The Industry
Senior Member
- Sep 1, 2012
- 114
- 29
Siri hii nimeipata baada ya kuzungumza vizuri na wakina dada baadhi ninaoelewana nao sana....so mlio oa kuweni makini na watu wenu!!!
"Mume sahihi" ni njozi njema ya kufikirika lakini isiyoyumkinika.
Hata wenye kuolewa na "mume sahihi" hawajijui.
Ushawahi kujua kwamba "hili ndilo chungwa tamu kuliko yote katika maisha yangu"?
I thought you would question the 90%...
Siri hii nimeipata baada ya kuzungumza vizuri na wakina dada baadhi ninaoelewana nao sana....so mlio oa kuweni makini na watu wenu!!!
Ina maana wanaume wanakuwa na uhakika 100% kuwa wameoa wake sahihi?. Hata hivo nina mashaka na research yako,ipo biased na sio scientific. Acha kupotosha jamii
"Mume sahihi" ni njozi njema ya kufikirika lakini isiyoyumkinika.
Hata wenye kuolewa na "mume sahihi" hawajijui.
Ushawahi kujua kwamba "hili ndilo chungwa tamu kuliko yote katika maisha yangu"?