Je Serikali ya Muungano ndio mlinzi wa Mapinduzi ya "Wazanzibari"?

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Mar 10, 2006
33,461
39,928
shamte_cabinet2.jpg


Januari 12, 1964 mizani ya utawala ya Visiwa vya Zanzibar ilibadilishwa daima; waliokuwa watawala wa miaka mingi walijikuta wakiwa hawana nafasi tena na Sultani akatimuliwa na uzao wake kunyang'anywa kiti cha Usultani wa Zanzibar. Lakini zaidi serikali ya Waarabu wengi ya Waziri Mkuu Shamte ilipinduliwa na serikali ya wananchi chini ya Abein Amaan Karume kusimikwa. Katika kuyalinda mapinduzi hayo Zanzibar ikaingia/ingizwa katika Muungano wa TAnganyika ambao ni nchi kubwa yenye uwezo mkubwa na hivyo kuyaweka salama mapinduzi yale. Kwa miaka karibu hamsini sasa mapinduzi ya Zanzibar yamelindwa zaidi na uwepo wa Muungano. Nje ya Muungano - wapo ambao tunaamini hivyo - mapinduzi ya Zanzibar hayasalimiki - tishio lake bado likiwa dhahiri kama lilivyokuwa 1964 au 1972 kufuatia mauaji ya Abeid Karume.

Mauaji ya Karume yangeweza kabisa kufanya counter revolution na kama tulivyoona kwenye ile clip ya Video Sultani Jamsheed alikuwa na matumaini kuwa "watu wake" wangeweza kumtaka arudi. Bila ya shaka alijisahau kuwa Zanzibar iko ndani ya Muungano na serikali ya Muungano isingeweza kuruhusu kutokea kwa counter revolution. Hadi hivi sasa serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar iko salama - baadhi yetu tunaamini - kwa sababu ya Muungano; nje ya Muungano serikali hiyo iko matatani?

Je, yawezekana basi kuwa juhudi za kutaka kuvunja Muungano ni juhudi za kupinga mapinduzi? Kwamba, endapo Zanzibar ikafanikiwa kutoka kwenye muungano katika kile kinachoitwa 'umoja, udugu, na historia ya pamoja' mapinduzi ya Zanzibar yatakuwa hatarini? Je, Nje ya Muungano Mapinduzi ya Zanzibar yanaweza kulindwa?

Lakini swali kubwa - ambalo inshallah nitajaribu nami kulitafutia jibu ni hili: Kwanini Serikali ya Tanganyika itumike kulinda mapinduzi ya Zanzibar? Ni lini Wazanzibar wataanza kuwa tayari kulinda mapinduzi yao wao wenyewe bila kuwa ndani ya Muungano?

Je, tukiendelea na kampeni ya "Let Zanzibar Go" wananchi wa Zanzibar wataharakisha kutoka kwenye Muungano ili walinde mapinduzi yao - kama bado wanayathamini? Kama mtu wa bara naamini tumeshatumia kiasi cha kutosha kulinda mapinduzi haya na kuleta utulivu mkubwa visiwani bila jaribio lolote kubwa la counter revolution. Kwa vile hili ni kweli na kwa vile wapo Wazanzibari ambao wanaamini kuwa wako tayari kuyalinda na "kuyaenzi" mapinduzi haya vikundi vya Uamsho na mihadhara vitajipatia uhalali zaidi kama watahubbiri sifa za mapinduzi na kuwa wao watayalinda na kuyatunza kwani hawauhitaji Muungano kulinda mapinduzi hayo!

I was just saying....
 
Binafsi siupendi muungano na hizi ndizo sababu zangu



Moja: Mimi Mtanganyika, siruhusiwi kisheria kumiliki ardhi ndani ya Zanzibar! Wao wanaruhusiwa kuja huku kwetu kumiliki ardhi, Muungano kwa hilo haunisaidii, unanidhulumu.

Mbili: Mzanzibar anakuwa subsidized kwenye bili yake ya Umeme wa TANESCO wakati Zanzibar hawazalishi umeme, na wamekataa kuilipa TANESCO, na TANESCO ime capitulate ili "kulinda Muungano." Kwa hiyo bill yangu ya umeme ni kubwa kuliko ya Mzanzibar wakati Umeme unatoka kwetu. Dhulma nyingine kwa Mtanganyika.

Tatu: Wazanzibar wana uwakilishi usioendana na uwiano wa watu. Kuna Wazanzibar milioni moja na ushee, kuna Watanganyika milioni arobain na ushee. Haiwezekani wakapewa wabunge 75! Watu wachache wanakuwa na sauti kubwa zaidi ya maamuzi. Katika mifumo ya kidemokrasia duniani kuna msingi mmoja unaoitwa "one man one vote" ukiwa na maana kwamba makundi ya wa watu wenye idadi inayokaribia kuwa sawa lazima yawe na wawakilishi wenye idadi inayokaribia kuwa sawa. Kuwezi kuwa na watu milioni moja wana wabunge 75! Hii ni dhulma kwa Tanganyika.

Nne: Sasa hivi Tanzania kuna marais watano, Shein, Iddi, Kikwete, Hamad, na Billal! Tanganyika inabeba mzigo mkubwa kuhudumia viongozi wa juu wa nchi, madarakani na wastaafu, waliojaa kutokana na muungano. Na familia za viongozi wa Kizanzibar za wake wengi wengi ( Billal, Mwinyi) zinatuongezea mzigo usio na sababu. Tunawahudumia mpaka wafe! Mzigo!

Tano: kutokana na mipaka ya mamlaka ya pande mbili za Muungao kutokuwa delineated, Wazanzibar wamo kwenye uongozi katika maeneo ambayo si ya Muungano, mfano Waziri Mwinyi, Afya. Kero!

Sita: Wabunge wa Zanzibar wanapokea posho kukaa kwenye vikao ambavyo haviwahusu, mambo ambayo si ya Muungano. Hasara!

Saba: kuna tofauti za kijamii na kitamaduni kati ya sehemu hizi mbili zinazosababisha maambukizi ya dhana za kijamii ambazo kwetu Bara zinaleta tatizo, na mwishowe utakuja ugaidi kutokea Zanzibar.

Mfano, Mbunge wa Zanzibar - bora angekuwa wa Bara - Mbunge wa Zanzibar alisimama Bungeni akauliza ni lini Tanganyika itakuja mahakama ya kiislamu. Sasa Zanzibar kuna Mahakama ya Kadhi, Zanzibar is a predominantly Muslim region, ndo maana unaweza kuchoma Kanisa Zanzibar with impunity, bila adhabu, kwa hiyo haina tatizo ukiwa na Mahakama ya Kiislamu kwenye nchi ambayo watu wake ni Waislam anyway. Sasa huku Bara, Mahakama ya Kislamu itakuwepo katika utaratibu gani ambapo nusu ama zaidi ya nusu ya watu ni Wakristo? Hapa kuna tofauti za kijamii ambazo Zanzibar wanataka kuziambukiza Bara. Kwa hiyo, kama ugaidi wa Wahabi extremism utakuja Tanzania, utatokea Zanzibar!

Nane:Zanzibar haichangii chochote kwenye uchumi wa Tanzania. Zanzibar ina uchumi mdogo kupita wilaya ya Kahama, ndani ya Shinyanga! Na siwalaumu manake hakuna kitu! Sasa, unaniuliza, Mtwara inachangia kwenye uchumi sawa na Shinyanga ambapo kuna Kahama? Na jibu lake ni la hasha, lakini Mtwara wala Mwanza hawajajitangaza kwamba wao ni nchi! Ndio maana hatuulizani huku Bara eti wewe wa Mtwara unachangia nini kulinganisha na Mbeya? Hapana, kwa sababu Mbeya na Mtwara na Shinyanga na Mwanza, yote ni mikoa ya Watanzania! Zanzibar nayo, kwa vile inabebwa, ilibidi iwe mkoa!

Tisa: Zanzibar wanapewa "affirmative action" quotas kwenye nafasi za elimu ya juu pamoja na uongozi. Zanzibar hawana chuo kikuu cha maana, kwa hiyo inabidi kuwatengea nafazi kwenye vyuo vyetu, hali kadhalika kwenye nafasi za uongozi, uwaziri, ubalozi n.k. Kwa hiyo ni raisi zaidi kupata nafasi za elimu na za uongozi ukiwa unatokea Zanzibar. Na hauhitaji elimu za juu saaana kufika mbali kama wewe ni Mzanzibar. Na Mtanganyika ukitaka kupanda ngazi haraka, jifanye Mzanzibar (Jaji Augustino Ramadhani, Rais Mwinyi!) Hii si haki.

