Papa D
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 753
- 182
Viongozi wengi walopata mafanikio katika uongozi wao sehemu mbalimbali Duniani hawakuacha kusema maneno haya kwenye hotuba zao:- "......for the future Generation/...... kwa vizazi vijavyo"
Nimefuatilia viongozi wa TZ wenye ngazi ya kuanzia ukuu wa mkoa hadi Rais. Kinogozi wa mwisho kusema maneno hayo katika hotuba zake ni Mzee mwinyi mwaka 1987 [ off course with the exclusion of Nyerere].
Wana JF kwa nini viongozi wetu wanaogopa/wanashindwa kutuonyesha hisia zao kwa vizazi vijavyo?
Nimefuatilia viongozi wa TZ wenye ngazi ya kuanzia ukuu wa mkoa hadi Rais. Kinogozi wa mwisho kusema maneno hayo katika hotuba zake ni Mzee mwinyi mwaka 1987 [ off course with the exclusion of Nyerere].
Wana JF kwa nini viongozi wetu wanaogopa/wanashindwa kutuonyesha hisia zao kwa vizazi vijavyo?