Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,206
- 42,067
Nashindwa kumuelewa mizengo pinda kama ni mzalendo au la! sababu ameonekana kutokubaliana na madudu yanayofanywa na serikali yake na anapo hamua kuwachukulia hatua za kinidhamu upingwa na kuingiliwa na raisi wake na ata kwenye maamuzi magumu ambayo yalitakiwa kuchukuliwa na chama chake. Imeonekana yeye anaingiliwa na raisi wake na ndio maana ana shindwa kutangaza maamuzi yaliyofikiwa kwa kuhofia! kwani jk anaonekana kuwalinda hawa wezi na ndio maana pinda alishindwa kutangaza maamuzi ya chama maana yalishaingiliwa na jk!
Cha kushangaza mizengo bado anendelea kutumika kwani alitakiwa kuchukua hatua ya kujiuzulu kwani yeye amefanywa kama bendera fata upepo hana maamuzi yeyote na akifanya maamuzi huingiliwa! kama yeye ni mzalendo wa kweli kwanini asijiuzulu? kuliko kuendelea kufanya kazi na wezi!
Cha kushangaza mizengo bado anendelea kutumika kwani alitakiwa kuchukua hatua ya kujiuzulu kwani yeye amefanywa kama bendera fata upepo hana maamuzi yeyote na akifanya maamuzi huingiliwa! kama yeye ni mzalendo wa kweli kwanini asijiuzulu? kuliko kuendelea kufanya kazi na wezi!