Kumi: Wabara na tamaduni zetu na dini zetu hatutakiwi Zanzibar, Zanzibar wanafukuza Watanganyika, wanachoma makanisa, wanachoma visu wenye ma baa ya pombe, which begs the question why give them liquor license in the first place? Unapopewa leseni ya kuanzisha kanisa au ya biashara ya kuuza pombe na unailipia fees zote na kodi ni lazima upate ulinzi na msaada wa serikali. Lakini hakuna anaechukuliwa hatua kwa mateso ya Watanganyika visiwani. Muungano wa nini hapo?

Kumi na moja: Hakuna kiongozi ama mtu yeyote aliyeko tayari kutuambia faida za Muungano ili tuweze kupima bora ni kipi. Ukiuliza faida za Muungano, unaambiwa sisi na Wanzazibar tuna historia ya udugu. Really? Historia! Sio mustakabali,historia! Wakenya hatuna historia na udugu nao? Angalau Kenya tuna share asili ya "uweusi," Zanzibar wengi asili yao Waarabu! Kama ni udugu tuungane na Kenya basi?! Na kama tuna asili ya udugu na Wazanzibar mbona chokochoko haziishi toka tuungane, kwa nini ni Muungano wa kuvutana? Maana tuna natural connections, udugu, nilitegemea Muungano uwe seamless! Hakuna anaejua faida. "tutajieni hasara zake na sisi ndio tutataja faida zake..."


Kumi na mbili: Wazanzibar kwanza ni wanafiki pili hawana shukrani au wanaona hakuna cha kushukuru. Wanafiki kwa sababu hawataki Muungano lakini Tundu Lissu aliposimama bungeni kuu lambast Muungano Wazanzibar wakalia wakamlaani. Ni kama mke ambae hakutaki lakini anaogopa kwenda kuanza maisha mwenyewe! Hawana shukrani kwa sababu Wamejaa Kariakoo, Namanga, Ilala, Buguruni, all over the place wanafanya shughuli zao hakuna anaewaghasi, lakini wao ndio wa kwanza kutu distract na kelele za kutotaka Muungano, sasa kwa nini tuwabebe watu ambao hawaoni wanachohisaniwa? Ni sawa na binadamu na Punda wake. Binadamu anadai shukrani kwa kumtunza Punda, Punda yeye anaona umempandia mgongoni, shukrani ya nini? Anakupiga mateke. Basi haina haja kubebana migongoni wala kupigana mateke, tutengane!

Kumi na tatu: Katika mapendekezo ya marekebisho ya Muungano hakuna structural formulation ambayo ni viable au haipingwi. Serikali moja inapingwa Zanzibar. Hawatakubali yagudu! Serikali tatu sio fiscally feasible, haiwezekani, Tanzania ni nchi ndogo sana kuwa na serikali tatu. Sasa hivi tuna marais na makamu wao watano, na mawaziri wa Bara na Visiwani karibu 80, kwa serikali mbili. Tukiwa na serikali tatu tutakuwa na maraisi kumi na mawaziri mia mbili? Ni mzigo wa gharama. Serikali mbili ndio tutarudi hapa hapa tulipo! Ridiculous.

Kingine katika mapendekezo ya formulation ya Muungano mpya ambacho hakiwezekaniki, ni kwamba Zanzibar wanataka uhuru zaidi. Wanadai, kwa mfano, autonomy kwenye Mambo ya nje. Kama vile, waingine EA Community kivyao, au FIFA, au OIC, kivyao. Wanataka na mfumo wao wa kodi. Na Benki Kuu. Na Bandari. Na elimu ya juu. Na jeshi pia wanahoji, kwa nini dola yao haina jeshi. Sasa swali, ni je, kama kila kitu tunataka kila mtu awe kivyake, Muungano wa nini sasa? Hahahahaa....

Kumi na nne: Zanzibar wana Baraza la Wawakilishi, na wana Wabunge Dodoma. Wale wabunge 75 wa Zanzibar pale Dodoma wana ongeza mzigo kwa nchi! Zanzibar ingetosha kuwa na wabunge watano tu! Unguja na Pemba jumla yake inaingia mara tano ndani ya Masasi na Nachingwea! Ambazo ni wilaya ndogo sana ndani ya Mtwara, mkoa mdogo kupita yote Tanganyika ukiondoa Dar-es-Salaam. Mzigo!

Kumi na tano: Tanzania kuna TRA na Zanzibar kuna ZRB. Mbongo ukifanya biashara Zanzibar unakong'otwa kodi TRA na ZRB. Kwa nini kila mtu asiwe na sarafu yake na mambo yake?

Kumi na sita: Zanzibar wana bendera yao, wana Rais wao, wana timu yao ya mpira, wana bunge lao, wana nembo yao. Muungano gani huo wenzetu wana bendera, Tanganyika kwa nini hatuna bendera, hatuna bunge letu, hatuna Rais wetu?

Kumi na saba: Ukikutana na Mzanzibar nchi za nje yeye anaji identify kama Mzanzibar. Lakini kamwe mimi siji identify kama m-Mtwara au Mmakonde. Mtanzania kwanza, umakonde wangu baadae. Hawa Wazanzibaar hawajisikii kama wenzetu, kwa hiyo hata akiwa anatangaza nchi yetu hatawaambiwa watu "Karibuni Tanzania," atasema "Karibuni Zanzibar." Mimi nikiwa nje ya nchi nataka kuwavutia watu siwaambii karibuni Mtwara! Natangaza Tanzania yetu. Wazanzibar hawafanyi hivyo, si wenzetu!

Kumi na nane: Mzanzibar ana haki ya absentee balot ambayo mimi sina. Kwa nini? Mimi siruhusiwi kupiga kura nikiwa Zanzibar eti nachagua Mbunge wa Bara au Rais, sheria ya Zanzibar hainitambui, sheria ya Zanzibar ime define nani Mzanzibar na nani sio! Lakini Rais Shein alipiga kura yake kugombea Urais wa Zanzibar akiwa Bara, how come? What the ....?! Usawa uko wapi?

Kumi na tisa: Zanzibar hawataki kugawana potential ya chochote walichonacho. Mtafiti mmoja kawaambia kuna mafuta. Dooooo! Balaa! Ikawa "Hatutaki Muungano! Hatutaki Muungano!" kisa? Mafuta! Potential ya mafuta! Basi waachwe waende zao na mafuta yao na ka nchi kao, tutatua mzigo mkubwa mno.

Ishirini: HATI YA MUUNGANO IKO WAPI? Kwa nini Muungano umejaa usiri na ukiuliza unatiwa kizuizini? (Hamad, Jumbe, Doorado n.k.) The only evidence of the union treaty which is being prolmugated ni kiambatanishi kilichowekwa kama adendum kwenye Union Act of 1964, ambacho kilichakachuliwa kabla ya kuchapishwa! The original hati ya Muungano imeteketezwa!

Hati ina umuhimu gani? Well, kwa sababu Muungano hauna solid legal foundation (Hati ya Muungano wala kura ya maoni wala sheria ya Baraza la Wawakilishi ya kuridhia Muungano) chokochoko zitokanazo hazitaisha, zitaendelea kula national attention ya nchi na kutu distract, kututoa kwenye focus ya mambo muhimu, tunabaki tunaongelea Zanzibar, Muungano, Zanzibar, Muungano kila siku wakati ni sehemu ndogo tu ya Tanzania. Wakati hauna faida yeyote, hasara tupu.

Siutaki Muungano.
 

Katika kuyalinda mapinduzi hayo Zanzibar ikaingia/ingizwa katika Muungano wa TAnganyika ambao ni nchi kubwa yenye uwezo mkubwa na hivyo kuyaweka salama mapinduzi yale. Kwa miaka karibu hamsini sasa mapinduzi ya Zanzibar yamelindwa zaidi na uwepo wa Muungano. Nje ya Muungano - wapo ambao tunaamini hivyo - mapinduzi ya Zanzibar hayasalimiki - tishio lake bado likiwa dhahiri kama lilivyokuwa 1964 au 1972 kufuatia mauaji ya Abeid Karume.

....
Nini kinakufanya uamini hivyo Mzee? yaani Zanzibar iliingia kwenye muungano kulinda mapinduzi?
 
