Je unapenda matiti yaliyosimama? Soma Hapa

yaani ndugu entrepreneur naomba nikubaliane na wewe point ya macho na kutofautisha na kuchukua hatua haswa baada ya kitu nilichokiona leo, ni hivi mimi nina vipaka vyangu viwili kimoja kinaitwa sweetie cha kike na kingine xmas cha kiume vilizaliwa xmas, sasa sweetie ana mkia wa kawaida tu ila wa xmas ni mrefu zaidi na hili niliona linamfanya xmas uncomfortable ila home tukasema si bado anakua no problem, ila siku zilivyokuwa zinaenda nikawaambia jamani xmas ataukata mkia wake mwenyewe wakaniambia haiwezekani basi mi nikaendelea na observation tu huwezi amini leo namuangalia mkia mfupi kashaukata ila ubaya sasa umekuwa tena mfupi kuliko wa sweetie embu pata picha huyu ni paka binadamu je?hichi ni live ntatafuta kamera niwapigie picha muone. nimejifunza jambo kubwa, usisahau xmas anauguza kidonda.
 
Naona wanawake tuna kazi sana ,mie ningeshauri hiyo mimea lakini naona yote inapatika overseas ..
 
Naona wanawake tuna kazi sana ,mie ningeshauri hiyo mimea lakini naona yote inapatika overseas ..
Kazi tunayo wote FL, haya unapokuwa na mtu anayekutia moyo na kukuunga mkono kama mimi.
Halafu hiyo mimea, hata hapa Tanzania itakuwa inapatikana sema watafiti wetu bado hawajafanya kazi yao kwani mazingira ya huko nje inapopatikana yanaendena na ya hapa Tanzania.

Kitu kingine ni kwamba, wataalamu wengi wa tiba mbadala hapa nchini bado wana mambo ya kizamani hawapendi/hawataki kudocument ujuzi wao wala kudisclose utaalamu wao. Sijui tatizo ni nini?
Hebu fikiria anaibuka mtu anasema, kuna mizizi inatibu ugonjwa fulan, lakini masharti yake ni lazima ukapate kikombe huko huko alipo na huwezi kubeba. This is ridiculous
 
Yaani ndugu entrepreneur naomba nikubaliane na wewe point ya macho na kutofautisha na kuchukua hatua haswa baada ya kitu nilichokiona leo,

Ni hivi mimi nina vipaka vyangu viwili kimoja kinaitwa sweetie cha kike na kingine xmas cha kiume vilizaliwa xmas, sasa sweetie ana mkia wa kawaida tu ila wa xmas ni mrefu zaidi na hili niliona linamfanya xmas uncomfortable ila home tukasema si bado anakua no problem, ila siku zilivyokuwa zinaenda nikawaambia jamani xmas ataukata mkia wake mwenyewe

Wakaniambia haiwezekani, basi mi nikaendelea na observation tu huwezi amini leo namuangalia mkia mfupi kashaukata ila ubaya sasa umekuwa tena mfupi kuliko wa sweetie embu pata picha huyu ni paka binadamu je?hichi ni live ntatafuta kamera niwapigie picha muone. nimejifunza jambo kubwa, usisahau xmas anauguza kidonda.

Mmmh! Mamzalendo! Ya kweli haya? Mbona kama fumbo?
Haa haa haa, mimi nasubiri hizo picha tu, lakini ungekuwa mjanja ukawategeshea video camera awali, ningekuonyesha namna ya kutengeneza hela
 
hiyo mimea ya asili inaleta tokeo fasts fasta. watu hatupendi ngoja ngoja.
 
Haa haaa haaa.
Judgement, ina maana wapo wanaozunggumzia uzuri wa matiti kwa sababu za kunyonya?
Kwani nao, kwa umri wao wanafika huku?
Sasa itabidi either sisi tuchague maneno ya kuyaandika kwa uangalifu au Adminstrators waongeze restriction yenye kigezo cha umri

ONYO. Hii ni kwa wakubwa tu

Mjasiri wa mali, huu uzi umetuongezea maarifa ya kumwaga.
 
hiyo mimea ya asili inaleta tokeo fasts fasta. watu hatupendi ngoja ngoja.
From the business point of view
Hus kwa nini tusiunganishe nguvu ili tuanze kutoa hii huduma hapa TZ? Inaonekana soko lipo. Tena tutoe 100% full money payback guarantee, kama dawa isipoleta matokeo

Halafu ile update ya kwanza iliyopo pale juu inawahusu flat chested, ambao wanataka kuwa na matiti makubwa, mazuri na yaliyosimama. Kwa hiyo suala la muda linategemea na na mtu anataka kuyanyanyua yaliyolala (lifting) au kuyaongeza yasioonekana (busting)
 
Kinachosababisa matiti kulala ni nini?

1. Umri. The only important factor contributing to the sagging breasts of a woman is age. This is because when a woman ages, skin loses its elasticity and strength to be able to keep their breasts. Age does not only have breasts sag, but also makes the breasts and wavy look old.
2. Uzazi. Another factor contributing to the sagging of the breasts is pregnancy. When a woman is pregnant, her breasts swell to fill with milk. However, after birth, a woman will notice that your breasts are reduced in size, causing it to fall.
4. Kukonda. Another reason is that breasts sag, sudden weight loss. Reduction in body size means that there is much less tissue and skin to hold the breast up.

