Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,658
- 20,889
nimewahi yumia dawa hii na kupata madhara kumbe nilikosea maelekezo, maelekezo sahihi ni haya
kumbuka kwamba dose moja kwa mtu mzima ni vidonge 4 na anatumia jumla ya dose sita yaani vidonge 24
anza muda wowote kunywa dose ya kwanza kisha subiri masaa nane na unywe dose ya pili (hakikisha masaa nane kweli) baada ya hapo subiri masaa 16 ndio unywe dose ya tatu, toka hapo hesabu masaa12 unywe ya nne, 12 tena kunywa ya tano na 12 mengine unywe ya sita.
mfano: ukinywa dose ya kwanza saa 12 asubuhi basi dose ya pili utakunywa saa nane mchana , kutoka hapo dose ya tatu utakunywa kesho yake saa 12 asubuhi, ya nne saa 12 jioni ya tano saa 12 asubuhi na ya sita saa 12 jioni. utatumia jumla ya siku tatu.
Good evening
kumbuka kwamba dose moja kwa mtu mzima ni vidonge 4 na anatumia jumla ya dose sita yaani vidonge 24
anza muda wowote kunywa dose ya kwanza kisha subiri masaa nane na unywe dose ya pili (hakikisha masaa nane kweli) baada ya hapo subiri masaa 16 ndio unywe dose ya tatu, toka hapo hesabu masaa12 unywe ya nne, 12 tena kunywa ya tano na 12 mengine unywe ya sita.
mfano: ukinywa dose ya kwanza saa 12 asubuhi basi dose ya pili utakunywa saa nane mchana , kutoka hapo dose ya tatu utakunywa kesho yake saa 12 asubuhi, ya nne saa 12 jioni ya tano saa 12 asubuhi na ya sita saa 12 jioni. utatumia jumla ya siku tatu.
Good evening