Je, Tumekosa 'LEGACY' na 'VISION' ya JK ktk sherehe za Miaka 50?

Andrew

Member
Feb 14, 2007
6
0
Wana-JF, nilidhani Mkuu wa kaya angetupatia kitu cha maana sana watz kama vile kuelezea kwa kinaganaga juhudi zilizokwisha fanyika, kitu ambacho kingebakia kama 'Legacy' yake wakati wa kutoa hotuba ya kuazimisha miaka 50 ya uhuru pale kiwanjani, na hata kutoa maono au dira yake 'VISION' kwa miaka mingine 50 inayokuja ambayo ingeweza kuwekwa kwenye kumbukumbu muhimu kwa mstakabali wa taifa. kwa mshangao mkubwa hatukuona ujasiri zaidi ya kuomba msamaha wa kutokuoa hotuba ndefu! je, tunaelekea wapi? maana tunajua tulikotoka!
 
Haya ni mambo ambayo anafikir mtu mwenye akili. Kwa mtu mwenye akili kama jk ni vigum sana kufikiria kwa upeo wa mbali namna hiyo. Hata wewe nikupe pongezi kwa kuwa umekaa na kufikiria kuwa Jk ilibiidi afanye nini. Yaani unaakili kuliko hata jk yawezekana ukawa president wetu umejitahidi kuanalyse kumzidi m.kwere.
 
Andrew, una hoja za msingi ambazo zaweza kosa wachangiaji kwa vile umekosea jukwaa. Peleka hii jukwaa la siasa.

Pia naachukua nafasi hii kukukaribisha another greatest thinker!
 
Wana-JF, nilidhani Mkuu wa kaya angetupatia kitu cha maana sana watz kama vile kuelezea kwa kinaganaga juhudi zilizokwisha fanyika, kitu ambacho kingebakia kama 'Legacy' yake wakati wa kutoa hotuba ya kuazimisha miaka 50 ya uhuru pale kiwanjani, na hata kutoa maono au dira yake 'VISION' kwa miaka mingine 50 inayokuja ambayo ingeweza kuwekwa kwenye kumbukumbu muhimu kwa mstakabali wa taifa. kwa mshangao mkubwa hatukuona ujasiri zaidi ya kuomba msamaha wa kutokuoa hotuba ndefu! je, tunaelekea wapi? maana tunajua tulikotoka!

Ona hoja mkuu.
 
hoja ni nzuri ila unatakiwa ujitambulishe kwanza halafu upeleke hoja yako kwenye jukwaa husika. Karibu sana
 
Nchi inapokosa dira na maadili kwa viongozi gharama yake ni kubwa sana kwa maendeleo endelevu.
 
Back
Top Bottom