Ushindi kama wa Padri Slaa? tutakuwa wote mtaani Mkuu
mh! ushaimadrasa hii thread! dah! si ww bali ni chuki binafsi ndani ya moy owako dhidi ya cdm, na pia chuki hiyo si chuki kavu bali yenye mbolea ya udini ndani ya moyo wako haitoshi bado si chuki yenye udini tu bali yenye itikadi
ya kuaminishwa na watoa hoja kurupushi za walio kuminishwa istoshe dini zetu tulisha ziteketeza na kufuata za wanyenazo.
ni hayo tu