Edson,
Nakubaliana na wewe kwa 100%. Zaidi nimeprint ili niwe nasoma mara kwa mara. Bravo. Hatuwezi kujadili muungano kila siku utadhani mapato ya Tanzania kwa asilimia 90% yanatokana na Muungano. Kumbe hasara ni nyingi.
 
hawa jamaa wanachokidai faida yake ni ndogo kuliko hasara...kwa tetesi zilizopo za matajiri wa OMAN kufadhili harakati za uamsho ,ina maana waarabu bado wana ndoto za kurudi zanzibar na watarudi tuu ..time will tell
 
Binafsi siupendi muungano na hizi ndizo sababu zangu



Moja: Mimi Mtanganyika, siruhusiwi kisheria kumiliki ardhi ndani ya Zanzibar! Wao wanaruhusiwa kuja huku kwetu kumiliki ardhi, Muungano kwa hilo haunisaidii, unanidhulumu.

Mbili: Mzanzibar anakuwa subsidized kwenye bili yake ya Umeme wa TANESCO wakati Zanzibar hawazalishi umeme, na wamekataa kuilipa TANESCO, na TANESCO ime capitulate ili "kulinda Muungano." Kwa hiyo bill yangu ya umeme ni kubwa kuliko ya Mzanzibar wakati Umeme unatoka kwetu. Dhulma nyingine kwa Mtanganyika.

Tatu: Wazanzibar wana uwakilishi usioendana na uwiano wa watu. Kuna Wazanzibar milioni moja na ushee, kuna Watanganyika milioni arobain na ushee. Haiwezekani wakapewa wabunge 75! Watu wachache wanakuwa na sauti kubwa zaidi ya maamuzi. Katika mifumo ya kidemokrasia duniani kuna msingi mmoja unaoitwa "one man one vote" ukiwa na maana kwamba makundi ya wa watu wenye idadi inayokaribia kuwa sawa lazima yawe na wawakilishi wenye idadi inayokaribia kuwa sawa. Kuwezi kuwa na watu milioni moja wana wabunge 75! Hii ni dhulma kwa Tanganyika.

Nne: Sasa hivi Tanzania kuna marais watano, Shein, Iddi, Kikwete, Hamad, na Billal! Tanganyika inabeba mzigo mkubwa kuhudumia viongozi wa juu wa nchi, madarakani na wastaafu, waliojaa kutokana na muungano. Na familia za viongozi wa Kizanzibar za wake wengi wengi ( Billal, Mwinyi) zinatuongezea mzigo usio na sababu. Tunawahudumia mpaka wafe! Mzigo!

Tano: kutokana na mipaka ya mamlaka ya pande mbili za Muungao kutokuwa delineated, Wazanzibar wamo kwenye uongozi katika maeneo ambayo si ya Muungano, mfano Waziri Mwinyi, Afya. Kero!

Sita: Wabunge wa Zanzibar wanapokea posho kukaa kwenye vikao ambavyo haviwahusu, mambo ambayo si ya Muungano. Hasara!

Saba: kuna tofauti za kijamii na kitamaduni kati ya sehemu hizi mbili zinazosababisha maambukizi ya dhana za kijamii ambazo kwetu Bara zinaleta tatizo, na mwishowe utakuja ugaidi kutokea Zanzibar.

Mfano, Mbunge wa Zanzibar - bora angekuwa wa Bara - Mbunge wa Zanzibar alisimama Bungeni akauliza ni lini Tanganyika itakuja mahakama ya kiislamu. Sasa Zanzibar kuna Mahakama ya Kadhi, Zanzibar is a predominantly Muslim region, ndo maana unaweza kuchoma Kanisa Zanzibar with impunity, bila adhabu, kwa hiyo haina tatizo ukiwa na Mahakama ya Kiislamu kwenye nchi ambayo watu wake ni Waislam anyway. Sasa huku Bara, Mahakama ya Kislamu itakuwepo katika utaratibu gani ambapo nusu ama zaidi ya nusu ya watu ni Wakristo? Hapa kuna tofauti za kijamii ambazo Zanzibar wanataka kuziambukiza Bara. Kwa hiyo, kama ugaidi wa Wahabi extremism utakuja Tanzania, utatokea Zanzibar!

Nane:Zanzibar haichangii chochote kwenye uchumi wa Tanzania. Zanzibar ina uchumi mdogo kupita wilaya ya Kahama, ndani ya Shinyanga! Na siwalaumu manake hakuna kitu! Sasa, unaniuliza, Mtwara inachangia kwenye uchumi sawa na Shinyanga ambapo kuna Kahama? Na jibu lake ni la hasha, lakini Mtwara wala Mwanza hawajajitangaza kwamba wao ni nchi! Ndio maana hatuulizani huku Bara eti wewe wa Mtwara unachangia nini kulinganisha na Mbeya? Hapana, kwa sababu Mbeya na Mtwara na Shinyanga na Mwanza, yote ni mikoa ya Watanzania! Zanzibar nayo, kwa vile inabebwa, ilibidi iwe mkoa!

Tisa: Zanzibar wanapewa "affirmative action" quotas kwenye nafasi za elimu ya juu pamoja na uongozi. Zanzibar hawana chuo kikuu cha maana, kwa hiyo inabidi kuwatengea nafazi kwenye vyuo vyetu, hali kadhalika kwenye nafasi za uongozi, uwaziri, ubalozi n.k. Kwa hiyo ni raisi zaidi kupata nafasi za elimu na za uongozi ukiwa unatokea Zanzibar. Na hauhitaji elimu za juu saaana kufika mbali kama wewe ni Mzanzibar. Na Mtanganyika ukitaka kupanda ngazi haraka, jifanye Mzanzibar (Jaji Augustino Ramadhani, Rais Mwinyi!) Hii si haki.

Kumi: Wabara na tamaduni zetu na dini zetu hatutakiwi Zanzibar, Zanzibar wanafukuza Watanganyika, wanachoma makanisa, wanachoma visu wenye ma baa ya pombe, which begs the question why give them liquor license in the first place? Unapopewa leseni ya kuanzisha kanisa au ya biashara ya kuuza pombe na unailipia fees zote na kodi ni lazima upate ulinzi na msaada wa serikali. Lakini hakuna anaechukuliwa hatua kwa mateso ya Watanganyika visiwani. Muungano wa nini hapo?

Kumi na moja: Hakuna kiongozi ama mtu yeyote aliyeko tayari kutuambia faida za Muungano ili tuweze kupima bora ni kipi. Ukiuliza faida za Muungano, unaambiwa sisi na Wanzazibar tuna historia ya udugu. Really? Historia! Sio mustakabali,historia! Wakenya hatuna historia na udugu nao? Angalau Kenya tuna share asili ya "uweusi," Zanzibar wengi asili yao Waarabu! Kama ni udugu tuungane na Kenya basi?! Na kama tuna asili ya udugu na Wazanzibar mbona chokochoko haziishi toka tuungane, kwa nini ni Muungano wa kuvutana? Maana tuna natural connections, udugu, nilitegemea Muungano uwe seamless! Hakuna anaejua faida. "tutajieni hasara zake na sisi ndio tutataja faida zake..."


Kumi na mbili: Wazanzibar kwanza ni wanafiki pili hawana shukrani au wanaona hakuna cha kushukuru. Wanafiki kwa sababu hawataki Muungano lakini Tundu Lissu aliposimama bungeni kuu lambast Muungano Wazanzibar wakalia wakamlaani. Ni kama mke ambae hakutaki lakini anaogopa kwenda kuanza maisha mwenyewe! Hawana shukrani kwa sababu Wamejaa Kariakoo, Namanga, Ilala, Buguruni, all over the place wanafanya shughuli zao hakuna anaewaghasi, lakini wao ndio wa kwanza kutu distract na kelele za kutotaka Muungano, sasa kwa nini tuwabebe watu ambao hawaoni wanachohisaniwa? Ni sawa na binadamu na Punda wake. Binadamu anadai shukrani kwa kumtunza Punda, Punda yeye anaona umempandia mgongoni, shukrani ya nini? Anakupiga mateke. Basi haina haja kubebana migongoni wala kupigana mateke, tutengane!

Kumi na tatu: Katika mapendekezo ya marekebisho ya Muungano hakuna structural formulation ambayo ni viable au haipingwi. Serikali moja inapingwa Zanzibar. Hawatakubali yagudu! Serikali tatu sio fiscally feasible, haiwezekani, Tanzania ni nchi ndogo sana kuwa na serikali tatu. Sasa hivi tuna marais na makamu wao watano, na mawaziri wa Bara na Visiwani karibu 80, kwa serikali mbili. Tukiwa na serikali tatu tutakuwa na maraisi kumi na mawaziri mia mbili? Ni mzigo wa gharama. Serikali mbili ndio tutarudi hapa hapa tulipo! Ridiculous.

