Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,416
- 85,844
Wapendwa, Topic hii si ya Kisiasa bali ni Lugha,
Hivyo naomba mawazo na michango yenu iishie hapo tu kama itawezekana.
Kwa kipindi kirefu sana nimekuwa nikimsikia Rais akinukuliwa au nikimsikia mwenyewe akitumia sana neno "SIJUI" katika mazungumzo na maongezi yake ambayo kauli hizo zimekuwa na maana kubwa sana kwa Taifa.
Kwa mfano, niliwahi kusoma na bado inaendelea kusemwa kuwa Rais eti :HAJUI" source ya umaaskini wa watu wake....
Pili, hebu fuatilia makala hii niliyoichukua kwenye gazeti fulani wakiwa wamenukuu maneno hayoo toka kwa Mkulu na jinsi yanavyobeba uzito;
Hadi leo sijui kwa nini hasa watu (mawaziri) wanashindwa kuzungumza mambo yaliyofanywa na Serikali na kuwapa uwanja mpana wenzetu wa upande wa pili (wapinzani) ambao wanajua kweli kuvitumia vyombo vya habari. Sisi tunaendelea kulalamika kila siku kwamba hatuandikwi, nani atakuandika wakati hutoi taarifa, alisema Kikwete
Hebu cheki na hii pia
"Sijui kwa nini hatuwi wepesi kuyasemea mafanikio mengi tuliyoyapata tukaacha wasiotutakia heri wanaosema hatukufanya kitu wasikike mpaka waonekane wanasema kweli," alisema.
Alisema hajui na hana majibu mazuri ya kwa nini Serikali imekuwa ikishindwa kuzungumza mambo mazuri yaliyofanywa katika kipindi cha miaka mitano na hata wakati mwingine kushindwa kuzungumza jambo hadi wampigie simu, kitu ambacho ni aibu.
Hii nayo Vipi??
Unajua mimi sijui hadi leo ni kwa nini hasa watu wanashindwa kuzungumza mambo yaliyofanywa na serikali na kuwapa uwanja mpana wenzetu wa upande wa pili ambao wanajua kweli kuvitumia vyombo vya habari huku sisi tunaendelea kulalamika kila siku kwamba hatuandikwi, nani atakuandika wakati hutoi taarifa, aliuliza Kikwete.
Haya na nyie tusaidieni ili tumsadie Mzee mwenzetu, matumizi ya haya maneno ianonekana yanamchanganya sana. Tumsaidieni
Hivyo naomba mawazo na michango yenu iishie hapo tu kama itawezekana.
Kwa kipindi kirefu sana nimekuwa nikimsikia Rais akinukuliwa au nikimsikia mwenyewe akitumia sana neno "SIJUI" katika mazungumzo na maongezi yake ambayo kauli hizo zimekuwa na maana kubwa sana kwa Taifa.
Kwa mfano, niliwahi kusoma na bado inaendelea kusemwa kuwa Rais eti :HAJUI" source ya umaaskini wa watu wake....
Pili, hebu fuatilia makala hii niliyoichukua kwenye gazeti fulani wakiwa wamenukuu maneno hayoo toka kwa Mkulu na jinsi yanavyobeba uzito;
Hadi leo sijui kwa nini hasa watu (mawaziri) wanashindwa kuzungumza mambo yaliyofanywa na Serikali na kuwapa uwanja mpana wenzetu wa upande wa pili (wapinzani) ambao wanajua kweli kuvitumia vyombo vya habari. Sisi tunaendelea kulalamika kila siku kwamba hatuandikwi, nani atakuandika wakati hutoi taarifa, alisema Kikwete
Hebu cheki na hii pia
"Sijui kwa nini hatuwi wepesi kuyasemea mafanikio mengi tuliyoyapata tukaacha wasiotutakia heri wanaosema hatukufanya kitu wasikike mpaka waonekane wanasema kweli," alisema.
Alisema hajui na hana majibu mazuri ya kwa nini Serikali imekuwa ikishindwa kuzungumza mambo mazuri yaliyofanywa katika kipindi cha miaka mitano na hata wakati mwingine kushindwa kuzungumza jambo hadi wampigie simu, kitu ambacho ni aibu.
Hii nayo Vipi??
Unajua mimi sijui hadi leo ni kwa nini hasa watu wanashindwa kuzungumza mambo yaliyofanywa na serikali na kuwapa uwanja mpana wenzetu wa upande wa pili ambao wanajua kweli kuvitumia vyombo vya habari huku sisi tunaendelea kulalamika kila siku kwamba hatuandikwi, nani atakuandika wakati hutoi taarifa, aliuliza Kikwete.
Haya na nyie tusaidieni ili tumsadie Mzee mwenzetu, matumizi ya haya maneno ianonekana yanamchanganya sana. Tumsaidieni