Mtanzanika
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 2,389
- 1,131
Mimi nilikua nadhani kwamba tunapokula basi chakula kinaanza kujaa kwenye vidole vya miguu kwanza na kinapanda kidogokidogo kwnye mwili ndipo tunanenepa......na nilifikiri watu wazima hawapigi mswaki..looooh!!!mimi nilikuwa nafikiria tukila chakula kinajaa hadi kwenye koo