Kingine katika mapendekezo ya formulation ya Muungano mpya ambacho hakiwezekaniki, ni kwamba Zanzibar wanataka uhuru zaidi. Wanadai, kwa mfano, autonomy kwenye Mambo ya nje. Kama vile, waingine EA Community kivyao, au FIFA, au OIC, kivyao. Wanataka na mfumo wao wa kodi. Na Benki Kuu. Na Bandari. Na elimu ya juu. Na jeshi pia wanahoji, kwa nini dola yao haina jeshi. Sasa swali, ni je, kama kila kitu tunataka kila mtu awe kivyake, Muungano wa nini sasa? Hahahahaa....

Kumi na nne: Zanzibar wana Baraza la Wawakilishi, na wana Wabunge Dodoma. Wale wabunge 75 wa Zanzibar pale Dodoma wana ongeza mzigo kwa nchi! Zanzibar ingetosha kuwa na wabunge watano tu! Unguja na Pemba jumla yake inaingia mara tano ndani ya Masasi na Nachingwea! Ambazo ni wilaya ndogo sana ndani ya Mtwara, mkoa mdogo kupita yote Tanganyika ukiondoa Dar-es-Salaam. Mzigo!

Kumi na tano: Tanzania kuna TRA na Zanzibar kuna ZRB. Mbongo ukifanya biashara Zanzibar unakong'otwa kodi TRA na ZRB. Kwa nini kila mtu asiwe na sarafu yake na mambo yake?

Kumi na sita: Zanzibar wana bendera yao, wana Rais wao, wana timu yao ya mpira, wana bunge lao, wana nembo yao. Muungano gani huo wenzetu wana bendera, Tanganyika kwa nini hatuna bendera, hatuna bunge letu, hatuna Rais wetu?

Kumi na saba: Ukikutana na Mzanzibar nchi za nje yeye anaji identify kama Mzanzibar. Lakini kamwe mimi siji identify kama m-Mtwara au Mmakonde. Mtanzania kwanza, umakonde wangu baadae. Hawa Wazanzibaar hawajisikii kama wenzetu, kwa hiyo hata akiwa anatangaza nchi yetu hatawaambiwa watu "Karibuni Tanzania," atasema "Karibuni Zanzibar." Mimi nikiwa nje ya nchi nataka kuwavutia watu siwaambii karibuni Mtwara! Natangaza Tanzania yetu. Wazanzibar hawafanyi hivyo, si wenzetu!

Kumi na nane: Mzanzibar ana haki ya absentee balot ambayo mimi sina. Kwa nini? Mimi siruhusiwi kupiga kura nikiwa Zanzibar eti nachagua Mbunge wa Bara au Rais, sheria ya Zanzibar hainitambui, sheria ya Zanzibar ime define nani Mzanzibar na nani sio! Lakini Rais Shein alipiga kura yake kugombea Urais wa Zanzibar akiwa Bara, how come? What the ....?! Usawa uko wapi?

Kumi na tisa: Zanzibar hawataki kugawana potential ya chochote walichonacho. Mtafiti mmoja kawaambia kuna mafuta. Dooooo! Balaa! Ikawa "Hatutaki Muungano! Hatutaki Muungano!" kisa? Mafuta! Potential ya mafuta! Basi waachwe waende zao na mafuta yao na ka nchi kao, tutatua mzigo mkubwa mno.

Ishirini: HATI YA MUUNGANO IKO WAPI? Kwa nini Muungano umejaa usiri na ukiuliza unatiwa kizuizini? (Hamad, Jumbe, Doorado n.k.) The only evidence of the union treaty which is being prolmugated ni kiambatanishi kilichowekwa kama adendum kwenye Union Act of 1964, ambacho kilichakachuliwa kabla ya kuchapishwa! The original hati ya Muungano imeteketezwa!

Hati ina umuhimu gani? Well, kwa sababu Muungano hauna solid legal foundation (Hati ya Muungano wala kura ya maoni wala sheria ya Baraza la Wawakilishi ya kuridhia Muungano) chokochoko zitokanazo hazitaisha, zitaendelea kula national attention ya nchi na kutu distract, kututoa kwenye focus ya mambo muhimu, tunabaki tunaongelea Zanzibar, Muungano, Zanzibar, Muungano kila siku wakati ni sehemu ndogo tu ya Tanzania. Wakati hauna faida yeyote, hasara tupu.

Siutaki Muungano.

Ndugu, huutaki muungano umefnya jitihahada gani kuukataa? Sasa kama ulikuwa hupendi wabunge kutoka zanzibar kuwepo bungeni katika mambo yasio ya muungano badilisheni jina la bunge liwe bunge la tanganyika na siontanzania. Tafuteni tanganyika kwanza. Nyerere ni bambaluu alisema cha tanganyika kitabaki kuwa cha tanganyika na cha zanzibar kitakuwa cha muungano matokeo yake cha tanganyika kimekuwa cha muungano cha zanzibar kimebaki kuwa cha zanzibar :D
 
Tunahangaika na kupoteza muda, kupoteza fedha na nguvu nyingi kuulinda Muungano huu. Miungano ya aina hii kokote ilikofanyika imevunjika. Tena kama sababu yenyewe ni kulinda mapinduzi ya 1964 hiyo ni kichocheo tosha kuuvunja muungano huu kwa kuwa:
-Waliopinduliwa wapo kwa wingi ndani na nje ya Zanzibar;
-Waliopinduliwa wana nguvu kubwa kiuchumi, kielimu, kiushawishi;
-Waliopinduliwa sasa wamo serikalini(SMZ) tena kwa nafasi kubwa na nyeti sana;
-Waliopindua sio walioshika madaraka tangu ile January 12, 1964;
-Katiba ya JMT sasa, kuliko wakati mwingine wowote, haina MLINZI wala MTETEZI;
Urusi haipo, Yugoslavia haipo, Ethiopia imezaa Eritrea, Somalia haipo kabisa, Sudan itaendelea kumeguka, Chekoslovakia haipo, Tanzania inangoja nini?
 
Binafsi siupendi muungano na hizi ndizo sababu zangu


Chokochoko zitokanazo hazitaisha, zitaendelea kula national attention ya nchi na kutu distract, kututoa kwenye focus ya mambo muhimu, tunabaki tunaongelea Zanzibar, Muungano, Zanzibar, Muungano kila siku wakati ni sehemu ndogo tu ya Tanzania. Wakati hauna faida yeyote, hasara tupu.

Siutaki Muungano.
.
Mkuu Edson

Heshima kwako ... kwa kweli ume- analyse vizuri

Napendekeza maelezo haya ... yatengenezwe Posters / vipeperushi .... yabandikwe nchi nzima ... Watanzania wote wayajue na watafakari!

Hongera kwa ku-think 'Outside of the Box'
 
Historia hupenda kujirudia haya mambo yamechanganya toka wakati wa mkoloni, mimi ningependa kuangalia zaidi historia ya Zanzibar kuanzia tuseme about 1960, wakati waingereza wakijitayarisha kuwaachia wazalendo kujiendesha. Kama ilivyokuwa Tanganyika kipindi hiki Znz wakafanya uchaguzi, tofauti na Tanganyika ambako Tanu walishinda kwa kura nyingi na Nyerere kuwa waziri mkuu mambo visiwani ilikuwa tofauti.

Uchaguzi wa mwanzo Januari 1961 ZNP na ASP kila kimoja kilipata viti 11 ingawa ASP walidai kuwa wameibiwa kura (Kumbuka CUF 95,00,05??), hivyo wakoloni wakatayarisha uchaguzi mwingine Juni mwaka huo na kuongeza viti kuwa 23. ZNP kwa kuungana na ZPPP wakapata viti 13 na ASP ikapata 10 ingawa walishinda kura nyingi. Fujo zikaibuka watu wakauwawa (Pemba 00??) ASP wakadai faulu ya wizi wa kura na vilevile kudai kuwa mipaka ya majimbo ya uchaguzi yalipendelea ZNP, kwamba majimbo yao ASP yalifanywa kuwa makubwa kwa makusudi.

Baada ya kutwaa madaraka ZNP ikapiga marufuku baadhi ya vikundi, na kujaza serikalini watu wao na kufukuza wale ambao iliona wanalalia upande wa ASP.(Kumbuka CCM Znz baada ya uchaguzi??)

Kabla ya Uhuru uchaguzi mwingine ukafanyika tena 1963 na kama 1961 mambo yakawa vilevile majimbo yakaongezwa na kuwa 31, ingawa mseto wa ASP ya Karume na Umma Party cha Babu walishinda 54% ya kura walipata viti 13 na ZNP/ZPPP kuchukua vilivyobaki. ZNP chini ya Shamte wakaongeza ubaguzi wao serikalini na mashirika ya umma (CCM baada ya 95,00??) wakawafukuza kazi wanajeshi na polisi wenye asili ya bara, wakapiga marufuku Umma party na Babu akakimbilia Dar.

