Je Siasa ni ajira ya Ukoo?

ABEDNEGO

Senior Member
Aug 20, 2009
109
30
Wadau nisaidieni katika hili kwani linanitatiza sana,Hivi ni kweli kwamba siasa ni ajira inayoendana na ukoo?Kwani mara nyingi naona kina Kennedys,Bushs,Kenyattas,Kikwetes,Kabilas nk ndiyo wanashika nafasi za kisiasa au madaraka ya kuongoza wengine?Nina uhakika wadau wengi hapa wameelewa ni maana yake.Nihabarisheni......Maana jana nilimtembelea ndugu yangu ambaye ni Mh.Waziri na kumkuta mdogo wake akijitutumua kuwa anaenda kugombea Ubunge hali namjua kuwa kichwani hamnazo kabisaa!!!
 
Wadau nisaidieni katika hili kwani linanitatiza sana,Hivi ni kweli kwamba siasa ni ajira inayoendana na ukoo?Kwani mara nyingi naona kina Kennedys,Bushs,Kenyattas,Kikwetes,Kabilas nk ndiyo wanashika nafasi za kisiasa au madaraka ya kuongoza wengine?Nina uhakika wadau wengi hapa wameelewa ni maana yake.Nihabarisheni......Maana jana nilimtembelea ndugu yangu ambaye ni Mh.Waziri na kumkuta mdogo wake akijitutumua kuwa anaenda kugombea Ubunge hali namjua kuwa kichwani hamnazo kabisaa!!!

Siasa ni kuongoza watu na ukoo wenu umewahi kuongoza watu wana tabia ya kuamini like father like son/daughter

Siasa kwa aina ya demo-cracy ni siasa ya kuchaguliwa na watu si kwakuwa unazo ila kama unaweza "kuchaguliwa" na watu..waweza kutumia pesa, jina la ukoo wako, usanii, kununua systems (e.g. NEC) lakini mategemeo yao uwe na akili

Taratibu za kupata viongozi wa siasa ndio zinakuletea viongozi wabovu...kwasababu wanakuwa wamesoma na kujua tricks of the game! rough or smooth!

Myself I don't give a damn to demo-cracy..to have a leader! leader mzuri upstairs kuna namna nzuri ya kumpata....siyo uchaguzi...ukitaka darasa ..litaendelea..
 
Siasa ni kuongoza watu na ukoo wenu umewahi kuongoza watu wana tabia ya kuamini like father like son/daughter

Siasa kwa aina ya demo-cracy ni siasa ya kuchaguliwa na watu si kwakuwa unazo ila kama unaweza "kuchaguliwa" na watu..waweza kutumia pesa, jina la ukoo wako, usanii, kununua systems (e.g. NEC) lakini mategemeo yao uwe na akili

Taratibu za kupata viongozi wa siasa ndio zinakuletea viongozi wabovu...kwasababu wanakuwa wamesoma na kujua tricks of the game! rough or smooth!

Myself I don't give a damn to demo-cracy..to have a leader! leader mzuri upstairs kuna namna nzuri ya kumpata....siyo uchaguzi...ukitaka darasa ..litaendelea..

Kwa nchi zilizoendelea yawezekana kuwa ni kweli kwa maana ya kuwa uongozi ni kipaji,Hapa kwetu hakika ni tamaa na ujasiria mali wa kufuata mkondo upi unaleta hela kwa wepesi katika familia.Si kweli kuwa viongozi wetu sisi hapa Bongo tunawatambua kwa vipaji vya uongozi ni kinyume chake zaidi,Ndo maana wapo viongozi tuliowachagua kwa haiba zao ,kwa sura zao,kwa utajiri wao,kwa ahadi zao hewa nk.Kwa hali hiyo tumekosa viongozi wabunifu na wenye vipaji vya kuongoza.Sanduku la kura ni hatua ya mwisho tuu ya kuidhinisha viongozi kwani Kiongozi wa kweli huchaguliwa hata kabla ya kupigiwa kura.
 
Katibu Mkuu wa CCM, Mh Makamba alishasema kuwa mtoto wa mwanasiasa atakuwa mwanasiasa kwa kuwa anaiga kazi ya baba yake na wa mkata mkonge atakuwa mkata mkonge. sijui wewe baba yako ana kazi gani. Pole sana.
 
Katibu Mkuu wa CCM, Mh Makamba alishasema kuwa mtoto wa mwanasiasa atakuwa mwanasiasa kwa kuwa anaiga kazi ya baba yake na wa mkata mkonge atakuwa mkata mkonge. sijui wewe baba yako ana kazi gani. Pole sana.

Loh, kwa mtaji huo basi tumekwisha!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Kwa mahali ambapo hakuna corruption, hiyo inaweza ku'apply, maana mtu wa familia au ukoo wa kiongozi anakuwa kwa kiasi kikubwa anaelewa matatizo anayokumbana nayo mtangulizi wa familia hiyo ndani ya uongozi, kwahiyo ataingia kwa kumaanisha!

Lkaini kwa sehemu kama huku kwetu, ni kinyume kabisa...mtu anapigania aongoze watu, kitu ambacho kinaleta hisia mbaya sana, na inaonyesha wazi kwamba nia za wengi ni ajira na maslahi!
 
Wadau nisaidieni katika hili kwani linanitatiza sana,Hivi ni kweli kwamba siasa ni ajira inayoendana na ukoo?Kwani mara nyingi naona kina Kennedys,Bushs,Kenyattas,Kikwetes,Kabilas nk ndiyo wanashika nafasi za kisiasa au madaraka ya kuongoza wengine?Nina uhakika wadau wengi hapa wameelewa ni maana yake.Nihabarisheni......Maana jana nilimtembelea ndugu yangu ambaye ni Mh.Waziri na kumkuta mdogo wake akijitutumua kuwa anaenda kugombea Ubunge hali namjua kuwa kichwani hamnazo kabisaa!!!
ulimtembelea waziri gani mkuu?
 
kwani mtoto wa marehemu naye si mbunge, eti kisa babaake nae alikuwa mwana siasa. Mtoto wa kikwete si naye mjumbe wa nec, mtoto wa mzindakaya, mtoto wa nauye
 
Back
Top Bottom