NgomaNzito
JF-Expert Member
- Jan 10, 2008
- 559
- 26
Katiba ya nchi navyoelewa kuwa Rais na Makamu wake wakiwa hawapo nchini(wamesafiri) nje ya nchi Spika ndio hukaimu nafasi ya urais hadi
mmojawapo anaporudi,
Mida hii JK yupo Libya kwenye sherehe za Ghadaffi na Makamu Dr Shein kaenda Geneva kwenye mkutano wa Hali ya hewa
Therefore Spika anakaimu???
mmojawapo anaporudi,
Mida hii JK yupo Libya kwenye sherehe za Ghadaffi na Makamu Dr Shein kaenda Geneva kwenye mkutano wa Hali ya hewa
Therefore Spika anakaimu???