Uhuru kamili toka kwa waingereza ulipotangazwa mnamo 10 disemba, 1963 ZNP/ZPPP wakawa wameshika hatamu kwenye usultani wa kikatiba (constitutional monarchy) huku sultani Jamshid akiwa kiongozi wa nchi na Shamte waziri mkuu.

INGIA JOHN OKELLO

Huyu bwana hatajwi sana siku hizi kwenye siasa za Zanzibar, lakini mzaliwa huyu wa Uganda ndio alikuwa kinara wa mapinduzi ya Januari 64. Bado wasomi wa historia wanazozana kuhusu Karume na Babu kama walihusikaje kwenye mapinduzi haya...Ingawa Babu amekiri mara kadhaa kutojua kwake kwa haya mapinduzi yaliyochochewa na Okello. Inadaiwa pia kuwa Okello alimpeleka Karume Dar ili awe salama wakati huo ingawa ni wazi Karume alikuwa na shughuli nyingine tofauti Bara kipindi hicho.

Kipindi hicho kulikuwa na tetesi ya mapinduzi ambayo Babu, Hanga na kwa kushirikiana na Kambona walikuwa wanaanda kuipindua serikali , hivyo basi Okello akawawahi kwa kushirikiana na mgambo na vijana wa ASP youth league na polisi waliofukuzwa kazi waliweza kuteka vituo vikuu vyo polisi mji mkongwe na kuteka redio na uwanja wa ndege. Jamshid, Shamte na baraza la mawaziri walifanikiwa kutoroka Znz kwa kutumia meli ya sultani Seyyid Khalif kwenda Dar na baadae Sultani alienda Portsmouth, UK alipo hadi leo...sijui kwa nini hakwenda kwa babu zake Oman mi sijui sababu alikimbilia kwa wakoloni zake wa mwanzo. Anyway Okello akaanza vitisho redioni na kuamrisha vikosi vyake kuwakamata waarabu na wahindi visiwani, kukawa na umwagaji mkubwa wa damu ambao hadi leo hatujui idadi kamili, ubakaji, wizi na uharibifu mkubwa wa mali.

Angalia video hii ya kasheshe kipindi hicho

Arab Massacre in Zanzibar - YouTube

Hii video ni sehemu ya sinema ya kiitaliani inaitwa Africa Addio. Kwa kweli kuna ubishi wa idadi kamili ya vifo kuanzia 1,000 hadi wengine wanadai 20,000 SMZ haijawahi kutoa tamko wala kuunda tume huru kuchunguza mauaji haya ya mapinduzi.

Cha msingi tunajua kilichotokea baada ya mapinduzi Karume akarudi na kuwa Rais, likaundwa baraza la mapinduzi Babu akawa waziri wa mambo ya nje Hanga makamu wa rais. Muda si mrefu Okello akazuiwa kuingia Znz wakati anarudi safari toka Dar mwishowe alirudi uganda ambako inaaminika Idi Amin aliimmaliza 1972, baada ya yeye Okello kudaiwa kusema kuwa sasa Uganda ina field marshall wawili, yaani yeye na Amin.

Hata hivyo kama haya mapinduzi ambayo SMZ inadai ni matakatifu mbona nabii wake mkuu yaani Okello hawamuenzi? yaani Znz vijana wengi siku hizi hawajui Okello ni nani, na wala ushirika wake katika mapinduzi yao. Hakuna kumbukumbu (barabara au square) wala hatajwi mashuleni kwao.

Je Okello ni Shujaa (Hero) au Villain? only history will tell...

MUUNGANO BAADA YA MAPINDUZI

Ingawa wengi naona humu wanadai kuwa muungano uliletwa kuzuia ujio tena wa Sultani, historia inaonyesha tofauti. Mapinduzi kwa kiasi kikubwa yaliungwa mkono na weusi wengi Znz hasa unguja ikumbukwe wakati huo idadi ya watu znz ilikuwa kama 300,000 huku weusi na washirazi kama 230,000 waarabu 50,000 na wahindi/waasia 20,000. Ingawa idadi kubwa tu ya watu walikuwa ni mchanganyiko, lakini weusi walikuwa wanatengwa ZNP hawakuwa na waziri mweusi kwenye baraza lao na vilevile kazi nyingi za juu serikalini walipewa waarabu na wahindi. Weusi kwenye sekondari hawakuzidi 12%...Hivyo basi sera za mwanzo za ASP na Umma za kuongeza nafasi za kazi, shule pamoja na kujengea weusi makazi bora pamoja na kuwaongezea huduma za afya ziliwapa wapenzi wengi.

Tatizo likawa kama kwenye serikali nyingine za kiafrika upinzani ukapigwa marufuku, uhuru binafsi na wa kujichanganya ukawa duni, uhuru wa vyombo vya habari nao vilevile ikawa hakuna.

Ingawa Karume alikuwa popular lakini bado alikuwa na wasiwasi na vuguvugu la Umma party na sera zao za mlengo wa shoto(ukomunisti), na hii ndio inaaminika kuwa sababu kubwa ya kuungana na Tanganyika na si tishio la kurudi sultani. Wengine wanasema baada ya mkutano kati ya Obote, Kenyatta, Karume na Nyerere kuhusu kuunda Shirikisho la afrika mashariki kuvunjika, basi Nyerere na Karume wakaamua kuunda muungano wao bila kujali Kenya na Uganda.

Ukweli halisi hatuwezi kujua maana wote ni marehemu.

UAMSHO NA HARAKATI ZA SASA??

Tatizo kwenye vuguvugu la sasa ni jee hawa wanaitaka Zanzibar ipi? ile baada ya Uhuru chini ya sultani na ya kibwanyenye au ya Karume kabla ya muungano ya mrengo wa kushoto na ukandamizwaji. Kwa wafuatiliaji wa siasa za Zanzibar tangu awali utaona kuanzia wakati wa ZNP na ASP hadi sasa kati ya CUF na CCM siku zote visiwa hivi vina siasa kali za mfarakano mkubwa...kwamba CUF ndio ZPPP ya leo ni suala la kuwaachia wenyewe wajadili, lakini ni wazi kuwa Pemba ndio ngome kuu ya CUF kama ilivyokuwa kwa ZPPP. Na CUF vilevile inadai Zanzibar huru ingawa inaendelea kufaidi matunda ya muungano.

Uamsho wanapiga tu makelele na ni wazi wanafadhiliwa na wazito toka Oman, ila ni vyema wajue kuwa waarabu si wafadhili wazuri siku zote, angalia kama wangekuwa wafadhili wazuri wasingeruhusu waarabu/waislamu wenzao ambao hawana mafuta kuwa maskini wa kutupwa na kuteswa (i.e Yemen, Palestine, Somalia)

Vilevile serikali zao hivi sasa haziko imara, pili ujuzi wao wa kuendesha NGO na sera za wazi hawana zaidi ya kufadhili makundi ya kigaidi. Mi nafikiri mwisho Uamsho itabadilika na kuwa chama kipya cha siasa Znz na kuwa chama cha upinzani,ambacho kitakuwa kitu kizuri maana hivi sasa Znz hawana upinzani rasmi baada ya CUF kuungana na CCM kwenye SMZ, ingawa muungano huo wa CUF/CCM utadumu muda gani hatujui.

Tusubiri hiyo kura ya maoni na baada ya hapo tuone kama Znz itaweza kukwepa siasa za kuumizana na kupigana bakora, ambazo hazijalishi status ya Serikali kuanzia wakati wapo huru (61,63,64) au ndani ya muungano (72 mauaji ya karume, 95,00 mauaji pemba)...Kumbuka historia hupenda kujirudia

Karl Marx alisema "History repeats itself, first as tragedy, second as farce"


Yetu macho

Nawakilisha
 
Edson,
Nakubaliana na wewe kwa 100%. Zaidi nimeprint ili niwe nasoma mara kwa mara. Bravo. Hatuwezi kujadili muungano kila siku utadhani mapato ya Tanzania kwa asilimia 90% yanatokana na Muungano. Kumbe hasara ni nyingi.


sasa hivi kuna kama ka- utulivi hivi mana wale uamsho wamenyamazishwa kidogo japo chini kwa chini kuna fukuta..baadae tena wanaanza hazarani kudai nchi yao..waende hawana shukrani hawa
 
hawa jamaa wanachokidai faida yake ni ndogo kuliko hasara...kwa tetesi zilizopo za matajiri wa OMAN kufadhili harakati za uamsho ,ina maana waarabu bado wana ndoto za kurudi zanzibar na watarudi tuu ..time will tell

mwarabu mnamwogopa kama ukoma hamuwaogopi hawa wachungaji wanaoanza kuwatafuna kondoo, kazi kweli


vicar_1700537c.jpg


The pair are due to marry on Oct 9 at the register office in Devizes before holding a service at St John the Baptist Church Photo: SWNS
 
Nina swali dogo, kuna mtu anayejua asili ya Maalim Seif i.e wazazi wake wanatoka wapi?
 
