Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,064
- 7,196
Kumbuka vitambaa havitolewi bure vitakuwa vinauzwa,kwahiyo ni hela yako tu,sasa kama watanzania wote tupo vizuri tutanunua quality ya juu,vinginevyo ni sawa tu viwepo vya style zote.
kama ni kuuzwa kila mtu atanunua kitambaa kwa ukubwa anaoutaka kulingana na mahitaji na kipato lakini ubora wa kitambaa kutofautiana ni tatizo..kwanini kiwe tofauti..lakini??