mathematics
JF-Expert Member
- Feb 21, 2012
- 3,323
- 1,105
Kuna siku nilikuwa nasikilza claudz fm kipindi cha leo tena, mtangazaji mmoja akaleta habari ya kwamba ilitokea karibuni huko Kenya mtu aligandana na mke wa mtu! Maskini mume alikuwa amesafiri, mke na hawara wake wa nje wakaona ndio wakati wao wa kuiba, wakaenda faragha wakaanza majamboz, njemba akajimegea walipomaliza wakashangaa haitoki!!! Kumbe mume alimuwekea mke wake tego!
Haikuwa mara ya kwanza kusikia stori ya namna hii, nimeshasikia huko nyuma kutokea huko Tanga / Dododoma lakini nikawa najiluiza pasipo kuwa na majibu nimeona nilete hapa jamvini tuangalie maoni tofauti
Sasa je wana JF naulizza, je sayansi hii yetu ya asili ikitumika vizuri inaweza kusaidia kuboresha uaminifu kwenye mapenzi baina ya wapendanao haswaa mke na mume ?
Haikuwa mara ya kwanza kusikia stori ya namna hii, nimeshasikia huko nyuma kutokea huko Tanga / Dododoma lakini nikawa najiluiza pasipo kuwa na majibu nimeona nilete hapa jamvini tuangalie maoni tofauti
Sasa je wana JF naulizza, je sayansi hii yetu ya asili ikitumika vizuri inaweza kusaidia kuboresha uaminifu kwenye mapenzi baina ya wapendanao haswaa mke na mume ?