MwanaFalsafa1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 5,565
- 836
Especially kwa wanaume inabidi uchakarike kivyako vyako tu, uweke criteria za mke wa namna gani ikiwemo elimu yake, kazi na vigezo vingine. Kama uko serious na hutaki kutest wanawake wanne au watano zaidi kabla ya kumake your final decision lazima utampata tu.
True mkuu. Mimi nafikiri moja ya kigezo cha kua mwanaume ni wewe mwenyewe kuwa na uwezo wa kumshawishi mwanamke awe mpenzi wako. Sasa mwanaume ukitongozewa it some how shoes your inabilities.