5. Genetic make up ya mtu. Kuna wanawake wanazaliwa na hormone nyingi zinazokuza matiti walizorithi kutoka kwa wazazi/ukoo wao na wanakuwa matiti makubwa, kuanzia wakiwa wadogo.
6. Uvutaji wa sigara uliopitiliza.
Smoking causes a gradual breakdown of skin tissue.

 
Dandabo, unayapenda kwa? ................
Kwani bado hujaachishwa nyonyo ?
Au unayo sababu nje ya hizi ?
Mkuu mwanamme haachagi kunyonya. We unadhani ni kwanini wale machangu huwa wanapaka madawa ya kulevya kwenye matiti? Titi linahitajiwa na kila mwanaume lijali ndo maana maboresho yake mi naona sawa tu
 
Hivi eeh,
mie mke wangu hata awe na leso, hiyo hiyo. Akiyanyanyua tu, naoa mke mwingine.
 
Hivi eeh,
mie mke wangu hata awe na leso, hiyo hiyo. Akiyanyanyua tu, naoa mke mwingine.

Haa, haa, haaa, Kwii kwiii kwiiii. hapo kwenye red umenichekesha sana mkuu.
Hivi kwa nini tunawapa hawa dada zetu majina ya ajabu namna hii? Kwani wao ndio walipenda wawe hivyo?
Hata hivyo nipenda msimamo wako wa ku-stand behind your woman/wife. Keep it up, mate
Yaani Kongosho, hata avatar yako naona inaeleza msimamo wako. Pamoja na mamaa kuwa na mzigo kichwani, mtoto mgongoni bado anaweza akakutupia titi nawe upate raha duniani. What a life?! Uwe unamtua mzigo kwanza Kamanda
 
afu ujue nimespesholize kwenye unyonyaji?
Inapunguza uwezekano wa kansa ya matiti, shauri zenu nyie kaeni mkitafuta yalosimama mie niko bize nanyonya.
 
Manyonyo raha yake kunyonywa na c kucmama
Kwa kuwa umesema nyonyo, umenikumbusha utotoni hivyo sitakupinga ila ngoja nikupe ukweli kuhusu matiti
1. Just like the penis Breasts Swell up when aroused
2. The average female nipple (sijui tuite chuchu) is 3/8" long when erect (hii inamaanisha anauwezo wa kuzisimamisha when aroused).
Now tell me, how can you do that kwa mwanamke mwenye matiti yaliyolala kama kulala kwa matiti kunaashiria, kuchoka kwa muscles na kupungua kwa hormones
 
afu ujue nimespesholize kwenye unyonyaji?
Inapunguza uwezekano wa kansa ya matiti
, shauri zenu nyie kaeni mkitafuta yalosimama mie niko bize nanyonya.
Sasa Kongosho, hapo kwenye bold tuweke kama tiba mbadala au?. Sisi tulidhania mtu mzima akinyonya ni kwa ajili ya sexual pleasure
 
Home Remedies
With aging or after pregnancy too often the breasts start to sag. Surgery to lift the breasts is available, but it may also affect sexual sensitivity of the nipples. Thus, home remedies to help regain perkiness in the breasts are important. Home remedies such as exercise techniques, use of sports bras and use of weights during exercise may possibly help to firm and lift the breasts. Exercise regularly to improve overall health and add exercises such as push-ups and arm circles to tone and firm the breasts.

Step 1
Do arm circles to lift the breasts by strengthening the underlying muscles of the breasts. Repetitions of forward and backward arm circles, done regularly, may help the overall look of the breasts and increase their lift. Using light weights my also increase the effectiveness of this exercise. Perform three repetitions of 10 arm circles as you start this exercise program.
Step 2
Use free weights to firm breasts. Recline on your back on an exercise bench and lift weights up to the shoulders. Do at least three repetitions of 10. Working out on Nautilus equipment may also help to firm and lift the breasts. Nautilus exercises that focus on the chest and upper arm areas will help to build and firm muscles below the breasts and in the chest region.
Step 3
Add yoga to the exercise regimen. Yoga is a exercise to strengthen the entire body and tone all areas. Yoga requires the body to be focused and helps with posture, too. Proper posture makes the breasts look higher and firmer. Perform yoga exercises that focus on the breasts and upper arms to help enhance breast beauty.
Step 4
Perform push-ups. Either do the standard push-up in which the entire body raises into the air or do the modified push-up in which the knees are bent and only the upper portion of the body comes up off the floor. Start with as many push-ups as you can comfortably do; gradually increase the amount in each session. Do push-ups at least three times a week.
Step 5
Stop smoking to improve overall health and to protect the fragile skin of the breasts. Smoking causes a gradual breakdown of skin tissue. Plus, it is easier to exercise if not out of breath from smoking.

Read more: http://www.livestrong.com/article/15977-home-remedies-sagging-breasts/#ixzz1pRXGSf8t
 
Back
Top Bottom