kwamtoro
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 4,922
- 3,234
Mimi binafsi, nayakumbuka mafuta ya Yollanda yaliyokuwa kwenye mkebe hivi, yamanukia. Nyimbo za bolingo kama za Kanda bongo Man. Tulikuwa tukibadilisha maneno kama Ndee moni, ndee moni, Ukishakulaa ku tingisha kumba. Zamani Rahaa, enzi za mzee ruksa. Blue Blue kibao.