KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,596
Nashindwa kuelewa kama ulikuwa udhaifu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano waTanzania kuruhusu zanzibar kurekebisha katiba yao kabla Yakurekebishwa katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania??Kwani sikupata kusikia wakati wa Ml,Julius Nyerere Zanzibar ikibadrisha katiba kabla ya kupitia ya JMT au ilikuwa ikifanyika tujuzeni!!