Je Unahitaji Mtandao Nafuu zaidi? NDUKI ndiyo jibu lako!

Wabogojo

JF-Expert Member
Nov 5, 2010
354
87
Habarini za kazi wana Jf, nimeinasa habari hii hivi punde nikaona niwajuze wadau kwa kuijaribu hii kitu.

Napenda kuwafahamisha kua TTCL imefanya marekebisho yahuduma zake za broadband zisizo na kikomo (unlimited packages) katika maeneoyaliyotajwa hapo chini. Promotion hii inajulikana kama NDUKI PROMOTION. Katikapromotion hii neon NDUKI limetumika ili kumaanisha kitu chenye KASI kubwakuliko vingine, kwa mfano mchezaji wa mpira wa miguu akipiga shuti lenye kasikubwa inajulikana kwa lugha ya kimpira kua amepiga NDUKI kubwa,mwanariadha akikimbia kwa kasi kubwa pia inajulikana kama mkimbiaji huyo huaanatoka NDUKI.

Faida za NDUKI BROADBAND:

Miongoni mwa faida za NDUKI BROADBAND ni kamaifuatavyo:

· Kumekua na ongezeko la kasi (speed)
· Kumekua na punguzo kubwa labei (kwa mwezi)
· Mfumo wa kulipia umebadlika kutoka mwezi kwamwezi (kalenda month) kua siku 30 toka mteja aongeze salio.
· Mteja anapata connection kwa siku thelathini(30) toka siku aliyoongeza salio.


Vifurushi:

Huduma hiiimegawanywa katika vifurushi mbalimbali kulingana na mahitaji na ladha (demandand taste) ya wateja wetu kama ifuatavyo:

1. 256 kbps – NDUKI Bronze(30,000/-)
2. 512 kbps – NDUKI Silver(60,000/-)
3. 1Mbps – NDUKI Gold(100,000/-)
4. Mbps – NDUKI Diamond (200,000
Lengo la internet isiyo na kikomo
1. Kumwezesha mteja kutumia internetyake kwa siku thelathini (30) bila kukatika
2. Kumwongezea mteja hali ya kutumia nakuridhika
3. Kuongeza kasi ya internet
4. Kuwavuta wateja wengi wadowadogo nawa majumbani


Faidakwa wateja


  1. Intaneti ya bei nafuu kuliko zote Tanzania. Vifurushi vya gharama ya chini kwa mwezi mzima.

2. Wigo mpana zaidi wa uchaguzi wavifurushi vya mwezi (siku 30) kulingana na mahitaji ya mteja

  1. Huduma ya Intaneti yenye ubora na ufanisi wa hali ya juu
    1. Kasi ya ajabu
    2. Intaneti ya uhakika
    3. Kupakua (download) taarifa kwa muda mfupi


  1. Intaneti isiyo na kipimo cha matumizi kwa bei ile ile kwa mwezi mzima (siku 30)


  1. Waweza kuongeza muda wa matumizi ya siku 30 wakati wowote.


  1. Husaidia kupanga bajeti ya matumizi ya intaneti kwa mwezi.


Vipengeremuhimu kwa mteja:

i) NDUKI BROADBAND haina KIKOMOCHA MATUMIZI.
ii) NDUKI BROADBAND ina KASIKUBWA kuliko internet zote nchini
iii) BEI ya NDUKIBROADBAND kwa mwezi imepunguzwa
iv) NDUKI BROADBAND ndiointernet yenye UHAKIKA wa kumwacha mteja akiwa ameungainishwa kwa mwezimzima (siku 30).

Lengo la promotion hii ni:
· Kuwarudisha wateja wa broadband walio ziachaaccount zao.
· Kuwavutia wateja wapya
· Kuongeza kipato cha kampuni

Tusaidiane kuwakumbusha watejakwamba:
i) TTCL inatoa huduma kwa kumjali watanzaniana kwa maendeleo yao..
ii) TTCL inatoa huduma bora kwa ajilibiashara zao na mahitaji
iii) yao ya nyumbani
iv) TTCL ndio kampuni pekee inayotoahuduma internet ya bei nafuu hapa Tanzania.

Matangazo ya kwenye redioza Clouds FM (vipindi vya Power breakfast, Leo tena, Jahazi na Amplifier) naRedio Free Africa (RFA) kipindi cha mambo mambo yameshaanza na mnaombwakusikiliza vipindi hivyo.

kwa maswali na ufafanuzi zaidi waweza fika katika ofisi yoyote ya TTCL au piga namba 100 (Call Centre).

Jioni njema!

 
Tatizo la makampuni ya serikali wanaajiriwa staffs hivyo inakuwa ngumu ku-market products zao hata kama wanazo nzuri na bei poa. Vueni huo u-boss ingia mitaani tangaza bidhaa hii itapata soko la uhakika.
Achaneni na viti vya kuzunguka na viyoyozi fanya kazi kupata soko la uhakika msiishie kufanya branding tu.
 
Sijaona huo unafuu wa bei, in fact naona bei imeongezeka.

