WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 956
Mke ni bidhaa hadi atafutwe kama vile ni kuku au ng'ombe?
Nimekuwa nasikia watu hasa wanaume wakiomba watafutiwe wake na dada au mama zao.Tena wengine hudiriki hata kwenda vijijini kwa ajili ya kusaka mke.JF katika thread mbalimbali kumekuwa kunatolewa ushauri kwa akina kaka wenye kutafuta wake kuwa waende vijijini.
Swali:
Wewe kaka huoni ni hatari kutafutiwa mke tena kijijini ambako wewe labda hujakaa au umetoka siku nyingi?
Je unapoletewa ina maana moja kwa moja unaenda kufunga ndoa au ndio mambo ya kutest kwanza kama mali iko sawa kufuatana na matarajio yako?
Wanawake na wanaume wote mnakaribishwa kuchangia.
Nimekuwa nasikia watu hasa wanaume wakiomba watafutiwe wake na dada au mama zao.Tena wengine hudiriki hata kwenda vijijini kwa ajili ya kusaka mke.JF katika thread mbalimbali kumekuwa kunatolewa ushauri kwa akina kaka wenye kutafuta wake kuwa waende vijijini.
Swali:
Wewe kaka huoni ni hatari kutafutiwa mke tena kijijini ambako wewe labda hujakaa au umetoka siku nyingi?
Je unapoletewa ina maana moja kwa moja unaenda kufunga ndoa au ndio mambo ya kutest kwanza kama mali iko sawa kufuatana na matarajio yako?
Wanawake na wanaume wote mnakaribishwa kuchangia.