa kumshawishi mwanamke awe mpenzi wako. Sasa mwanaume ukitongozewa it some how shoes your inabilities.
 
True mkuu. Mimi nafikiri moja ya kigezo cha kua mwanaume ni wewe mwenyewe kuwa na uwezo wa kumshawishi mwanamke awe mpenzi wako. Sasa mwanaume ukitongozewa it some how shoes your inabilities.

Labda uwe Bubu kama mimi huwezi kumwaga sera zako LOL!....hapo ndipo inabidi utongozewe vinginevyo Nomaa! ;)
 
Nasema hivi,

...bahati mbaya, mila za kikwetu mke utayemuoa ndiye atakuwa shemeji, wifi, mkwe, jirani nk. Ndiyo maana linapokuja suala la uchaguzi wa mke si vibaya kuwashirikisha wadada/ wamama wahusika ili huko mbele ya safari matatizo yasiyo ya lazima yaweze kuepukwa...

Nazungumzia haya nikiwa na experience kamili. If Only i could turn back hands of time, ningewashirikisha wadada/wamama kwenye kuchagua Mke kuliko hawa tunaokutana nao 'majiani'!... :)
 
Nasema hivi,

...bahati mbaya, mila za kikwetu mke utayemuoa ndiye atakuwa shemeji, wifi, mkwe, jirani nk. Ndiyo maana linapokuja suala la uchaguzi wa mke si vibaya kuwashirikisha wadada/ wamama wahusika ili huko mbele ya safari matatizo yasiyo ya lazima yaweze kuepukwa...

Nazungumzia haya nikiwa na experience kamili. If Only i could turn back hands of time, ningewashirikisha wadada/wamama kwenye kuchagua Mke kuliko hawa tunaokutana nao 'majiani'!... :)


Mkuu Mbu Kipenda roho!.....hujachelewa lakini kuwaomba akina mama/dada kama unataka kuongeza bi mdogo......Wengine wanapenda kuchakarika wenyewe kama kuku wa kienyeji...na wengine kama kuku wa kizungu wanapenda kutengewa kila kitu!
 
Lol!
Basi kauka ivo ivo!!!
Asante kwa mchango wako.Mimi nimejikuta nakabiliwa na wakati mgumu pia pale mtu anapokuomba kabisa kuwa naomba unitafutie mchumba maana naogopa likija kuharibika lawama nitabebeshwa.Yakinyooka basi hapo ni kicheko.Dhamana ya kumtafutia mtu mchumba ni kubwa mno na siyo kitu kidogo eti!Fikiria umemtafutia mtu halafu anakuja kulikwaa gonjwa la UKIMWI!
kwani ukitafutiwa ndio umeambiwa hakuna kwenda kupima?
 
Lol!
Basi kauka ivo ivo!!!
Asante kwa mchango wako.Mimi nimejikuta nakabiliwa na wakati mgumu pia pale mtu anapokuomba kabisa kuwa naomba unitafutie mchumba maana naogopa likija kuharibika lawama nitabebeshwa.Yakinyooka basi hapo ni kicheko.Dhamana ya kumtafutia mtu mchumba ni kubwa mno na siyo kitu kidogo eti!Fikiria umemtafutia mtu halafu anakuja kulikwaa gonjwa la UKIMWI!

Mkuu kwani siku hizi kuna watu wanaoana bila kupima afya kuona kama zina mgogolo wa gonjwa la ukimwi mimi nafikiri ilikuwa zamani,kwani hata ukitafutiwa lazima kitu cha kwanza ni kupima ngoma na kucheki kama afya iko sawa kabla ya kuanza kumenya tunda bila maganda yake, vinginevyo ukikurupuka ukasema sawa nimetafutiwa hana ngoma sawa nenda cha moto utakiona.
 
Nasema hivi,

...bahati mbaya, mila za kikwetu mke utayemuoa ndiye atakuwa shemeji, wifi, mkwe, jirani nk. Ndiyo maana linapokuja suala la uchaguzi wa mke si vibaya kuwashirikisha wadada/ wamama wahusika ili huko mbele ya safari matatizo yasiyo ya lazima yaweze kuepukwa...

Nazungumzia haya nikiwa na experience kamili. If Only i could turn back hands of time, ningewashirikisha wadada/wamama kwenye kuchagua Mke kuliko hawa tunaokutana nao 'majiani'!... :)

Kwa kweli hapa umeongea ukweli kabisa MBU.unajua hapa suala la kutafutiawa linatafsiriwa tofauti;kinachotokea kwenye dhana nzima ni kwamba mama/dada ndio wanaojua ni mdada gani mtaa ule au katika mazingira yale mwenye maadili halisia kabla hujatowa vigezo vyako.
Hivyo wao wakishakurudishia majibu basi kinachofuata nikufanya appointment ya wewe na yeye huyo dada kukaa nae ili umalizie ufumbuzi wako wa yale ambayo wewe unayataka kama itakuwa elimu,kazi au nini japo hivi vitu havina mahusiano ya maana halisia ya NDOA.

Kwa hiyo kama una dada yako na anaweza kukusaidia kufanya utafiti wa kitu gani wewe unataka basi usiogope kuliko kuleta mtu atakae kutenganisha na famili badala ya kuunganisha
 
Usiombe ukishatafutiwa mke then ukaja gombana na hao waliokutafutia asee kero zake ni balaaa, kila utakolosema yaani watareflect tuu na kutafutiwa mke. Utasikia "siku izi anajifanya kidume wakati mke tumemtongozea wenyewe makubwa" na tusubiri aje atuombe tukamzalishie" utajuuta kukukubaki kutafutiwa mke!
 