Binafsi siupendi muungano na hizi ndizo sababu zangu



Moja: Mimi Mtanganyika, siruhusiwi kisheria kumiliki ardhi ndani ya Zanzibar! Wao wanaruhusiwa kuja huku kwetu kumiliki ardhi, Muungano kwa hilo haunisaidii, unanidhulumu.

Mbili: Mzanzibar anakuwa subsidized kwenye bili yake ya Umeme wa TANESCO wakati Zanzibar hawazalishi umeme, na wamekataa kuilipa TANESCO, na TANESCO ime capitulate ili "kulinda Muungano." Kwa hiyo bill yangu ya umeme ni kubwa kuliko ya Mzanzibar wakati Umeme unatoka kwetu. Dhulma nyingine kwa Mtanganyika.

Tatu: Wazanzibar wana uwakilishi usioendana na uwiano wa watu. Kuna Wazanzibar milioni moja na ushee, kuna Watanganyika milioni arobain na ushee. Haiwezekani wakapewa wabunge 75! Watu wachache wanakuwa na sauti kubwa zaidi ya maamuzi. Katika mifumo ya kidemokrasia duniani kuna msingi mmoja unaoitwa "one man one vote" ukiwa na maana kwamba makundi ya wa watu wenye idadi inayokaribia kuwa sawa lazima yawe na wawakilishi wenye idadi inayokaribia kuwa sawa. Kuwezi kuwa na watu milioni moja wana wabunge 75! Hii ni dhulma kwa Tanganyika.

Nne: Sasa hivi Tanzania kuna marais watano, Shein, Iddi, Kikwete, Hamad, na Billal! Tanganyika inabeba mzigo mkubwa kuhudumia viongozi wa juu wa nchi, madarakani na wastaafu, waliojaa kutokana na muungano. Na familia za viongozi wa Kizanzibar za wake wengi wengi ( Billal, Mwinyi) zinatuongezea mzigo usio na sababu. Tunawahudumia mpaka wafe! Mzigo!

Tano: kutokana na mipaka ya mamlaka ya pande mbili za Muungao kutokuwa delineated, Wazanzibar wamo kwenye uongozi katika maeneo ambayo si ya Muungano, mfano Waziri Mwinyi, Afya. Kero!

Sita: Wabunge wa Zanzibar wanapokea posho kukaa kwenye vikao ambavyo haviwahusu, mambo ambayo si ya Muungano. Hasara!

Saba: kuna tofauti za kijamii na kitamaduni kati ya sehemu hizi mbili zinazosababisha maambukizi ya dhana za kijamii ambazo kwetu Bara zinaleta tatizo, na mwishowe utakuja ugaidi kutokea Zanzibar.

Mfano, Mbunge wa Zanzibar - bora angekuwa wa Bara - Mbunge wa Zanzibar alisimama Bungeni akauliza ni lini Tanganyika itakuja mahakama ya kiislamu. Sasa Zanzibar kuna Mahakama ya Kadhi, Zanzibar is a predominantly Muslim region, ndo maana unaweza kuchoma Kanisa Zanzibar with impunity, bila adhabu, kwa hiyo haina tatizo ukiwa na Mahakama ya Kiislamu kwenye nchi ambayo watu wake ni Waislam anyway. Sasa huku Bara, Mahakama ya Kislamu itakuwepo katika utaratibu gani ambapo nusu ama zaidi ya nusu ya watu ni Wakristo? Hapa kuna tofauti za kijamii ambazo Zanzibar wanataka kuziambukiza Bara. Kwa hiyo, kama ugaidi wa Wahabi extremism utakuja Tanzania, utatokea Zanzibar!

Nane:Zanzibar haichangii chochote kwenye uchumi wa Tanzania. Zanzibar ina uchumi mdogo kupita wilaya ya Kahama, ndani ya Shinyanga! Na siwalaumu manake hakuna kitu! Sasa, unaniuliza, Mtwara inachangia kwenye uchumi sawa na Shinyanga ambapo kuna Kahama? Na jibu lake ni la hasha, lakini Mtwara wala Mwanza hawajajitangaza kwamba wao ni nchi! Ndio maana hatuulizani huku Bara eti wewe wa Mtwara unachangia nini kulinganisha na Mbeya? Hapana, kwa sababu Mbeya na Mtwara na Shinyanga na Mwanza, yote ni mikoa ya Watanzania! Zanzibar nayo, kwa vile inabebwa, ilibidi iwe mkoa!

Tisa: Zanzibar wanapewa "affirmative action" quotas kwenye nafasi za elimu ya juu pamoja na uongozi. Zanzibar hawana chuo kikuu cha maana, kwa hiyo inabidi kuwatengea nafazi kwenye vyuo vyetu, hali kadhalika kwenye nafasi za uongozi, uwaziri, ubalozi n.k. Kwa hiyo ni raisi zaidi kupata nafasi za elimu na za uongozi ukiwa unatokea Zanzibar. Na hauhitaji elimu za juu saaana kufika mbali kama wewe ni Mzanzibar. Na Mtanganyika ukitaka kupanda ngazi haraka, jifanye Mzanzibar (Jaji Augustino Ramadhani, Rais Mwinyi!) Hii si haki.

Kumi: Wabara na tamaduni zetu na dini zetu hatutakiwi Zanzibar, Zanzibar wanafukuza Watanganyika, wanachoma makanisa, wanachoma visu wenye ma baa ya pombe, which begs the question why give them liquor license in the first place? Unapopewa leseni ya kuanzisha kanisa au ya biashara ya kuuza pombe na unailipia fees zote na kodi ni lazima upate ulinzi na msaada wa serikali. Lakini hakuna anaechukuliwa hatua kwa mateso ya Watanganyika visiwani. Muungano wa nini hapo?

Kumi na moja: Hakuna kiongozi ama mtu yeyote aliyeko tayari kutuambia faida za Muungano ili tuweze kupima bora ni kipi. Ukiuliza faida za Muungano, unaambiwa sisi na Wanzazibar tuna historia ya udugu. Really? Historia! Sio mustakabali,historia! Wakenya hatuna historia na udugu nao? Angalau Kenya tuna share asili ya "uweusi," Zanzibar wengi asili yao Waarabu! Kama ni udugu tuungane na Kenya basi?! Na kama tuna asili ya udugu na Wazanzibar mbona chokochoko haziishi toka tuungane, kwa nini ni Muungano wa kuvutana? Maana tuna natural connections, udugu, nilitegemea Muungano uwe seamless! Hakuna anaejua faida. "tutajieni hasara zake na sisi ndio tutataja faida zake..."


Kumi na mbili: Wazanzibar kwanza ni wanafiki pili hawana shukrani au wanaona hakuna cha kushukuru. Wanafiki kwa sababu hawataki Muungano lakini Tundu Lissu aliposimama bungeni kuu lambast Muungano Wazanzibar wakalia wakamlaani. Ni kama mke ambae hakutaki lakini anaogopa kwenda kuanza maisha mwenyewe! Hawana shukrani kwa sababu Wamejaa Kariakoo, Namanga, Ilala, Buguruni, all over the place wanafanya shughuli zao hakuna anaewaghasi, lakini wao ndio wa kwanza kutu distract na kelele za kutotaka Muungano, sasa kwa nini tuwabebe watu ambao hawaoni wanachohisaniwa? Ni sawa na binadamu na Punda wake. Binadamu anadai shukrani kwa kumtunza Punda, Punda yeye anaona umempandia mgongoni, shukrani ya nini? Anakupiga mateke. Basi haina haja kubebana migongoni wala kupigana mateke, tutengane!

Kumi na tatu: Katika mapendekezo ya marekebisho ya Muungano hakuna structural formulation ambayo ni viable au haipingwi. Serikali moja inapingwa Zanzibar. Hawatakubali yagudu! Serikali tatu sio fiscally feasible, haiwezekani, Tanzania ni nchi ndogo sana kuwa na serikali tatu. Sasa hivi tuna marais na makamu wao watano, na mawaziri wa Bara na Visiwani karibu 80, kwa serikali mbili. Tukiwa na serikali tatu tutakuwa na maraisi kumi na mawaziri mia mbili? Ni mzigo wa gharama. Serikali mbili ndio tutarudi hapa hapa tulipo! Ridiculous.

