Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,342
- 6,467
Kwa jinsi serikali inavyosema haihusiki (kama alivyoongea Emmanuel Nchimbi) je, hivi serikali inaweza kuhusika kwenye mambo haya yote ya kikatili kwa wananchi wasio na hatia ambao ni bread winners wa familia zao? Hivi ni awamu zote haya yanatukia?
Orodha kama ifuatavyo (aidha kuuliwa au kuumizwa):
1. Horace Kolimba
2. Kigoma Malima
3. Moringe Sokoine
4. Imran Kombe
5. Said Kubenea
6. Prof. Mwakusa
7. Dr. Mwakyembe
8.
9.
10.
Orodha kama ifuatavyo (aidha kuuliwa au kuumizwa):
1. Horace Kolimba
2. Kigoma Malima
3. Moringe Sokoine
4. Imran Kombe
5. Said Kubenea
6. Prof. Mwakusa
7. Dr. Mwakyembe
8.
9.
10.