Tutor B
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 9,025
- 6,554
Kwa mwendo wa mauaji ya raia wasio na hatia unaofanywa na jeshi la polisi; nashindwa kuendelea kuwa na imani na chombo hiki,
Zamani wakati upinzani unaanza kushika kasi, walimfukuza afisa usalama wa taifa mstaafu na kummiminia risasi hadi akapoteza maisha, walotekeleza hilo walishaachiwa,
Hivi sasa imekuwa ni jambo la kawaida kwenye vyombo vya habari kusikia wakitangaza kuwa polisi wamemuua mtu waliyemuhisi kuwa ni jambazi.
Sasa kama wanaua kwa hisia tu; siku wakihisi kwamba kusanyiko fulani ni majambazi si wataua tu? Mwana JF wasemaje!
Zamani wakati upinzani unaanza kushika kasi, walimfukuza afisa usalama wa taifa mstaafu na kummiminia risasi hadi akapoteza maisha, walotekeleza hilo walishaachiwa,
Hivi sasa imekuwa ni jambo la kawaida kwenye vyombo vya habari kusikia wakitangaza kuwa polisi wamemuua mtu waliyemuhisi kuwa ni jambazi.
Sasa kama wanaua kwa hisia tu; siku wakihisi kwamba kusanyiko fulani ni majambazi si wataua tu? Mwana JF wasemaje!