Je Unabisha??

Jamii ilimnyima mwanamke nafasi, na mwanamme hakutoa kitu ili apewe hiyo nafasi, it was just selfish behaviour, and i think it was after realizing that women are very clever so the only way to tame them is to deny them power.

hicho kitu unacoita "jamii" ndio bado kueleweka vizuri.

njuavyo mimi jamii hujumuisha wanawake na wanaume. sasa wanawake clever walikuwemo halafu wanaume wapumbavu wakatake all powers! inaingia akilini?

fafanua vizuri ni nani huyo aliyemuonea mwanmke kiasi hicho kwa miongo yote hiyo na mwanamke akashindwa kabisa kujikomboa hadi sasa nalilia upendeleo? otherwise hajikomboi mpaka kiama!

tafadhari
progress.gif
 
sasa mpendwa, conclusion ikae hivi:

mwanamke si mjanja kuliko mwanume wala mwanume ssi mjanja kuliko mwanamke, bali hali halisi imetokana na maumbile yao ambayo pia yamepelekea nafsi tofati za maisha ya kijamii. ili kupunguza pengo kati yao inapaswa mwanume amshirikishe mwanamke katika yale ayafanyalo ili kumuwezesha kushiriki kikamilifu mchakato wa kujiletea maendeleo kwani mwanmke akiwezeshwa, anaweza.


mwanamke ametoka kwa mwanaume so wanaume ni wajanja zaidi ila wanawake tukiwawezesha wanakuwa janja :rolleyes:
 
Mara nyingi sana katika maisha usipojua udhaifu au matatizo ni ngumu sana kupata ufumbuzi.Inabidi tufike mahali wanawake tuwe wakweli kwa nafsi zetu ili tujue matatizo yalipo na kujikwamua.Tukiendelea kujipa faraja za uongo kila siku tutakuwa watu wa kuonewa.
Nadhani tuna kila sababu ya kujifanyia SWOT Analysis.
Tuwe wakweli kwa kuamini kwamba sisi ni mambumbumbu? na kwamba wanaume ndo wanaweza kila kitu na sisi hatuwezi? That is what i get kama unajibu swali la thread. Na sasa tutajikwamuaje wakati tushakubali kwamba we are dumb? mimi bado naamini kwamba mwanamke ni more clever
 
..Charity...Kama umemuelewa bujibuji vizuri mtazamo wake zaidi umelenga maisha ya kawaida ambamo na mwanamke yumo. Mambo ya harakati ni kipande kingine katika kutafuta kuwa juu tu. Mimi napenda kukubaliana na mwenye bandiko kuwa wanawake wengi wao ni wajanja,werevu sana.na ndio maana mambo mengine anayofanya mwanamke aidha bila mwanume wake kujua hawezi kuamini siku akigundua. Wanaume wengi si wajanja kiivyo, ila tu tumejaliwa kuwa na hulka ya kutumia nguvu na vishawishi tofauti na wanawake. Sasa wale wanaouuliza kuwa ujanja wa mwanamke uko kwenye nyanja gani wanaujua ukweli...kuanzia kwenye mahusiano,madaraka,elimu,siasa...Kwa mfano wanaume wangapi wanahangaika kupima watoto DNA? (wanahisi kutendwa na wanawake wao), wanawake wangapi wamepata nyadhifa kwa uwanawake wao, wanawake/wasichana wangapi wamefaulu mitihani vyuoni kwa uwanawake wao?, wanawake wangapi ambao wako kwenye siasa kwa uwanawake wao? wanawake wangapi wanaendesha magari mjini humu kwa magari waliyonunuliwa na wanaume kwa style mbali mbali? wanawake wangapi wamejengewa majumba na kufunguliwa biashara na wanaume kwa mitindo mbali mbali na mwisho kuishia kufanyiwa maumivu???....Sisemi wanawake ni watu wa kubebwa tu ila wanaweza ku-soften mambo kwa kutumia uwanawake wao.

Ninachoona hapo UNAKUBALI WANAWAKE SIO WAJANJA.Kuna kundi dogo sana la Wanawake wajanjan lakini wengi wetu ni kazi kwelikweli.

Kwenye blue-hayo yote ni MADHAIFU ya wanawake na sio ujanja.Kutaka kuonewa huruma kwa vile tu ni 'Mwanamke'

Kwenye Red - Wanaume wanaongoza kwa kuwa na watoto wa nje.Wanachiti sana wake zao.Wanawake wengi waaminifu.Tatizo ni kuwa Wanaume wakizaa nje wanaona ni halali lakini mwanamke akiwa na mtoto nje ya ndoa ni dhambi kubwa.Kwa hiyo huu nao sio ujanja.

Lete sababu nyingine..........
 
