Nyati
JF-Expert Member
- Mar 6, 2009
- 2,489
- 1,813
Heshima mbele wanajamii,
Nimepata tatizo hili juzi na leo. Nina usafiri / gari aina ya Suzuki escudo. Juzi nilipowasha asubuhi nikajaribu kuweka "Reverse gear" ikakataa kabisa. Basi likasukumwa gari nikaendelea. Jana halikutokea hata kidogo. Leo asubuhi halikujitokeza pia, Lakini jioni ikawa kama juzi.
Mafundi wametoa sababu tofauti kama Petrol yenye maji, baridi, bearing zimekufa, Oil ilikuwa mbovu (nilifanya service jumamosi iliyopita), n.k. Lakini yaonekana wengi hawana uhakika.
Kama umeishawahi pata kitu kama hiki naomba ushauri na solution kama mwafahamu.
Natanguliza shukrani.
Nimepata tatizo hili juzi na leo. Nina usafiri / gari aina ya Suzuki escudo. Juzi nilipowasha asubuhi nikajaribu kuweka "Reverse gear" ikakataa kabisa. Basi likasukumwa gari nikaendelea. Jana halikutokea hata kidogo. Leo asubuhi halikujitokeza pia, Lakini jioni ikawa kama juzi.
Mafundi wametoa sababu tofauti kama Petrol yenye maji, baridi, bearing zimekufa, Oil ilikuwa mbovu (nilifanya service jumamosi iliyopita), n.k. Lakini yaonekana wengi hawana uhakika.
Kama umeishawahi pata kitu kama hiki naomba ushauri na solution kama mwafahamu.
Natanguliza shukrani.