fikirikwanza
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 7,452
- 3,065
Ndg wanaJF ,
Ni wakati mzuri sasa baada ya uchaguzi wa mwaka 2005 na mwaka 2010 ambazo zilimweka kikwete madarakani kwa tiketi ya CCM, tukaangalia nini kilimweka mwaka 2005 na nini kilimweka mwaka 2010, hali ya kisiasa TZ, uwezo wa Kikwete kama rais, uwezo wa CCM kutoa rais mwaka 2015, na uwezo wa upinzani chini ya CHADEMA kutoa rais 2015, faida na hasara za kuwapa CCM au CHADEMA nchi mwaka 2015, Matakwa ya wananchi na ZAIDI MATAKWA YAKO WEWE BINAFSI kisha uamue na utwambie kama utapigia kura CCM au CHADEMA.
Nitashukuru kupata mawazo yako kabla sijatoa ripoti kuhusu changamoto na mafanikio, mwelekeo wa nchi ifikapo 2015.
Naomba kuwasilisha.
Ni wakati mzuri sasa baada ya uchaguzi wa mwaka 2005 na mwaka 2010 ambazo zilimweka kikwete madarakani kwa tiketi ya CCM, tukaangalia nini kilimweka mwaka 2005 na nini kilimweka mwaka 2010, hali ya kisiasa TZ, uwezo wa Kikwete kama rais, uwezo wa CCM kutoa rais mwaka 2015, na uwezo wa upinzani chini ya CHADEMA kutoa rais 2015, faida na hasara za kuwapa CCM au CHADEMA nchi mwaka 2015, Matakwa ya wananchi na ZAIDI MATAKWA YAKO WEWE BINAFSI kisha uamue na utwambie kama utapigia kura CCM au CHADEMA.
Nitashukuru kupata mawazo yako kabla sijatoa ripoti kuhusu changamoto na mafanikio, mwelekeo wa nchi ifikapo 2015.
Naomba kuwasilisha.