BabaK
Member
- Jun 30, 2009
- 14
- 0
Jumapili nilibahatika kuhudhlia pambano hati ya Timu ya mpira wa miguu Ethiopia "The LUCY" na twiga stars ya kwetu.baadaye katafrija kadogo Ubalozini kutokana na ushindi wao 3-1.
Kinachonishangaza mpaka majira ya saa tatu na nusu hivi tulipokuwa tunamalizia katafrija hako hakuna kiongozi yeyote wa chama cha mpira wa miguu Tanzania aliyeweza kutuma salamu za pongezi si kwa kocha au ubalozi kwa timu hiyo kupeperusha bendela ya taifa vizuri.Je imeterekezwa.
Kinachonishangaza mpaka majira ya saa tatu na nusu hivi tulipokuwa tunamalizia katafrija hako hakuna kiongozi yeyote wa chama cha mpira wa miguu Tanzania aliyeweza kutuma salamu za pongezi si kwa kocha au ubalozi kwa timu hiyo kupeperusha bendela ya taifa vizuri.Je imeterekezwa.