Je Unabisha??

Hii inanikumbusha yale maswali niliyokuwa nayachukia sana kwenye historia:
"After the second world war, US emerged as a leading global superpower so did the soviet union. Discuss"!!


mkuu pls changia hii mada pls tunaitaji hekima zako this time
 
mh unajua kwann shetani alimdanganya mwanamke? unajua kwann akumdanganya adamu? akili na hekima ni sawa bible aikusema ni clever ilisema ni wadhaifu tena imesema ni viumbe vidhaifu. je unapingana na hili?
na kwa nini adam alidanganywa na mwanamke? ndo maana mnaambiwa muishi na wanawake kwa hekima coz we can do anything, even the imposibilities. We can love, hate, kill, heal,save etc.
 
na kwa nini adam alidanganywa na mwanamke? ndo maana mnaambiwa muishi na wanawake kwa hekima coz we can do anything, even the imposibilities. We can love, hate, kill, heal,save etc.

uzoefu unaonyesha kuwa mwanume huwa anamsikiliza mwanamke ili amtumie tu, no more!!!!!! ujanja hapo uko wapi??????? hata adam alimsikiliza eva ili aenjoy relationship
 
Biblia imehauri wanaume wakae na wake zao kwa hekima, kwa kuwa usipokuwa na hekima mwanamke humuwezi, They far more cleverer than men, no wonder Adam alilishwa tunda alillokatazwa, so kazi kwenu kuamua.


Adam alidanganywa na Hawa, wakafukuzwa kwenye bustani ya Eden.
Samsoni alirubuniwa na Delila,
Lutu alidanganywa na mkewe wageuke nyuma, Lutu akagoma,
Ayubu alipopata mateso makali mke wake alimwambia AMKUFURU Mungu, Ayubu akagoma na akarudishiwa utajiri mara elfu moja.
Mkapa alishauriwa na mkewe kufanya biashara ikulu,
Mwinyi alipewa ushauri na mkewe waiuze Loliondo Gate...
 
mmmmmmmmmmmmmmh uncle,uncle,uncle!!!!!!!!!!!
Adam alidanganywa na Hawa, wakafukuzwa kwenye bustani ya Eden.
Samsoni alirubuniwa na Delila,
Lutu alidanganywa na mkewe wageuke nyuma, Lutu akagoma,
Ayubu alipopata mateso makali mke wake alimwambia AMKUFURU Mungu, Ayubu akagoma na akarudishiwa utajiri mara elfu moja.
Mkapa alishauriwa na mkewe kufanya biashara ikulu,
Mwinyi alipewa ushauri na mkewe waiuze Loliondo Gate...[/quote]
 
Adam alidanganywa na Hawa, wakafukuzwa kwenye bustani ya Eden.
Samsoni alirubuniwa na Delila,
Lutu alidanganywa na mkewe wageuke nyuma, Lutu akagoma,
Ayubu alipopata mateso makali mke wake alimwambia AMKUFURU Mungu, Ayubu akagoma na akarudishiwa utajiri mara elfu moja.
Mkapa alishauriwa na mkewe kufanya biashara ikulu,
Mwinyi alipewa ushauri na mkewe waiuze Loliondo Gate...

Buji
Naona wanawake ni waongo tu ndio sifa kubwa toka enzi na enzi, kama ulivyotuonyesha hapo , lakini hakuna kingine, ni dhaifu sana!
 
Sasa kwa nini wanamegwa halafu wanaachwa...???
Umemega na ukaniacha sioni kwamba niujanja zaidi ya udhaifu wako, maana umekimbia majukumu ya kumhandle huyo mwanamke. Hata hivyo ukimega inasafishwa na mwingine anaendelea vilevile kama vile hujamega...huo sii ndo ujanja kwa wanawake.
 
Umemega na ukaniacha sioni kwamba niujanja zaidi ya udhaifu wako, maana umekimbia majukumu ya kumhandle huyo mwanamke. Hata hivyo ukimega inasafishwa na mwingine anaendelea vilevile kama vile hujamega...huo sii ndo ujanja kwa wanawake.

Vipi nikikumega halafu nisiku feel....huo nao ni udhaifu?
 
Sibishi ndugu:rolleyes:

Mama Tatu njanja kelikweli:D

Any WoW! Janja yote hiyo wanafanya nasi eti!:p na utundu utundu:D:D
 
Wanaume walichofanikiwa ni kuweka mfumo wa kuwadhibiti wanawake baada ya kugundua kuwa wanawake ni wajanja, werevu, watundu na wana mbinu nyingi kuliko sisi wanaume
 
Hayo yote yanatokea kwa kuwa mwanamke ameumbwa na moyo wa huruma lakini si kwamba we are dumb. Kwenye nyanja hizo za uongozi na hizo taasisi za kutetea haki za wanawake zipo tu kwa kuwa mwanamke hakypewa nafasi tangia zamani, alinyimwa nafasi makusudi na mwanaume akapewa power hiyo. Kwa ufupi ni mentality ya mfumo dume ndo imemfikisha mwanamke hapa alipo kiasi cha kumfanya anyanyaswe kila sector. Lakini ukweli ni kwamba ukichagua mwanamke na mwanaume ukawapa fursa sawa at 0 point bila mambo mengine yoyote, mwanamke ni clever tena sana tu. Thats what i believe though.
Nikweli kabisa wanawake ni wajanja sana,mfano mzuri kwa walio ndani ya ndoa wajuulize maswali kwani huwa una (mdunda) kumchapa makofi? ni kwa sababu ukibishana naye hutamshinda kwa maneno na hoja hivo unaishia kutumia nguvu,
 
Back
Top Bottom