Ndiyo maana watu hawajiandikishi kupiga kura, wamekata tamaa, hivyo kuendelea kuwa Watawaliwa na Wanyonge!
Penye Dhiki na Njaa; Amani Utulivo na Mshikamano vina manufaa gani?
Bluray,Penye dhiki na njaa, by definition, hapana amani.
Kwa hiyo hii notion iliyoumba swali la "Penye dhiki na njaa Amani na Utulivu na mshikamano vina manufaa gani?" inabidi iwe re-examined.
Amani na utulivu ni pamoja na kutokuwa na njaa, ukishakuwa na njaa huna amani na utulivu.
Kwa hiyo hizi nyimbo za amani na utulivu tunazoimbiwa si za kweli.Kuna amani gani kwa watu wanaohemea maembe mabichi kwa kukosa chakula?. Unaweza kuniambia kuna complacency au hata debatable contentedness in some cases, lakini si amani.
Kuna amani gani kwa watu wanaokunywa maji ya tope na kupata magonjwa kwa sababu hamna maji safi.
Kwangu mimi amani inajumuisha kutokuwa na njaa na dhiki, bila hivi amani itakuwa ya kuchongwa tu.Tusiilimit amani kwenye sense ya "kutokuwepo kwa mapigano" tu, hii ni narrow thinking, sawa na kuona bombings ndizo terrorism wakati the real terror ya malaria inaua millions of people.
Penye dhiki na njaa, by definition, hapana amani.
Kwa hiyo hii notion iliyoumba swali la "Penye dhiki na njaa Amani na Utulivu na mshikamano vina manufaa gani?" inabidi iwe re-examined.
Amani na utulivu ni pamoja na kutokuwa na njaa, ukishakuwa na njaa huna amani na utulivu.
Kwa hiyo hizi nyimbo za amani na utulivu tunazoimbiwa si za kweli.Kuna amani gani kwa watu wanaohemea maembe mabichi kwa kukosa chakula?. Unaweza kuniambia kuna complacency au hata debatable contentedness in some cases, lakini si amani.
Kuna amani gani kwa watu wanaokunywa maji ya tope na kupata magonjwa kwa sababu hamna maji safi.
Kwangu mimi amani inajumuisha kutokuwa na njaa na dhiki, bila hivi amani itakuwa ya kuchongwa tu.Tusiilimit amani kwenye sense ya "kutokuwepo kwa mapigano" tu, hii ni narrow thinking, sawa na kuona bombings ndizo terrorism wakati the real terror ya malaria inaua millions of people.
lini atamuonya papa fisadi rostam ili aheshimu ripoti ya kamati ya bunge na kuacha kuropokaropoka!?
Anachokisema hapa JK ni kuhusu upotoshaji wa makusudi kwa lengo la kutishia au kuvuruga amani.
Juzi nilienda Pemba, Wapemba wamesusia kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la kupiga kura, nilipoingia mitaani na dodoso langu, baadhi wakaniamini, wakasema, hatujiandikishi na tumejipanga uchaguzi haufanyiki pemba, na wako tayari kufa kulinda uhuru wao.
Ningekuwa mwandishi nikaandika Pemba hakuna uchaguzi ni damu kumwagika, hata kama ni kweli, gazeti lingetoa hiyo, breki ya pili ni msalabani. Ndicho anachosema JK
Mkuu wangu pengine sikukuelewa lakini kama wewe ni mwandishi wa habari unatakiwa Uandike habari hiyo kwani sii uzushi..Upotoshaji ni pale unapoandika kitu ambacho hakipo kabisaaa, lakini kama kweli Wapemba wamekataa kujiandikisha wao na kuweka madai kwamba uchaguzi hautafanyika, Na wako tayari kufa... huo ndio ukweli tunaotaka kuusikia mapema kuliko kusubiri siku ya mwisho ya kufa kwao pasipo kuelewa haswa sababu ya mauaji hayo.
Damu haiwezi kumwagika ikiwa wananchi wamekataa kujiandikisha na itaeleweka mapema, hivyo utaratibu mwingine unaweza kutumika ikiwa ni pamoja na kutazama sababu zilizowafanya wafikie maamuzi hayo. Pengine yawezekana kabisa muafaka baina ya Maalim Seif na Karume kuwa ndio sababu kubwa. Hivyo, mapema inawezekana kurekebishika au vyama husika kutazama upya muafaka huo..Kwa ujumla makosa huanzia kwa viongozi wenyewe, magazeti ni upepo unaokoleza moto ulokwisha washwa na viongozi wetu.