Pape
JF-Expert Member
- Dec 11, 2008
- 5,488
- 79
you can say that again...:A S tongue:Sio TID tu wezi wa kazi mbona wapi wengi tu TID kaiba wimbo wa bendi ya PASADA ya Msumbiji,pia Diamond Music mapenzi kitu gani ni wimbo wa Olomide,haya Banana yeye anashuka bondeni kwa Oliver Mtukudzi,na AKUDO wao wanageuza nyimbo za Ferre na Ipupa.