Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,385
:lol::lol:...Utakuwa sio kijeba kweli wewe..lol..mimi nina urefu wa 150 na kilo 87.....hapa nitakuwa niko sawa au......
mimi nina urefu wa 150 na kilo 87.....hapa nitakuwa niko sawa au......
mimi nina urefu wa 150 na kilo 87.....hapa nitakuwa niko sawa au......
lakini ni poa tu sio tatizo ...uko fitNina 171cm na nina 74kg,...niko over weight ila siko obese.
mimi nina urefu wa 150 na kilo 87.....hapa nitakuwa niko sawa au......
Utakuwa kama yule mkuu wa mkoa wa arusha...
lakini ni poa tu sio tatizo ...uko fit
mwe..muache dada preta bana ...wewe huwezi jua kuwa huo uzito wote umetokana na nini....hujui kuwa lenyewe tu linaweza kuwa na kilo zaidi ya 20
na usiulize ni li nini hapo underlined
Kuna mtaalamu mmoja wa nutrition alinambia kuwa nusu ya uzito wako ndo inatakiwa uwe uzito wako.
So kama una 180cm na kilo zako zatakiwa kuwa 90kg
Hahahaha!!! Ivugamwe..muache dada preta bana ...wewe huwezi jua kuwa huo uzito wote umetokana na nini....hujui kuwa lenyewe tu linaweza kuwa na kilo zaidi ya 20
na usiulize ni li nini hapo underlined
Mbona sasa hakuna umri hapo?
Kuna mtaalamu mmoja wa nutrition alinambia kuwa nusu ya uzito wako ndo inatakiwa uwe uzito wako.
So kama una 180cm na kilo zako zatakiwa kuwa 90kg