Kingine katika mapendekezo ya formulation ya Muungano mpya ambacho hakiwezekaniki, ni kwamba Zanzibar wanataka uhuru zaidi. Wanadai, kwa mfano, autonomy kwenye Mambo ya nje. Kama vile, waingine EA Community kivyao, au FIFA, au OIC, kivyao. Wanataka na mfumo wao wa kodi. Na Benki Kuu. Na Bandari. Na elimu ya juu. Na jeshi pia wanahoji, kwa nini dola yao haina jeshi. Sasa swali, ni je, kama kila kitu tunataka kila mtu awe kivyake, Muungano wa nini sasa? Hahahahaa....

Kumi na nne: Zanzibar wana Baraza la Wawakilishi, na wana Wabunge Dodoma. Wale wabunge 75 wa Zanzibar pale Dodoma wana ongeza mzigo kwa nchi! Zanzibar ingetosha kuwa na wabunge watano tu! Unguja na Pemba jumla yake inaingia mara tano ndani ya Masasi na Nachingwea! Ambazo ni wilaya ndogo sana ndani ya Mtwara, mkoa mdogo kupita yote Tanganyika ukiondoa Dar-es-Salaam. Mzigo!

Kumi na tano: Tanzania kuna TRA na Zanzibar kuna ZRB. Mbongo ukifanya biashara Zanzibar unakong'otwa kodi TRA na ZRB. Kwa nini kila mtu asiwe na sarafu yake na mambo yake?

Kumi na sita: Zanzibar wana bendera yao, wana Rais wao, wana timu yao ya mpira, wana bunge lao, wana nembo yao. Muungano gani huo wenzetu wana bendera, Tanganyika kwa nini hatuna bendera, hatuna bunge letu, hatuna Rais wetu?

Kumi na saba: Ukikutana na Mzanzibar nchi za nje yeye anaji identify kama Mzanzibar. Lakini kamwe mimi siji identify kama m-Mtwara au Mmakonde. Mtanzania kwanza, umakonde wangu baadae. Hawa Wazanzibaar hawajisikii kama wenzetu, kwa hiyo hata akiwa anatangaza nchi yetu hatawaambiwa watu "Karibuni Tanzania," atasema "Karibuni Zanzibar." Mimi nikiwa nje ya nchi nataka kuwavutia watu siwaambii karibuni Mtwara! Natangaza Tanzania yetu. Wazanzibar hawafanyi hivyo, si wenzetu!

Kumi na nane: Mzanzibar ana haki ya absentee balot ambayo mimi sina. Kwa nini? Mimi siruhusiwi kupiga kura nikiwa Zanzibar eti nachagua Mbunge wa Bara au Rais, sheria ya Zanzibar hainitambui, sheria ya Zanzibar ime define nani Mzanzibar na nani sio! Lakini Rais Shein alipiga kura yake kugombea Urais wa Zanzibar akiwa Bara, how come? What the ....?! Usawa uko wapi?

Kumi na tisa: Zanzibar hawataki kugawana potential ya chochote walichonacho. Mtafiti mmoja kawaambia kuna mafuta. Dooooo! Balaa! Ikawa "Hatutaki Muungano! Hatutaki Muungano!" kisa? Mafuta! Potential ya mafuta! Basi waachwe waende zao na mafuta yao na ka nchi kao, tutatua mzigo mkubwa mno.

Ishirini: HATI YA MUUNGANO IKO WAPI? Kwa nini Muungano umejaa usiri na ukiuliza unatiwa kizuizini? (Hamad, Jumbe, Doorado n.k.) The only evidence of the union treaty which is being prolmugated ni kiambatanishi kilichowekwa kama adendum kwenye Union Act of 1964, ambacho kilichakachuliwa kabla ya kuchapishwa! The original hati ya Muungano imeteketezwa!

Hati ina umuhimu gani? Well, kwa sababu Muungano hauna solid legal foundation (Hati ya Muungano wala kura ya maoni wala sheria ya Baraza la Wawakilishi ya kuridhia Muungano) chokochoko zitokanazo hazitaisha, zitaendelea kula national attention ya nchi na kutu distract, kututoa kwenye focus ya mambo muhimu, tunabaki tunaongelea Zanzibar, Muungano, Zanzibar, Muungano kila siku wakati ni sehemu ndogo tu ya Tanzania. Wakati hauna faida yeyote, hasara tupu.

Siutaki Muungano.
Kaka Edson, naona mawazo yetu yanafanana neno kwa neno, inabidi tuanzishe chama chetu, na ukienda kuuza makala huko tafadhali nikumbuke kwenye ujira wa mwiha. Siku chache zilizopita niliandika hivi:

Moja: Mimi Mtanganyika, siruhusiwi kisheria kumiliki ardhi ndani ya Zanzibar! Wao wanaruhusiwa kuja huku kwetu kumiliki ardhi, Muungano kwa hilo haunisaidii, unanidhulumu.

Mbili: Mzanzibar anakuwa subsidized kwenye bili yake ya Umeme wa TANESCO wakati Zanzibar hawazalishi umeme, na wamekataa kuilipa TANESCO, na TANESCO ime capitulate ili "kulinda Muungano." Kwa hiyo bill yangu ya umeme ni kubwa kuliko ya Mzanzibar wakati Umeme unatoka kwetu. Dhulma nyingine kwa Mtanganyika.

Tatu: Wazanzibar wana uwakilishi usioendana na uwiano wa watu. Kuna Wazanzibar milioni moja na ushee, kuna Watanganyika milioni na tano na ushee. Haiwezekani wakapewa wabunge 75! Watu wachache wanakuwa na sauti kubwa zaidi ya maamuzi. Katika mifumo ya kidemokrasia duniani kuna msingi mmoja unaoitwa "one man one vote" ukiwa na maana kwamba makundi ya wa watu wenye idadi inayokaribia kuwa sawa lazima yawe na wawakilishi wenye idadi inayokaribia kuwa sawa. Kuwezi kuwa na watu milioni moja wana wabunge 75! Hii ni dhulma kwa Tanganyika.

Nne: Sasa hivi Tanzania kuna marais watano, Shein, Iddi, Kikwete, Hamad, na Billa! Tanganyika inabeba mzigo mkubwa kuhudumia viongozi wa juu wa nchi, madarakani na wastaafu, waliojaa kutokana na muungano. Na familia za viongozi wa Kizanzibar za wake wengi wengi ( Billa, Mwinyi) zinatuongezea mzigo usio na sababu. Tunawahudumia mpaka wafe! Mzigo!

Tano:
kutokana na mipaka ya mamlaka ya pande mbili za Muungao kutokuwa delineated, Wazanzibar wamo kwenye uongozi katika maeneo ambayo si ya Muungano, mfano Waziri Mwinyi, Afya. Kero!

Sita: Wabunge wa Zanzibar wanapokea posho kukaa kwenye vikao ambavyo haviwahusu, mambo ambayo si ya Muungano. Hasara!

Saba: kuna tofauti za kijamii na kitamaduni kati ya sehemu hizi mbili zinazosababisha maambukizi ya dhana za kijamii ambazo kwetu Bara zinaleta tatizo, na mwishowe utakuja ugaidi kutokea Zanzibar.

Mfano, Mbunge wa Zanzibar - bora angekuwa wa Bara - Mbunge wa Zanzibar alisimama Bungeni akauliza ni lini Tanganyika itakuja mahakama ya kiislamu. Sasa Zanzibar kuna Mahakama ya Kadhi, Zanzibar is a predominantly Muslim region, ndo maana unaweza kuchoma Kanisa Zanzibar with impunity, bila adhabu, kwa hiyo haina tatizo ukiwa na Mahakama ya Kiislamu kwenye nchi ambayo watu wake ni Waislam anyway. Sasa huku Bara, Mahakama ya Kislamu itakuwepo katika utaratibu gani ambapo nusu ama zaidi ya nusu ya watu ni Wakristo? Hapa kuna tofauti za kijamii ambazo Zanzibar wanataka kuziambukiza Bara. Kwa hiyo, kama ugaidi wa Wahabi extremism utakuja Tanzania, utatokea Zanzibar!

Nane:Zanzibar haichangii chochote kwenye uchumi wa Tanzania. Zanzibar ina uchumi mdogo kupita wilaya ya Kahama, ndani ya Shinyanga! Na siwalaumu manake hakuna kitu! Sasa, unaniuliza, Mtwara inachangia kwenye uchumi sawa na Shinyanga ambapo kuna Kahama? Na jibu lake ni la hasha, lakini Mtwara wala Mwanza hawajajitangaza kwamba wao ni nchi! Ndio maana hatuulizani huku Bara eti wewe wa Mtwara unachangia nini kulinganisha na Mbeya? Hapana, kwa sababu Mbeya na Mtwara na Shinyanga na Mwanza, yote ni mikoa ya Watanzania! Zanzibar nayo, kwa vile inabebwa, ilibidi iwe mkoa!

