Je kama Baba wa taifa Mwl. Nyerere angekuwepo leo Je ni sera zipi na ni nani hasa angemuana anafaa kwa nchi yetu. Ni nani mwenye hekima kama zake, mwadilifu, mwenye uchungu na nchi, mwenye kupambana na rushwa, anaye ogopeka kwa ukali, mwenye kipaji cha akili, mwenye kujitoa muhanga kama yeye. Je ni Raisi wa sasa Kikwete au Dr. Slaa. Tusiangalie vyama kwani Chama alicho acha Nyerere sio hiki cha sasa cha CCM kuna mabadiliko mengi sana.