...VeraCity, hata mimi ningeweza rudisha nyuma miaka, ningewaomba dada zangu na kina mama ninaowajua wanisaidie kutauta mke atayenifaa... Haya mambo ya u-Girlfriend wengine wanaficha sana makucha yao bana...


nina mifano hai kama mi 3 hivi. wakaka walitafutia wake na jamaa zao wa vijijini lakini wote walipokuja town walilipuka haswaaa, utulivu 0....mmoja last week kamrudishe mkewe kijijini akapumzike kwanza.......nadhani mke/mume mtafutane wenyewe tu na kwa kumtanguliza Mola.
 
Katika ndoa kuna kitu muhimu ambacho ni kuendana kitabia, ikiwa umetafutiwa mke bila kujua tabia zake kuna hatari ndoa itakuwa na kugombanagombana kila siku kama tabia zenu haziowani.
Mimi siafiki mtu kuchaguliwa Mke ila naelewa kwa nini wanaume hasa wale waliokwisha kuwahi kuoa na kuacha hupendelea ndugu zao wachague mke huko vijijini.
Mara nyingi hawa wachumba wa vijijini wana heshima na kwakweli wana malezi na hufunzwa kuheshimu mume na wazazi. Hata kama ukimkuta na tabia za kishamba inakuwa ni rahisi kumrekebisha aende vile unavopenda wewe mume. Hawa wanakuwa wanatii amri za mume,na sababu nyengine ni fitina za mjini, asilimia kubwa ya wanawake wa mjini si kutwa ukakuta wana historia ambayo mara nyingi hata ukimuomba akueleze ukweli atakuficha, matokeo unakatiza mitaa watu waakudiscuss . Huyu wa kijijini hawamjui na hakuna atakaekuja na uzushi wowote, na asilimia kubwa ya hawa kuku wa kienyeji mchinjaji unakuwa wewe mwenyewe, kwahio unakuwa umeua uzushi.


ahhhh wapi.....hao wengi wao wakiibuka hawana maelezo ni wanaibuka ki kweli kweli.......
 
Nasema hivi,

...bahati mbaya, mila za kikwetu mke utayemuoa ndiye atakuwa shemeji, wifi, mkwe, jirani nk. Ndiyo maana linapokuja suala la uchaguzi wa mke si vibaya kuwashirikisha wadada/ wamama wahusika ili huko mbele ya safari matatizo yasiyo ya lazima yaweze kuepukwa...

Nazungumzia haya nikiwa na experience kamili. If Only i could turn back hands of time, ningewashirikisha wadada/wamama kwenye kuchagua Mke kuliko hawa tunaokutana nao 'majiani'!... :)


mhh maisha ya ndoa yanakosa vi matatizo kweli? hata huyo wa kijijini angeuwa na vitatizo vyake tu........hapo kwingine mie nadhani nicngeolewa kabisa...
 
Kwa kweli hapa umeongea ukweli kabisa MBU.unajua hapa suala la kutafutiawa linatafsiriwa tofauti;kinachotokea kwenye dhana nzima ni kwamba mama/dada ndio wanaojua ni mdada gani mtaa ule au katika mazingira yale mwenye maadili halisia kabla hujatowa vigezo vyako.
Hivyo wao wakishakurudishia majibu basi kinachofuata nikufanya appointment ya wewe na yeye huyo dada kukaa nae ili umalizie ufumbuzi wako wa yale ambayo wewe unayataka kama itakuwa elimu,kazi au nini japo hivi vitu havina mahusiano ya maana halisia ya NDOA.

Kwa hiyo kama una dada yako na anaweza kukusaidia kufanya utafiti wa kitu gani wewe unataka basi usiogope kuliko kuleta mtu atakae kutenganisha na famili badala ya kuunganisha


hao niliowafahamu waliotolewa kjjn wamebadili kabisa dhana yangu kwamba hiyo kitu bado ipo huko kjjn pia.
 
2]Usiombe ukishatafutiwa mke then ukaja gombana na hao waliokutafutia asee kero zake ni balaaa,[/COLOR] kila utakolosema yaani watareflect tuu na kutafutiwa mke. Utasikia "siku izi anajifanya kidume wakati mke tumemtongozea wenyewe makubwa" na tusubiri aje atuombe tukamzalishie" utajuuta kukukubaki kutafutiwa mke!


oooh yeah hapo ndipo nazungumzia kero za hao wa vjjn pia, yani bwana wacheni eti.....nimeshuhudia watatu lakini mmoja wao ndio kiboko alitafutiwa na mamake lakini sasa mama akija kwa mwanae utasema ni wake wenza...imevuruga familia kila kona...hko kjjn wazazi hawasalimiani kila mmoja akipeleka mashtaka kwao inaonekana familia nyingine haimtendei haki mtoto wao, yaani mambo ni vululu vululu....mpaka imefikia hakuna ndugu wa mke/mume kuja hapo nyumbani kwao mana kila mmoja inaonekana anatetea upande wake.....eee bwanaa ee wacheni kabisa,....mnaotaka kuoa/olewa mjitafute wenyewe yakiashinda m separate kivyenu....
 
Ni kwa nini utafutiwe mwanamke ??? wewe si mwanamme Rijari hata ujitafute mwenyewe una matatizo gani??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom