mwasambili
Senior Member
- Oct 28, 2013
- 151
- 77
Heshima kwenu wanajamvi, mara nyingi humu jukwaani tumesikia udsm wanachukua wanafunzi wenye viwango vizuri vya ufauru kidato cha sita lakini je inakuwaje hao hao wanafunzi wanadisco?
HIZI NI SABAU ZANGU TOA NA WEWE ZA KWAKO
1.inawezekana walichukua vilaza walio faulu (najua hapa itakuwa kazi kueleweka nina maana kwamba walifauru kwa njia zisizo halali au pengine ni alifaulu kwa bahati mbaya(alibahatisha kidato cha sita).
2.inawezekana wanapewa mitihani si kwa ajili ya kupima uwezo ila ni kwa ajili ya kukomoana (wakizani wanafunzi wengi kufeli sana ndio umakini wa chuo).
3.Hila za waalimu (kutokana na ugomvi unaoweza kutokea baina ya waalimu na wanafunzi)
4.inawezekana hawafundishwi vizuri na hivyo kusababisha kufeli(maprofesa wengi ni wazee hivyo wanachoka)
5.wameathiri wanafunzi kisaikolojia hivyo kuona elimu yao ni ngumu na kusoma ni mateso hivyo kuongeza hofu na kuwa na hamu ya kufaulu na sio kuelewa somo hivyo inawalazimu muda mwingine kukariri
6.wanafunzi wameendekeza mambo yasiyo ya muhimu chuoni..mfano starehe
7.wanazani ili mwalimu aonekane mahiri basi lazima akamate wanafunzi wengi
MY TAKE
chuo cha udsm sio chuo kizuri kusoma kwa sasa hasa kwa madogo wanaotegemea kujiunga mwakani kwa sababu
*hiki chuo kinaweza kukupotezea muda yaani unaweza ukasoma mpaka mwaka wa tatu alafu ukarudishwa nyumbani bila hata cheti na hivyo kukukatisha tamaa zaidi ya kuendelea kielimu
*Nawashauri wabadilishe hii kanuni ya kuanza upya masomo unapodisco badala yake iwe ni kupumzika nyumbani mwaka mmoja na akirudi mwanafunzi aendelee pale alipoishia(HII INATUMIKA ST JOSEPH UNIVERSITY IN TANZANIA)
*wanafunzi jengeni mahusiano mazuri na waalimu wenu maana inaonekana hatima yenu haiko uwezo wenu darasani bali ni mahusiano mazuri kati ya mwalimu na mwananafunzi
HIZI NI SABAU ZANGU TOA NA WEWE ZA KWAKO
1.inawezekana walichukua vilaza walio faulu (najua hapa itakuwa kazi kueleweka nina maana kwamba walifauru kwa njia zisizo halali au pengine ni alifaulu kwa bahati mbaya(alibahatisha kidato cha sita).
2.inawezekana wanapewa mitihani si kwa ajili ya kupima uwezo ila ni kwa ajili ya kukomoana (wakizani wanafunzi wengi kufeli sana ndio umakini wa chuo).
3.Hila za waalimu (kutokana na ugomvi unaoweza kutokea baina ya waalimu na wanafunzi)
4.inawezekana hawafundishwi vizuri na hivyo kusababisha kufeli(maprofesa wengi ni wazee hivyo wanachoka)
5.wameathiri wanafunzi kisaikolojia hivyo kuona elimu yao ni ngumu na kusoma ni mateso hivyo kuongeza hofu na kuwa na hamu ya kufaulu na sio kuelewa somo hivyo inawalazimu muda mwingine kukariri
6.wanafunzi wameendekeza mambo yasiyo ya muhimu chuoni..mfano starehe
7.wanazani ili mwalimu aonekane mahiri basi lazima akamate wanafunzi wengi
MY TAKE
chuo cha udsm sio chuo kizuri kusoma kwa sasa hasa kwa madogo wanaotegemea kujiunga mwakani kwa sababu
*hiki chuo kinaweza kukupotezea muda yaani unaweza ukasoma mpaka mwaka wa tatu alafu ukarudishwa nyumbani bila hata cheti na hivyo kukukatisha tamaa zaidi ya kuendelea kielimu
*Nawashauri wabadilishe hii kanuni ya kuanza upya masomo unapodisco badala yake iwe ni kupumzika nyumbani mwaka mmoja na akirudi mwanafunzi aendelee pale alipoishia(HII INATUMIKA ST JOSEPH UNIVERSITY IN TANZANIA)
*wanafunzi jengeni mahusiano mazuri na waalimu wenu maana inaonekana hatima yenu haiko uwezo wenu darasani bali ni mahusiano mazuri kati ya mwalimu na mwananafunzi