Nakumbuka ilikuwa mwishoni mwaka 1999 nilitoka kijijini nilikozaliwa na kukulia na kwenda Moshi Mjini kuuza duka kwa mshahara wa 15,000/- kwa mwezi.
Nilipanga kufungua duka langu baada ya miaka michache. Bahati nzuri/mbaya nilifaulu kuendelea na Sekondari.