Je umewahi....?

Kwanini isiwe kwamba tabia yake ilikua kuwahi ila baada ya kujikuta kwenye sehemu tofauti na aliyokuwapo mwanzo akadevelop tabia mpya ambayo ni kutokujali???

Wakati mwingine watu wanabadilika kutokana na mazingira.

mara nyingi shida umasikini na tabi ndo zinafanya watu wabadilike
kama ilivyo power na pesa....watu wakiwa chini wanabadilika
wanajifanya wema saana,wasikivu n.k
wakiwa juu nddo wanakuwa jeuri na kadhalika....

but most of time,power na pesa zinawafanya wawe themselves....
ingawa sisi watu wa pembeni ndo tunaona wamekuwa tofauti....
 
ni kweli watu wengi huwa tunasahau tulikotoka. lakini pia na sie tunaosaidia watu huwa tunataka wakati mwingine mtu akusujudie kama mungu kisa tu ulimsaidia! kuna mtu kama alikutaftia kazi, basi anataka hata small house zake (bila kujali implications zake kwa mahusiano yako kazini na ktk jamii pia) uwatafutie kazi na pia kuwapa favor zisizo na maana. 'heshima' is a relative term, same as 'dharau'. sio kwa sababu umemsaidia mtu kitu flani ndo kila j1 aje kujipanga na familia yake kukusalimia. ama ukiwa na besdei kwako mkewe aje kufanya u-housigeli. inabidi kujifunza ku-take it easy wakati mwingi...

Hahahahah wifi bwana....
ni kweli kwamba kumsaidia mtu hakukupi wewe mamlaka yoyote juu yake.
Ila fikiria mume anaemsomesha mke/mke anamsomesha mume alafu baada ya mwenzake kupata hicho kisomo labda na kacheo kazini dharau nyumbani zinaanza...nyumba ndogo kwenye list na mengineyo kama hayo. Ni haki kweli???

Binafsi sijali hata kama mtu hatoniambia asante kwa kunisaidia as long as hatotumia nafasi/msaada niliyompa kunisumbua mimi kwa namna yoyote ile i'm good.
 
mara nyingi shida umasikini na tabi ndo zinafanya watu wabadilike
kama ilivyo power na pesa....watu wakiwa chini wanabadilika
wanajifanya wema saana,wasikivu n.k
wakiwa juu nddo wanakuwa jeuri na kadhalika....

but most of time,power na pesa zinawafanya wawe themselves....
ingawa sisi watu wa pembeni ndo tunaona wamekuwa tofauti....

Tatizo ni kwamba hamna namna ya kutuhakikishia hapo kwenye nyekundu kwamba ndio ukweli pekee. Labda tuseme inategemea kati ya mtu na mtu...wengine inawafanya waonyeshe uhalisi wao na wengine inawafanya wabadilike.
 
Tatizo ni kwamba hamna namna ya kutuhakikishia hapo kwenye nyekundu kwamba ndio ukweli pekee. Labda tuseme inategemea kati ya mtu na mtu...wengine inawafanya waonyeshe uhalisi wao na wengine inawafanya wabadilike.

kuonesha uhalisi wao na kubadilika ni kitu kimoja.......
wengine power zinawafanya wawe more humble and decent......

na wengine zinawafanya wawe more jeuri na dharau nyingi.....

si ni kweli ni mtu na mtu...but hayo tunayoyaona kuwa ni mabadiliko ni tabia halisi
zilizokuwa zimelala kwa sababu ya unyonge tu wa mwanzo....sasa zinajitokeza....
 
mara nyingi shida umasikini na tabi ndo zinafanya watu wabadilike
kama ilivyo power na pesa....watu wakiwa chini wanabadilika
wanajifanya wema saana,wasikivu n.k
wakiwa juu nddo wanakuwa jeuri na kadhalika....

but most of time,power na pesa zinawafanya wawe themselves....
ingawa sisi watu wa pembeni ndo tunaona wamekuwa tofauti....

