mwanamapinduko Senior Member Jan 24, 2011 178 41 Jul 15, 2012 #1 Wakuu naomba kuuliza huyu ACP H. Msangi ametuhumiwa kuhusika na kutekwa na kuteswa Dr Ulimboka kwanini hakamatwi? Je kuna sheria inayomlinda?
Wakuu naomba kuuliza huyu ACP H. Msangi ametuhumiwa kuhusika na kutekwa na kuteswa Dr Ulimboka kwanini hakamatwi? Je kuna sheria inayomlinda?
A aduwilly JF-Expert Member Mar 11, 2009 1,176 305 Jul 15, 2012 #2 Ipo! hukamatwi kama tu, umetumwa na wakubwa
U Ubungo JF-Expert Member Apr 7, 2012 1,260 297 Jul 15, 2012 #3 Polisi wanaweza kukamatwa kama kuna haja ya kufanya hivyo, umesahau akina Zombe ua Ma Colonel wa SUMA JKT
Polisi wanaweza kukamatwa kama kuna haja ya kufanya hivyo, umesahau akina Zombe ua Ma Colonel wa SUMA JKT