Hmaster
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 346
- 86
Mume ana mtoto wa kiume na mke ana mtoto wa kike (au kinyume chake), wanaoana. Katika mazingira hayo watoto wakikua na kupendana wanaweza kuruhusiwa kuoana? Kwa hali ya kawaida ni lazima watafundishwa sana kuheshimiana kama kaka na dada lkn wanaweza pia kukiuka. Je waweza kuruhusiwa kuoana?