Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,037
- 22,728
Nimekuwa najiuliza maswali kadhaa hivi karibuni:-
1. Kwa nini mfanyakazi anayelipwa mshahara alipwe posho ili kuhudhuria vikao vya kazini?
2. Kwa nini mwanachama wa chama cha siasa adai posho kuhudhuria vikao vya chama.
3. Kwa nini mbunge alipwe posho anapohudhuria vikao vya bunge?
4. Kwa nini posho, kweli tuna pesa ya kuchezea namna hii.
Je, posho ni kipato halali ama namna fulani ya ufujaji ?
Je, posho ni malipo halali ama ni aina fulani ya rushwa ?
Je, posho hutozwa kodi kama ni mapato halali ?
Je, posho kwa nini haitolewi kama mkopo ?
Kama tunashindwa kuwapa wanafunzi wetu mkopo kwa kisingizio cha ukosefu wa fedha, mfanyakazi anayelipwa mshahara tunawezaje kumlipa posho isiyo na kodi eti ahudhurie semina, washa n.k.
1. Kwa nini mfanyakazi anayelipwa mshahara alipwe posho ili kuhudhuria vikao vya kazini?
2. Kwa nini mwanachama wa chama cha siasa adai posho kuhudhuria vikao vya chama.
3. Kwa nini mbunge alipwe posho anapohudhuria vikao vya bunge?
4. Kwa nini posho, kweli tuna pesa ya kuchezea namna hii.
Je, posho ni kipato halali ama namna fulani ya ufujaji ?
Je, posho ni malipo halali ama ni aina fulani ya rushwa ?
Je, posho hutozwa kodi kama ni mapato halali ?
Je, posho kwa nini haitolewi kama mkopo ?
Kama tunashindwa kuwapa wanafunzi wetu mkopo kwa kisingizio cha ukosefu wa fedha, mfanyakazi anayelipwa mshahara tunawezaje kumlipa posho isiyo na kodi eti ahudhurie semina, washa n.k.