Dah, mkuu umechemsha. Nimepita customer servica ya Moshi last week ili ninunue USB Stick nimekuta foleni ya watu wakizing'ang'ania hizo stick, mzigo ulioletwa jana yake uliisha mbele ya macho yangu na walikuwepo waliokosa. Hiyo broadband, aliniambia meneja wa biashara kuwa kwa siku wanapata request mpya kati ya 30 hadi 50 kutokana na hiyo nduki promotion.
Kwa hili TTCL nimewakubali. Kudos TTCL
 
Tatizo la makampuni ya serikali wanaajiriwa staffs hivyo inakuwa ngumu ku-market products zao hata kama wanazo nzuri na bei poa. Vueni huo u-boss ingia mitaani tangaza bidhaa hii itapata soko la uhakika.
Achaneni na viti vya kuzunguka na viyoyozi fanya kazi kupata soko la uhakika msiishie kufanya branding tu.
..Watanzania tuache kulaumu kila kitu. Kama ni kupata soko soma hapo chini:

[h=1]Tanzania's TTCL wins Rwanda bandwidth contract[/h]
Michelle Tongo | 5 April 2012 | 0 Comments
Development in the African telecom sector is explosive.
NAIROBI: The Tanzania Telecommunications Company Limited (TTCL) has won a USD 6.7 million contract to supply 1.244 gigabytes Internet bandwidth to Rwanda for 10 years.TTCL CEO Said Amir Said told the Daily News shortly before signing the contract in Kigali that the deal was testimony to the firm's growing international reputation. Under the contract, TTCL will install, configure, test, commission and activate a temporary link of 155Mbps by the end of this month.Rwanda Development Board CEO, John Gara said that if broadband becomes a commodity on the Rwandan market, it would stimulate deployment of a wider and improved range of services to consumers at affordable prices."We are using government demand for bandwidth to drive down regional prices, to stimulate investment into regional network infrastructure and to ensure that these lower prices are made available to all market participants on an open-access basis," the Head of the ICT department of the board, Patrick Nyirishema said.Nyirishema added that the World Bank funded project would go directly into the expansion of broadband connectivity through funding broadband connections to government institutions such as schools, health centers and local government offices and in the implementation of the eGovernment program.source: bikyamasr
 
Mkuu,kwa kuwa hii ni Promosheni maana yake kuna siku itakoma,ni lini Promosheni hii itafikia ukomo? Wasiwasi wangu nisije nikanunua Modem yenu halafu ghafla mkarudi kwenye tarriff zenu kama zamani!!

Tanzania ni nchi yangu,Ukigeugeu umekuwa sehemu ya Maisha yetu!!




Habarini za kazi wana Jf, ni
meinasa habari hii hivi punde nikaona niwajuze wadau kwa kuijaribu hii kitu.


Napenda kuwafahamisha kua TTCL imefanya marekebisho yahuduma zake za broadband zisizo na kikomo (unlimited packages) katika maeneoyaliyotajwa hapo chini. Promotion hii inajulikana kama NDUKI PROMOTION. Katikapromotion hii neon NDUKI limetumika ili kumaanisha kitu chenye KASI kubwakuliko vingine, kwa mfano mchezaji wa mpira wa miguu akipiga shuti lenye kasikubwa inajulikana kwa lugha ya kimpira kua amepiga NDUKI kubwa,mwanariadha akikimbia kwa kasi kubwa pia inajulikana kama mkimbiaji huyo huaanatoka NDUKI.

Faida za NDUKI BROADBAND:

Miongoni mwa faida za NDUKI BROADBAND ni kamaifuatavyo:

· Kumekua na ongezeko la kasi (speed)
· Kumekua na punguzo kubwa labei (kwa mwezi)
· Mfumo wa kulipia umebadlika kutoka mwezi kwamwezi (kalenda month) kua siku 30 toka mteja aongeze salio.
· Mteja anapata connection kwa siku thelathini(30) toka siku aliyoongeza salio.


Vifurushi:

Huduma hiiimegawanywa katika vifurushi mbalimbali kulingana na mahitaji na ladha (demandand taste) ya wateja wetu kama ifuatavyo:

1. 256 kbps – NDUKI Bronze(30,000/-)
2. 512 kbps – NDUKI Silver(60,000/-)
3. 1Mbps – NDUKI Gold(100,000/-)
4. Mbps – NDUKI Diamond (200,000
Lengo la internet isiyo na kikomo
1. Kumwezesha mteja kutumia internetyake kwa siku thelathini (30) bila kukatika
2. Kumwongezea mteja hali ya kutumia nakuridhika
3. Kuongeza kasi ya internet
4. Kuwavuta wateja wengi wadowadogo nawa majumbani


Faidakwa wateja


  1. Intaneti ya bei nafuu kuliko zote Tanzania. Vifurushi vya gharama ya chini kwa mwezi mzima.

2. Wigo mpana zaidi wa uchaguzi wavifurushi vya mwezi (siku 30) kulingana na mahitaji ya mteja

  1. Huduma ya Intaneti yenye ubora na ufanisi wa hali ya juu
    1. [FON
 
Back
Top Bottom