Richard
JF-Expert Member
- Oct 23, 2006
- 14,939
- 20,399
Kwako akija POLISI ni matatizo,akija KAKA JAMBAZI ni matatizo!
Ni kweli kabisa maana hawa wawili hawana tofauti.
Kwako akija POLISI ni matatizo,akija KAKA JAMBAZI ni matatizo!
Kwako akija POLISI ni matatizo,akija KAKA JAMBAZI ni matatizo!
Hamna mtu yeyote anayeweza kuwa na Imani na wakina jack zoka na company Yao lasivyo atakuwa kichaa
Ndio vichaa wenyewe hao mkuunchimbi,,,,,,,,anawaamini hao na anawapenda sana,,,,,
Kama asilimia kubwa ya askari hawatendi kazi yao ipasavyo moja kwa moja wanalipaka jeshi lote matope, sisi raia hatuna muda wa kuanza kuchambua askari moja msafi kati ya 1000 wachafu, wote watakuwa wachafu tuu na Nchimbi analijua hili vizuri sana tatizo la viongozi wetu hawapendi kutibu magonjwa wao ni kutafuta visingizio kila siku. Dawa ya jibu ni kulikamua tuu hata kama linauma!!!!Kusema huna imani na jeshi la si sawa. Ila huna imani na baadhi ya watendaji wa jeshi la polisi, lakini pia huna iman na serikali iliyowatelekeza askari poli na kuwaacha kufanys kazi katika mazingira magumu.
Kuna baadhi ya askari wanafanya kazi mpaka unakubali kazi zao, lakini wengine ni waovu. Tatizo si chombo, balli ni watu na serikali yao dhaifu