ni kama limbwata vile, mwenyewe wajiona upo normal ila watu wa pembeni wanajua huyu kasharogwa
 
lizzy&the boss,kuna mazingira ambayo unless umepita hapo huwezi kuelewa situation yake. mfano,ulipokua primary skul,mtu akikuambia hana hela ya kukununulia viatu huamini manake unahisi vile anafanya kazi lazma ana hela kila wakati. kama mke alikua mwl wa chekechea ukasomesha,sasa ni kibosile. ana extended majukumu ukijumlisha na ya familia. hata stress levels zinabadilika,wakati mwingine she will loose it. kucheat hiyo ni tabia tu,kuna mtu hana kitu na anacheat.
bt am nt saying kua hakuna wanaodharau,bt mostly mi nadhani ukiwa on the positive side na kumpa mtu benefit of doubt labda hutaona kama ana dharau kivilee. mfano naweza kukutxt na usinijibu. bt maybe ulipoteza simu, u might be sick or even in deep s**t kiasi kwamba simu is on the lest of ur worries.when i come to ralise ur side of the story najikuta nili-over react tu!
 
kuonesha uhalisi wao na kubadilika ni kitu kimoja.......
wengine power zinawafanya wawe more humble and decent......

na wengine zinawafanya wawe more jeuri na dharau nyingi.....

si ni kweli ni mtu na mtu...but hayo tunayoyaona kuwa ni mabadiliko ni tabia halisi
zilizokuwa zimelala kwa sababu ya unyonge tu wa mwanzo....sasa zinajitokeza....

Ingekua hamna tofauti kati ya mtu na mtu kila anayeinuka angeelekea kwenye mkondo ule ule......
Usisahau kwamba kila mtu ana namna yake ya kuhandle mambo....moja wapo likiwa kupata power!
 
lizzy&the boss,kuna mazingira ambayo unless umepita hapo huwezi kuelewa situation yake. mfano,ulipokua primary skul,mtu akikuambia hana hela ya kukununulia viatu huamini manake unahisi vile anafanya kazi lazma ana hela kila wakati. kama mke alikua mwl wa chekechea ukasomesha,sasa ni kibosile. ana extended majukumu ukijumlisha na ya familia. hata stress levels zinabadilika,wakati mwingine she will loose it. kucheat hiyo ni tabia tu,kuna mtu hana kitu na anacheat.
bt am nt saying kua hakuna wanaodharau,bt mostly mi nadhani ukiwa on the positive side na kumpa mtu benefit of doubt labda hutaona kama ana dharau kivilee. mfano naweza kukutxt na usinijibu. bt maybe ulipoteza simu, u might be sick or even in deep s**t kiasi kwamba simu is on the lest of ur worries.when i come to ralise ur side of the story najikuta nili-over react tu!

Sasa hapa ndo umeongea nini? Wewe nawe bana...you are pumba maker number one!

Now shoot me with your rubber bullets. I double dare you!
 
lizzy&the boss,kuna mazingira ambayo unless umepita hapo huwezi kuelewa situation yake. mfano,ulipokua primary skul,mtu akikuambia hana hela ya kukununulia viatu huamini manake unahisi vile anafanya kazi lazma ana hela kila wakati. kama mke alikua mwl wa chekechea ukasomesha,sasa ni kibosile. ana extended majukumu ukijumlisha na ya familia. hata stress levels zinabadilika,wakati mwingine she will loose it. kucheat hiyo ni tabia tu,kuna mtu hana kitu na anacheat.
bt am nt saying kua hakuna wanaodharau,bt mostly mi nadhani ukiwa on the positive side na kumpa mtu benefit of doubt labda hutaona kama ana dharau kivilee. mfano naweza kukutxt na usinijibu. bt maybe ulipoteza simu, u might be sick or even in deep s**t kiasi kwamba simu is on the lest of ur worries.when i come to ralise ur side of the story najikuta nili-over react tu!

