Clarity
JF-Expert Member
- Jul 6, 2010
- 1,551
- 1,968
Huyu waziri ni pumba tu anafikiri kwa kutumia Masaburi amekataa kupitisha mchakato wa ndg yetu aliyetaka kuanzisha chuo kwa ajili ya kutrain watanzania vijana ili kuja kufanya kazi ambazo hapo baadae zitahitaji maexpart na kulipwa Pesa mingi
Eti awekewe dola laki tatu mezani ndio aweze kupitisha hiyo proposal na hatimaye chuo
SHAME ON HIM
Eti awekewe dola laki tatu mezani ndio aweze kupitisha hiyo proposal na hatimaye chuo
SHAME ON HIM