The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
Wenye hasira sana nadhani wanaishia kutokwa na machozi huku wakitoa sauti kama za kwikwi vile....nawe pia? Mimi huwa naona nyota kisha napoteza fahamumi mkali kama simba. Hahahaha!
Nakutania mwaya, mi mpole sana. Ninapokuwa na hasira to the maximum huwa nashindwa kufanya chochote yaani upole ndio unazidi.
Najua tukio hilo litanipandisha hasira.