Agreed!!
Ila hiyo inatokea pale unapokua hujui kilichotokea hivyo unaassume ni mabadiliko ya kingazi.
Hujawahi kusikia mtu anamwambia rafiki/ndugu yake wewe sio level yangu tena??? Au mtu unampigia anasema unamsumbua na simu zako?Mtu ukimuomba muda wake kidogo anakujibu kwamba ana mambo ya maana zaidi ya kufanya wakati kabla ya hapo yeye ndo alikua akiomba muda wako all the time?

Mimi naongelea pale unapojua tatizo/dharau/mabadiliko yamesababishwa na nini....acha pale tunapohisi tu.
 
Agreed!!
Ila hiyo inatokea pale unapokua hujui kilichotokea hivyo unaassume ni mabadiliko ya kingazi.
Hujawahi kusikia mtu anamwambia rafiki/ndugu yake wewe sio level yangu tena??? Au mtu unampigia anasema unamsumbua na simu zako?Mtu ukimuomba muda wake kidogo anakujibu kwamba ana mambo ya maana zaidi ya kufanya wakati kabla ya hapo yeye ndo alikua akiomba muda wako all the time?

Mimi naongelea pale unapojua tatizo/dharau/mabadiliko yamesababishwa na nini....acha pale tunapohisi tu.


nimesema hapo juu mabadiliko ni lazima
na ni mabadiliko ya kumfanya mtu aoneshe tabia zake halisi...

but kama alivyoongelea king'asti...sometimes ni kweli mtu yupo bize...na hana muda hata
wa yeye kula chakula.....na akikwambia aisee nipo bize saana
wangapi mtaaelewa??????
 
nimesema hapo juu mabadiliko ni lazima
na ni mabadiliko ya kumfanya mtu aoneshe tabia zake halisi...

but kama alivyoongelea king'asti...sometimes ni kweli mtu yupo bize...na hana muda hata
wa yeye kula chakula.....na akikwambia aisee nipo bize saana
wangapi mtaaelewa??????

Mabadiliko sio lazima....bali mabadiliko yanaweza kutokea!!

Kuhusu mtu kueleweka akisema yuko bize inategemea anayeambiwa na namna anavyoambiwa!
 
u ar right in this one. of coz kuna watu wana dharau, bt maybe that is their way of handling issues? kuna mtu hawezi ku-handle frustrations zake, atazitolea kwingine. na mwingine unakuta ni calibre yake tu. well, it makes life easier ukiwachukulia watu jinsi walivyo, then hawakusumbui. maybe keeping out of their way?unakua unajaua tu kuwa king', pamoja na kumsaidia she aint reliable when it comes to this bt may be in that. there is a goodness in everyone if u look closely. mtu ambae ni very rude anaweza kukufaa wakati unahitaji ku-handle something rudely. na kuhusu kujuta, sidhani kama nitajuta coz it feels good internally kusaidia mtu. hata kama hato-recognise, the bible says 'fanya kama ni kwa bwana'
Ingekua hamna tofauti kati ya mtu na mtu kila anayeinuka angeelekea kwenye mkondo ule ule......
Usisahau kwamba kila mtu ana namna yake ya kuhandle mambo....moja wapo likiwa kupata power!
 
u ar right in this one. of coz kuna watu wana dharau, bt maybe that is their way of handling issues? kuna mtu hawezi ku-handle frustrations zake, atazitolea kwingine. na mwingine unakuta ni calibre yake tu. well, it makes life easier ukiwachukulia watu jinsi walivyo, then hawakusumbui. maybe keeping out of their way?unakua unajaua tu kuwa king', pamoja na kumsaidia she aint reliable when it comes to this bt may be in that. there is a goodness in everyone if u look closely. mtu ambae ni very rude anaweza kukufaa wakati unahitaji ku-handle something rudely. na kuhusu kujuta, sidhani kama nitajuta coz it feels good internally kusaidia mtu. hata kama hato-recognise, the bible says 'fanya kama ni kwa bwana'

