TWIZAMALLYA
JF-Expert Member
- Oct 1, 2011
- 397
- 81
Binafsi nilitoka city centre saa kumi nikapitia baharini maana nilipata taarifa kuwa ndiyo njia pekee iliyokuwa afadhali kwani ilikuwa inatembea kidogo.kufika maeneo ya Aghakhani njia ikawa haiendi kabisa mpaka saa moja inafika niko mitaa ya courtyard,nikajua ndo mwisho wangu lakini sikukimbia gari.