Je, unampa JK asilimia ngapi za uongozi bora?

Kajenga chuo kikuu cha dodoma,saivi watanzania wengi sana wanapata digrii,kila kata ila shule ya sekondari,barabara ya za lami nchi nzima na ujenzi unaendelea kigoma na rukwa,,uhuru wa vyombo vya habari,uhuru wa wana jf kutukana,kakubali mjadala wa katiba mpya..muafaka ulioleta amani zanziba,, Nampa 80%....
 
First things first. Long story short how do we measure and classify our rulers? First we define a scale and units of measurement.

Definition: one presidential stuff(PS) is equal leadership quality and capability of Nelson Mandela. Bismillahi here we go.

1. Mandela= 1 ps

2.Nyerere,Nkurumah,Kenyatta= 0.9999 ps

3.Bokasa,Mabotu,Amin = 0.0001 ps etc


2.
 
Ninampa asilimia 81 katika kutoa uhuru wa vyombo vya habari ila tu ni kwa bahati mbay tuna waandishi njaa na makanjanja!


Katika maraisi wote waliotangulia huyu bwana katoa uhuru wa hali ya juu na ndio maana hata sis hapa Jamvini tunatoa habari tutamkumbuka SAANA KWA HILO,

PIA TUTAMKUMBUKA KWA KUWEKA REKODI YA INFLATION KUWA JUU ZAIDI!
 
Mwenye thread tunaomba results za huu utafiti wako. Nadhani sample imetosha na population si mbaya.
 
mimi kuchekacheka A hadi kwenye misiba,kajiunga na G UNIT kwa jitihada zake wakati prezoo alishindwa hapo ni A,katoa kauli mbovu kuliko maraisi wote waliotangulia kama...mimba kwa wasichana wa shule ni kihelehele,mi siwez kujigeuza wingu na kunyesha mtera,magenereta hayanunuliwi kama Jaketi lako(mwandish wa BBC) n.k nampa 86.4 kwa hayo nasubiri amalizie safari zake kwa kwenda antaktika,na kuibadilisha kigoma kuwa kama DUBAI nimpe 100
 
Mimi simpi % yeyote ni kumfutia mtihani kabisa na discontinuity.Ni sawa na mwanafunzi aliyekamatwa na majibu chumba cha mtihani.Unachofanya ni kumfutia mtihani na sio kumpa marks.Huyu jamaa hivyo hivyo,ktk kipindi chake ni sawa na kuingia na majibu chumba cha mtihani an msimamizi akakufuma.Hajafanya kitu chochote.Wananch wanhitaji maisha bora na sio uhuru wa vyombo vya habari,je watakula TV,Magazeti,Radio?
 
Mimi sihitaji theory za wanazuoni kujua kama jk ni kiongozi mzuri. Kwa hali ilivyo, inatosha kumpa alama ya 0.00000000000001%. Kwa kifupi ni kwamba dunia hii haijawahi kuwa na nchi yenye kiongozi aliyepwaya kama huyu wa kwetu. Naomba kuwasilisha kwa heshima na taadhima.
 
Mwenye thread tunaomba results za huu utafiti wako. Nadhani sample imetosha na population si mbaya.

Muda ukifika ntatoa majumuisho yote ya asilimia hizi, bado kama wajumbe 49, usihofu kijana.
 
wajumbe, tumpime raisi wetu kiasi gani anakubalika kwa kumpa asilimia za ufanisi wake tangu aingie madarakani 2005 kulingana na mtazamo binafsi wa kila mjumbe, hii naona itamsaidia kuboresha zaidi utendaji wake na kurekebisha mapungufu fulani ambayo tunayaona wazi wazi ktk utawala wake.
Hivi huyu mtu yupo?
 
Mimi simpi % yeyote ni kumfutia mtihani kabisa na discontinuity.Ni sawa na mwanafunzi aliyekamatwa na majibu chumba cha mtihani.Unachofanya ni kumfutia mtihani na sio kumpa marks.Huyu jamaa hivyo hivyo,ktk kipindi chake ni sawa na kuingia na majibu chumba cha mtihani an msimamizi akakufuma.Hajafanya kitu chochote.Wananch wanhitaji maisha bora na sio uhuru wa vyombo vya habari,je watakula TV,Magazeti,Radio?
Nyie CDM mlitakiwa mtu kama Nyerere, Kikwete anawaendekeza sana.
 
duh jamani hii nayo kali!!! ila mimi kwa mtizamo wangu nampa 99% kwa kuwa root nyingi nje ya Nchi kwa hili atakuwa amewafunika wenzake wote watatu amabao wameshika hiki cheo chake ndani ya Nchi.
 
Back
Top Bottom