hebo toa mfano wa faida ya mtu rude kidogo lol
 
Na wanawake wengi ndio huwa tunabadilika sana tukisaidiwa, mwanaume anaweza kuwa the same mwanzo mwisho
mwanamke anakusomesha anakupa kila kitu, then ukishapata kazi nzuri unaanza kuleta madharau
mie sikujua kama mke wa mtu wangu wa karibu sana atabadilika hivi, kaanzana na mumewe elimu hana
mume kamsomesha kuanzia chini mpaka alipo sasa, imekuja tu yule mume mambo yake yameenda vibaya
kidogo, kabadilika na sasa kamwambia aondoke awaachie nyumba na toto hana thamani tena

sijui ni kwa nn, nimeshuhudia wanawake wenzangu wengi sana wakiwa na mabadiliko ya aina hii na kushindwa
kuelewa ni hulka ama?
 
Na wanawake wengi ndio huwa tunabadilika sana tukisaidiwa, mwanaume anaweza kuwa the same mwanzo mwisho
mwanamke anakusomesha anakupa kila kitu, then ukishapata kazi nzuri unaanza kuleta madharau
mie sikujua kama mke wa mtu wangu wa karibu sana atabadilika hivi, kaanzana na mumewe elimu hana
mume kamsomesha kuanzia chini mpaka alipo sasa, imekuja tu yule mume mambo yake yameenda vibaya
kidogo, kabadilika na sasa kamwambia aondoke awaachie nyumba na toto hana thamani tena

sijui ni kwa nn, nimeshuhudia wanawake wenzangu wengi sana wakiwa na mabadiliko ya aina hii na kushindwa
kuelewa ni hulka ama?

Ni ulimbukeni tu....
Mungu pishia mbali siku nae apoteze hicho alichona nacho alafu ukute mume ameshajitengenezea mambo yake kwingine atakavyomganda!!
Tatizo ni kwamba wengi wetu hua tunasahau yaliyopita na hatufikirii yanayokuja.....yani tunaangalia leo tu!!!
 
Shantel kuna mmama mmoja; alikuwa muhasibu NBC Kgm, mumewe was nobody, mkewe kampa mtaji na akamfingulia kampuni. Mume pesa ikachanganya, bahati mbaya mke kazini akapata matatizo akafukuza (baada ya pigo la kwanza stroke); mume akawa hana tym na mkewe yeye na starehe na nyumba ndogo kibao!

Ni juzi tu; mume kampigia Simu mkewe na kumwambia anarudi home. Kuja kumuona mume ana mzinga wa donda; kumpeleka hospitali ni kisukari na mguu umekatwa kuanzia kwenye paja!

Point yangu ni kuwa ungratefulness haina gender; ni kwa vile mara nyingi wanaume wanakuwa juu kiuchumi hivyo kuwaweka kwenye better position ya kutoa msaada wa kifedha ndio maana unahukumu kuwa wanawake ni ungrateful!
Wamama wangapi huanza maisha na waume zao wakiwa chini na pesa zikikubali kina baba huwatelekeza for the model type modern girls.
 
Shantel kuna mmama mmoja; alikuwa muhasibu NBC Kgm, mumewe was nobody, mkewe kampa mtaji na akamfingulia kampuni. Mume pesa ikachanganya, bahati mbaya mke kazini akapata matatizo akafukuza (baada ya pigo la kwanza stroke); mume akawa hana tym na mkewe yeye na starehe na nyumba ndogo kibao!

Ni juzi tu; mume kampigia Simu mkewe na kumwambia anarudi home. Kuja kumuona mume ana mzinga wa donda; kumpeleka hospitali ni kisukari na mguu umekatwa kuanzia kwenye paja!

Point yangu ni kuwa ungratefulness haina gender; ni kwa vile mara nyingi wanaume wanakuwa juu kiuchumi hivyo kuwaweka kwenye better position ya kutoa msaada wa kifedha ndio maana unahukumu kuwa wanawake ni ungrateful!
Wamama wangapi huanza maisha na waume zao wakiwa chini na pesa zikikubali kina baba huwatelekeza for the model type modern girls.
Ni kweli kabisa unayo sema ndio maana nikasema pale mwanzo kabisa, wanawake wengi ila haiwajumuishi wanawake woooote
 
Back
Top Bottom