Tuwe wakweli kwa kuamini kwamba sisi ni mambumbumbu? na kwamba wanaume ndo wanaweza kila kitu na sisi hatuwezi? That is what i get kama unajibu swali la thread. Na sasa tutajikwamuaje wakati tushakubali kwamba we are dumb? mimi bado naamini kwamba mwanamke ni more clever

more clever how?
 
Jamii ni wanawake na wanaume ndio, lakini wewe hujiulizi kwa nini hadi leo mwanamke akigombea cheo kikubwa wanawake wenyewe hawampigii kura? simply because mind zao zishakuwa brainwashed na wanaume ambao ni selfish na kuwafanya wajione hawawezi.
Hizi habari za kulilia upendeleo ni propaganda za kisiasa ambazo in one way or another zinapelekea mwanamke kuzidi kujiona hawezi ushindani, ni pychological way ya kumfanya mwanamke azidi kuwa chini, na mimi kama mimi sikubaliani, i believe i can do things than many men my age cant do.
Kuamua kujikomboa au kutojikomboa ni decision ya mtu binafsi, especially wale wanawake walioonja shule na exposure wakishindwa kujikomboa na kusubiri wanaume, hao wana matatizo. Lakini at the end of the day mwanamke ni clever in so many ways.

unajua camel mpenzi ungeisaidia sana jamii yetu kama unge-anylyse critically the point of departure from absolute (or relative wahtsover) equality btw men and women hadi kupelekea hii situation unayodemonstrate hapa, badala ya kudiscuss outcomes of that departure.

be critical please
 
Tuwe wakweli kwa kuamini kwamba sisi ni mambumbumbu? na kwamba wanaume ndo wanaweza kila kitu na sisi hatuwezi? That is what i get kama unajibu swali la thread. Na sasa tutajikwamuaje wakati tushakubali kwamba we are dumb? mimi bado naamini kwamba mwanamke ni more clever

Usichanganye na mambo ya POSITIVE THINKING.Sijasema kuwa tubweteke kwa vile kiukweli kabisa tumezidiwa kete na wanaume.Ninamaanisha tukijua tunaposhindwa ni rahisi kurekebisha madhaifu yetu.
Hivi Mgonjwa wa ukimwi akishapima atakataa kuwa hana HIV? Ukweli ni kwamba anayo Hiv na itabidi aanze dozi mara moja ya ARV ili kusolve tatizo.
 
kama hivyo ndivyo je kwanini biblia inatuambia takae na wake zetu kwa akili kwani ni viumbe vidhaifu.

mwanamke ili apate sifa alizosema buji lazima apate kwa mwanaume:rolleyes::confused:
Biblia imehauri wanaume wakae na wake zao kwa hekima, kwa kuwa usipokuwa na hekima mwanamke humuwezi, They far more cleverer than men, no wonder Adam alilishwa tunda alillokatazwa, so kazi kwenu kuamua.
 
tell them mumy tell them
Biblia imehauri wanaume wakae na wake zao kwa hekima, kwa kuwa usipokuwa na hekima mwanamke humuwezi, They far more cleverer than men, no wonder Adam alilishwa tunda alillokatazwa, so kazi kwenu kuamua.
 
ndoa yenyewe bado kanisani hutaki kunipeleka unataka kufungua biblia kwa jili ya ubishi?

no dia tukokuelimishana mm na ww atubishani kabisa na ninaomba tufunge mjadala wasije wakanipindua bure dia
 
Biblia imehauri wanaume wakae na wake zao kwa hekima, kwa kuwa usipokuwa na hekima mwanamke humuwezi, They far more cleverer than men, no wonder Adam alilishwa tunda alillokatazwa, so kazi kwenu kuamua.

camel bwana kwa majibu, bro ana kazi!

naomba upitie conclusion yangu niliyomjibu pear halafu utoe comment please
 
Biblia imehauri wanaume wakae na wake zao kwa hekima, kwa kuwa usipokuwa na hekima mwanamke humuwezi, They far more cleverer than men, no wonder Adam alilishwa tunda alillokatazwa, so kazi kwenu kuamua.

mh unajua kwann shetani alimdanganya mwanamke? unajua kwann akumdanganya adamu? akili na hekima ni sawa bible aikusema ni clever ilisema ni wadhaifu tena imesema ni viumbe vidhaifu. je unapingana na hili?
 
Hii inanikumbusha yale maswali niliyokuwa nayachukia sana kwenye historia:
"After the second world war, US emerged as a leading global superpower so did the soviet union. Discuss"!!
 
camel bwana kwa majibu, bro ana kazi!

naomba upitie conclusion yangu niliyomjibu pear halafu utoe comment please
I might be convinced on your conclusion on fair -basis ground, otherwise and from my point of view women will always be clever. If they dont demonstrate it, its because there is a cloud somewhere. Thank you people.
 
Back
Top Bottom