ABEDNEGO
Senior Member
- Aug 20, 2009
- 109
- 30
Wadau nisaidieni katika hili kwani linanitatiza sana,Hivi ni kweli kwamba siasa ni ajira inayoendana na ukoo?Kwani mara nyingi naona kina Kennedys,Bushs,Kenyattas,Kikwetes,Kabilas nk ndiyo wanashika nafasi za kisiasa au madaraka ya kuongoza wengine?Nina uhakika wadau wengi hapa wameelewa ni maana yake.Nihabarisheni......Maana jana nilimtembelea ndugu yangu ambaye ni Mh.Waziri na kumkuta mdogo wake akijitutumua kuwa anaenda kugombea Ubunge hali namjua kuwa kichwani hamnazo kabisaa!!!