Sumbalawinyo
JF-Expert Member
- Sep 22, 2009
- 1,282
- 247
Nahisi kuna mchawi anamroga raisi wetu.
Kuanzia ameingia madarakani mauzauza yamekuwa yakimuandama kuliko raisi mwingine yeyoyote aliyemtangulia.
Mara rais wetu aanguke jukwaani, mara watu wamvae jukwaani na kumkaba, mara msafara wake upigwe mawe, mara msafara wake ung'oke magurudumu, mara shutuma za kufunga watu kwa visa vya mapenzi, yaani ni zengwe moja kwa moja.
Wananchi tuna jukumu kubwa la kumuombea raisi wetu, maana bila maombi yetu wachawi watamuangamiza.
Kuanzia ameingia madarakani mauzauza yamekuwa yakimuandama kuliko raisi mwingine yeyoyote aliyemtangulia.
Mara rais wetu aanguke jukwaani, mara watu wamvae jukwaani na kumkaba, mara msafara wake upigwe mawe, mara msafara wake ung'oke magurudumu, mara shutuma za kufunga watu kwa visa vya mapenzi, yaani ni zengwe moja kwa moja.
Wananchi tuna jukumu kubwa la kumuombea raisi wetu, maana bila maombi yetu wachawi watamuangamiza.