Tisa:
Zanzibar wanapewa "affirmative action" quotas kwenye nafasi za elimu ya juu pamoja na uongozi. Zanzibar hawana chuo kikuu cha maana, kwa hiyo inabidi kuwatengea nafazi kwenye vyuo vyetu, hali kadhalika kwenye nafasi za uongozi, uwaziri, ubalozi n.k. Kwa hiyo ni raisi zaidi kupata nafasi za elimu na za uongozi ukiwa unatokea Zanzibar. Na hauhitaji elimu za juu saaana kufika mbali kama wewe ni Mzanzibar. Na Mtanganyika ukitaka kupanda ngazi haraka, jifanye Mzanzibar (Jaji Augustino Ramadhani, Rais Mwinyi!) Hii si haki.

Kumi:
Wabara na tamaduni zetu na dini zetu hatutakiwi Zanzibar, Zanzibar wanafukuza Watanganyika, wanachoma makanisa, wanachoma visu wenye ma baa ya pombe, which begs the question why give them liquor license in the first place? Unapopewa leseni ya kuanzisha kanisa au ya biashara ya kuuza pombe na unailipia fees zote na kodi ni lazima upate ulinzi na msaada wa serikali. Lakini hakuna anaechukuliwa hatua kwa mateso ya Watanganyika visiwani. Muungano wa nini hapo?

Kumi na moja: Hakuna kiongozi ama mtu yeyote aliyeko tayari kutuambia faida za Muungano ili tuweze kupima bora ni kipi. Ukiuliza faida za Muungano, unaambiwa sisi na Wanzazibar tuna historia ya udugu. Really? Historia! Sio mustakabali,historia! Wakenya hatuna historia na udugu nao? Angalau Kenya tuna share asili ya "uweusi," Zanzibar wengi asili yao Waarabu! Kama ni udugu tuungane na Kenya basi?! Na kama tuna asili ya udugu na Wazanzibar mbona chokochoko haziishi toka tuungane, kwa nini ni Muungano wa kuvutana? Maana tuna natural connections, udugu, nilitegemea Muungano uwe seamless! Hakuna anaejua faida. Kama huyo hapo juu aliyesema "tutajieni hasara zake na sisi ndio tutataja faida zake..." Kwa nini usitaje faida kwanza kama zipo?


Kumi na mbili:
Wazanzibar kwanza ni wanafiki pili hawana shukrani au wanaona hakuna cha kushukuru. Wanafiki kwa sababu hawataki Muungano lakini Tundu Lissu aliposimama bungeni kuu lambast Muungano Wazanzibar wakalia wakamlaani. Ni kama mke ambae hakutaki lakini anaogopa kwenda kuanza maisha mwenyewe! Hawana shukrani kwa sababu Wamejaa Kariakoo, Namanga, Ilala, Buguruni, all over the place wanafanya shughuli zao hakuna anaewaghasi, lakini wao ndio wa kwanza kutu distract na kelele za kutotaka Muungano, sasa kwa nini tuwabebe watu ambao hawaoni wanachohisaniwa? Ni sawa na binadamu na Punda wake. Binadamu anadai shukrani kwa kumtunza Punda, Punda yeye anaona umempandia mgongoni, shukrani ya nini? Anakupiga mateke. Basi haina haja kubebana migongoni wala kupigana mateke, tutengane!

Kumi na tatu:
Katika mapendekezo ya marekebisho ya Muungano hakuna structural formulation ambayo ni viable au haipingwi. Serikali moja inapingwa Zanzibar. Hawatakubali yagudu! Serikali tatu sio fiscally feasible, haiwezekani, Tanzania ni nchi ndogo sana kuwa na serikali tatu. Sasa hivi tuna marais na makamu wao watano, na mawaziri wa Bara na Visiwani karibu 80, kwa serikali mbili. Tukiwa na serikali tatu tutakuwa na maraisi kumi na mawaziri mia mbili? Ni mzigo wa gharama. Serikali mbili ndio tutarudi hapa hapa tulipo! Ridiculous.

Kingine katika mapendekezo ya formulation ya Muungano mpya ambacho hakiwezekaniki, ni kwamba Zanzibar wanataka uhuru zaidi. Wanadai, kwa mfano, autonomy kwenye Mambo ya nje. Kama vile, waingine EA Community kivyao, au FIFA, au OIC, kivyao. Wanataka na mfumo wao wa kodi. Na Benki Kuu. Na Bandari. Na elimu ya juu. Na jeshi pia wanahoji, kwa nini dola yao haina jeshi. Sasa swali, ni je, kama kila kitu tunataka kila mtu awe kivyake, Muungano wa nini sasa? Hahahahaa....

Kumi na nne: Zanzibar wana Baraza la Wawakilishi, na wana Wabunge Dodoma. Wale wabunge 75 wa Zanzibar pale Dodoma wana ongeza mzigo kwa nchi! Zanzibar ingetosha kuwa na wabunge watano tu! Unguja na Pemba jumla yake inaingia mara tano ndani ya Masasi na Nachingwea! Ambazo ni wilaya ndogo sana ndani ya Mtwara, mkoa mdogo kupita yote Tanganyika ukiondoa Dar-es-Salaam. Mzigo!

Kumi na tano:
Tanzania kuna TRA na Zanzibar kuna ZRB. Mbongo ukifanya biashara Zanzibar unakong'otwa kodi TRA na ZRB. Kwa nini kila mtu asiwe na sarafu yake na mambo yake?

Kumi na sita:
Zanzibar wana bendera yao, wana Rais wao, wana timu yao ya mpira, wana bunge lao, wana nembo yao. Muungano gani huo wenzetu wana bendera, Tanganyika kwa nini hatuna bendera, hatuna bunge letu, hatuna Rais wetu?

Kumi na saba:
Ukikutana na Mzanzibar nchi za nje yeye anaji identify kama Mzanzibar. Lakini kamwe mimi siji identify kama m-Mtwara au Mmakonde. Mtanzania kwanza, umakonde wangu baadae. Hawa Wazanzibaar hawajisikii kama wenzetu, kwa hiyo hata akiwa anatangaza nchi yetu hatawaambiwa watu "Karibuni Tanzania," atasema "Karibuni Zanzibar." Mimi nikiwa nje ya nchi nataka kuwavutia watu siwaambii karibuni Mtwara! Natangaza Tanzania yetu. Wazanzibar hawafanyi hivyo, si wenzetu!

Kumi na nane: Mzanzibar ana haki ya absentee balot ambayo mimi sina. Kwa nini? Mimi siruhusiwi kupiga kura nikiwa Zanzibar eti nachagua Mbunge wa Bara au Rais, sheria ya Zanzibar hainitambui, sheria ya Zanzibar ime define nani Mzanzibar na nani sio! Lakini Rais Shein alipiga kura yake kugombea Urais wa Zanzibar akiwa Bara, how come? What the ....?! Usawa uko wapi?

Kumi na tisa: Zanzibar hawataki kugawana potential ya chochote walichonacho. Mtafiti mmoja kawaambia kuna mafuta. Dooooo! Balaa! Ikawa "Hatutaki Muungano! Hatutaki Muungano!" kisa? Mafuta! Potential ya mafuta! Basi waachwe waende zao na mafuta yao na ka nchi kao, tutatua mzigo mkubwa mno.

Ishirini: HATI YA MUUNGANO IKO WAPI? Kwa nini Muungano umejaa usiri na ukiuliza unatiwa kizuizini? (Hamad, Jumbe, Doorado n.k.) The only evidence of the union treaty which is being prolmugated ni kiambatanishi kilichowekwa kama adendum kwenye Union Act of 1964, ambacho kilichakachuliwa kabla ya kuchapishwa! The original hati ya Muungano imeteketezwa!

Hati ina umuhimu gani? Well, kwa sababu Muungano hauna solid legal foundation (Hati ya Muungano wala kura ya maoni wala sheria ya Baraza la Wawakilishi ya kuridhia Muungano) chokochoko zitokanazo hazitaisha, zitaendelea kula national attention ya nchi na kutu distract, kututoa kwenye focus ya mambo muhimu, tunabaki tunaongelea Zanzibar, Muungano, Zanzibar, Muungano kila siku wakati ni sehemu ndogo tu ya Tanzania. Wakati hauna faida yeyote, hasara tupu.

Hatutaki Muungano.
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom