Ronn M
JF-Expert Member
- May 2, 2012
- 1,279
- 683
Katika ulimwengu wa sasa ni kuwa makini tu vijana...wakitoa takwimu za makanisani mtakimbia...za wilaya mtashangaa.....but walio wengi vyuoni wana mahusiano ya kawaida.....ila kuna wachache wanajiuza kabisa hasa UDSM...kuna hostel za kufoji survey na mlalakuwa wamegeuza guest usiku...unapigia humo humo....na hii imewafuata hata mademu walioko changanyikeni,golani,kibo na msewe....wengi wanagongwa na watu wa nje bora una pesa ya kumfanya apendeze mjini hapa....baadhi wanagawa kwa malecturers hasa CASS na UDBS.
People have details. People have experience! Lol