Thinker96
JF-Expert Member
- Jan 15, 2011
- 311
- 66
Habarini wakuu wa jamvi,me ni kijana ambaye huwa nafikiria mambo mengi sana na mengine nashindwa kabisa moja ambalo imenibidi nililete hapa jamvini ni kuhusu hawa wenzetu wasio na uwezo wa kuona walio zaliwa nao,sio wale wa kuupata kwa namna moja ambaya mwenyezi amependa itokee...wakuu kikubwa hasa nilikuwa nataka kujua ni kwamba je VIPOFU wa kuzaliwa na upofu huwa wanaota ndoto?na kama wanaota wanaota wanaona nin?,katika ndoto nieleweka kama we ukiota na rangi ya vitu na vitu si huwa unatambua wao je?